Siku nyingine ukitaka kuni quote uniombe ruhusa PM kabla ya kunijibu pumba...
Siku ukinijibu rafu nakuingiza kidole chote kwenye macro wave ya grade ya taifa,
Halafu ukituma message zinakuwa delivered sasa kwa nini wasitrack simu yake
Pole mkuu...ungeniona live sasa si ungezimia?Nkiona hiyo avatar yako akili inahama kutoka kwenye mada muhimu
Sijui kwa kweli ila huwezi kutumia experiences za nyuma bila kuwa na facts. Sasa kama mtu anaquestion maelezo ya polisi kwa kulinganisha maelezo na ya dereva wa uba ambaye amekiri muda mwingi alijiinamia kwa hofu, kwa nini tusihoji maelezo ya dereva wa uba nae kwa vile kakiri hakuangalia tukio zima mwanzo mwisho? Nae hakuona kila kitu?Kwani ni mara ngapi polisi hawa hawa wamekuwa wakipindisha ukweli wa mambo?
Mmh,,watu kweli mmepinda,,haya mkuu umeshindaserikali inayo ongozwa na kichaa unadhani unaweza kuliona hilo kama ambavyo wewe umeliona "...? Mbona mnalazimisha chizi aweze kuwa na Akili timamu ""?
ni kweli kabisa. wamewekeza sana kwenye teknolojia za kusikiliza kila linalopangwa hapa duniani. pale wanapoona kuna mambo yao wanaweza kuzuia au kuwapotezea. ninaamini kuna watu wapo tu ofisinikwenye viyoyozi huko marekani ukiwapa nusu saa wanakuonyesha hadi Mo alipo na ramani wanakupa. sisi bado tumewekeza kwenye kutumia nguvu zaidi bila teknolojia na akili.Kwanza kabisa USA wanajua kila kitu *****
Nani kakwambia simu anayo huko alikotekwa?? Hivi watekaji unaona ni watu ambao hazimo kiasi hicho? Yaani wakuteke halafu uko na simu yako!!!! Simu yake itakua ilibaki kwenye gari, kumbuka alikua anakwenda Gym kwa hiyo simu na vitu vingine atakua aliviacha ndani ya gari. Pia muda huu simu inaweza kua mikononi mwa polisi, wewe endelea kutuma msg wakuje wakuchukue ukasaidie upelelezi.Halafu ukituma message zinakuwa delivered sasa kwa nini wasitrack simu yake
Kuwahiwa nomaaHata angekuwa na bomu kama yale ya Korea Ya Kaskazini ukishawahiwa ni sawa na umebeba kipande cha godoro. Ishu ni timing.
Hakuna alietekwa mkuu, endelea na majukum yakoNauliza tu swali la kichokozi. TISS na polisi wakifuatilia huku mitandaoni hawawezi kupata CLUE za watekaji? Kama upo huo uwezekano inabidi ufanyiwe kazi, maana kuna teknolojia za kuwezesha hilo. Otherwise kwaheri.....
asante sana mkuu. siyo mzoefu sanaHakuna alietekwa mkuu, endelea na majukum yako
Imagine familia yake kwasasa ina hali gani? Macho ya watoto na mke wake hayataenda bure.
Mbona tweet ya mwananchi official ilisema kabisa msaidizi wa RPC kathibitisha MO kapatikana?Lugha alivyoiweka Makonda ndiyo imekua tatizo na hata yeye nadhani hajajua hilo au hata kama amejua atakua ameamua kutorekebisha namna alivyoongea. Kiswahili alitakiwa akiweke kwamba "Tuko hapa kuhakikisha tunawapa majibu sahihi au taarifa sahihi na taarifa sahihi ZITAKUA ni Mo amepatikana na watekaji wako mikononi mwa vyombo vya dola" Yeye ameongea ktk namna ambayo inakutaka kua makini sana kujua kwamba anaongelea kitu ambacho KITAFANYIKA. Ameongea ktk hali ambayo usipotulia vizuri unaweza kujua kwamba anaongelea jambo ambalo limeshafanyika.
Yani kwanza kwa nchi zetu maskini hizi yani wanaongea na rahisi direct na kumtishani kweli kabisa. wamewekeza sana kwenye teknolojia za kusikiliza kila linalopangwa hapa duniani. pale wanapoona kuna mambo yao wanaweza kuzuia au kuwapotezea. ninaamini kuna watu wapo tu ofisinikwenye viyoyozi huko marekani ukiwapa nusu saa wanakuonyesha hadi Mo alipo na ramani wanakupa. sisi bado tumewekeza kwenye kutumia nguvu zaidi bila teknolojia na akili.
Sijui kwa kweli ila huwezi kutumia experiences za nyuma bila kuwa na facts. Sasa kama mtu anaquestion maelezo ya polisi kwa kulinganisha maelezo na ya dereva wa uba ambaye amekiri muda mwingi alijiinamia kwa hofu, kwa nini tusihoji maelezo ya dereva wa uba nae kwa vile kakiri hakuangalia tukio zima mwanzo mwisho? Nae hakuona kila kitu?
Kumbuka sihoji credibility ya dereva wa uba wala polisi, bali nahoji facts za kwa nini kuquestion maelezo ya polisi.
Asante.
Hiyo tweet na taarifa zingine kama Milad Ayo, walimquote Makonda jinsi alivyoongea kama nilivyoeleza hapo. Waandishi wengi wa habari walikwenda katika mtazamo huo. Huyo msaidizi wa RPC alichomekwa tu.Mbona tweet ya mwananchi official ilisema kabisa msaidizi wa RPC kathibitisha MO kapatikana?
Hivi sasa hiyo tweet inaonekana wameifuta ila kwa Mange Instagram ipo.
Wamejichanganya wenyewe.
Bado unamuamini da'Mange? Hide my ID please....Hivi sasa hiyo tweet inaonekana wameifuta ila kwa Mange Instagram ipo...