Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Sasa hao wazungu washughulikiwe kweli wanataka kuhujumu uchumi wetubongo ubongo haba, kitendo cha kumteka tajiri kama huyo ni kuhujumi uchumi wa taifa kwani wawekezaji hawatakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hao wazungu washughulikiwe kweli wanataka kuhujumu uchumi wetubongo ubongo haba, kitendo cha kumteka tajiri kama huyo ni kuhujumi uchumi wa taifa kwani wawekezaji hawatakuja
na mimi nimewaza hivyo, yamkini ni wale wale wasiojulikanaUkute ni taasisi ndani ya taasisi #IYKWIM
ManjiYanga hatuna mzungu😉
hajapatikana bwana. Kwanza anaetakiwa kutoa taarifa ni RPC wapi kasema mambo Sasa?Hivi amepatikana kweli au bado? Maana naona kama sielewi elewi hivi.
Awamu hii hakuna kubembelezana boss..Huyu si ni cooporate. Wanaweza wakamuita ofisini au wakamfuata ofisini kwake wakamueleza bwana tunalo file lako sasa tunakuagiza uache. Usipoacha tutadeal na wewe. Ya nini kutuhusisha na sie na kutuletea hofu isiyo na sababu maana hata hayo hawatatueleza na kuwaletea stress wanasimba.
Mambo mengine ni ovyo kama yanafanywa na mgambo.
Sasa mkuu akiweka gym nyumbani huoni kama yule anae miliki gym atakosa wateja na matokeo yake pesa itakosekana katika mznguko mwisho mwnyw utaanza kusema maisha magumu.Bilionea unashindwa hata kuweka gym nyumbani kwako unaanza kukurupuka saa 11 kwenda kunukishana majasho na wenzio?!
Huwezi kuwa na mapesa yako mengi namna hiyo halafu ukose hata mlinzi mmoja mwenye silaha...Watanzania tuache kuishi kwa mazoea jamani
Mo : on ransom sagaMkuu, ipe jina hii movie
uamini usiamini, hao ni watekelezaji tu, wahusika wapo na ni Wabongo kabsaaSasa hao wazungu washughulikiwe kweli wanataka kuhujumu uchumi wetu
mbona mnaleta sintofahamu humu mara kapatikana mara bado
badoHivi amepatikana kweli au bado? Maana naona kama sielewi elewi hivi.
So ni kitu cha kawaida tu these days?
Nakuelewa Sana.. Nilihisi inawezekana nikuhusiana Na udalali wake. Nikahisi kazinguana Na wafanyabiashara wenzie huko. Kama ni sababu ya kutikisa soko LA korosho basi kazi ikooAwamu hii hakuna kubembelezana boss..
But inawezekana pia aliitwa na bado akagoma. Rumours zilianza eti korosho zimeanguka soko la dunia..
Hii ni baada ya Indians kujua Veitnam wanamzigo wa kutosha wa Korosho so wanaweza wasije kununua mwaka huu..
Picha bado linaendelea..
Duhhajapatikana bwana. Kwanza anaetakiwa kutoa taarifa ni RPC wapi kasema mambo Sasa?
Utasikia "atapatikana kesho kabla ya swala ya ijumaa"???? kama roma Mkatoliki???Dah tunaletewa movie nyingine
.sijui itakuwa na part 2?
.sijui itachezwa kwa ustadi au itafanana na zile nyingine?
.sijui inataka kumpa kiki nani ?
Wakati utasema...stay tuned....!!!!
Politics and fool ransomMo : on ransom saga