Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Tunakoelekea sio kuzuri kwa taifa letu hiliHABARI MPYA: RC wa Dar Paul Makonda amekanusha taarifa za kupatikana mfanyabiashara Mohamed Dewji aliyetekwa leo asubuhi-MCL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakoelekea sio kuzuri kwa taifa letu hiliHABARI MPYA: RC wa Dar Paul Makonda amekanusha taarifa za kupatikana mfanyabiashara Mohamed Dewji aliyetekwa leo asubuhi-MCL
nini?Khaaaaaa![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji86] [emoji86]
KeshapatikanaMie nasubiri tangazo la kifo.
mkuu akijibu swali lako nitagumejuaje ni wahuni?.
Yaaaan[emoji86] [emoji86] [emoji86]Jamaa anatoa matamko na kuomba asinukuliwe vibaya, kwa nini asitulie ofisini kungoja taarifa kamili.
Kemea huyo pepoMie nasubiri tangazo la kifo.
Labda atakuwa kaambiwa na mratibu wa movie mwenyeweumejuaje ni wahuni?.
AsswipeMie nasubiri tangazo la kifo.
Season 2 ep4
Ukute wameshamficha kwenye safe house mtatafuta mpaka muimbe Hallelujah...Kwa kuwa habari zimesambaa kila kona ni rahisi kukamata hivyo vizungu uchwara
imepingwa tenaKeshapatikana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mission failedMmmmmh... kwani yy ndiyo kampata? au Sinema imeharibika baada ya kuratibiwa vibaya na Le mutuz na wenzao
Inasaidia kuwa na mlinzi kiasi flani kuliko kutokuwa naye kabisa...Ukiwa na mlinzi huwezi kutekwa??
Imepita achana Na ile ya msukumaimepingwa tena
Serious tena. Sasa hivi inakua hatari kutembea mwenyewe hujui muda wala SAA utakapokutana Na "Watu Wasiojulikana"Tunakoelekea sio kuzuri kwa taifa letu hili
mkuu wakimfungia mahali na wakaenda zao itakuwaje?Kwa kuwa habari zimesambaa kila kona ni rahisi kukamata hivyo vizungu uchwara
Na wewe unaamini ni wazungu boss?Kwa kuwa habari zimesambaa kila kona ni rahisi kukamata hivyo vizungu uchwara