Kwasababu alikuwa ooh sorry ni mwanaccmNajiuliza swali hili baada ya kuona vyombo vikubwa vya habari duniani vikiwemo BBC, CNN, Al jazira, Xiua na Reuters vikiripoti na kulifuatilia kwa karibu tukio hili la utekaji lililotokea nchini mwetu!
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa Kolomije wanadhani Bashite ni maarufu kuliko Mo...
Wewe sema unamfahamu ni fulani basi! Mambo statements za jumla na kujidai yalitokea sijui kwa nani, hata leo ni hivyo, huo ni uzembe wa kufikiri. muuaji nchi hii ni mmoja? mwizi nchi hii ni mmoja? muharifu nchi hii ni mmjoja? Tusiwe wazembe wa kufikiri.Anyway mimi nakubali ni mjinga, ndio maana huko nyuma watu wengine walipotekwa na wengine kupigwa risasi tena mchana kweupe sikuchukua hatua yoyote ile na wala sina mpango huo, kwa maana ningechukua hatua kuwatafuta na kuwakamata hawa wasiojulikana leo hii MO DEWJI ASINGETEKWA, lakini nimeruhusu haya yatokee ili tuishi vizuri kama........
NB : Vitabu vitakatifu vimeandika UJINGA UTATAPAKAA KATIKA NYAKATI ZA MWISHO.
Tumegeuzwa kuwa wajinga na tutaendelea kuwa wajinga nalo hili litapita kama mengine kwa sababu ya ujinga wetu
I hope umeelewa kuwa mimi ni mjinga sasa
The one who is first to write this and mods are responsible.....do you know who is responsible for updateS in JF?
Mwanaccm wa kuunga juhudi au mwanaccm kindakindaki? Hii ni enzi ya ccm mpya... ccm ya wana juhudi... wale wa kindakindaki watusamehe kama wa kaskazini wanavyotusamehe...Kwasababu alikuwa ooh sorry ni mwanaccm
Uhai wake ni zaidi ya utahiri wake.Wewe ungepotea India unafikiri Wahindi wangepoteza muda na wewe? Kwanza hata kaburi la kuzikwa wangegoma kukupa. Angalia maisha yako na watu wako, huyo ni bilionea hata akifa Ukoo wake kote mpaka India hawana shida!
Hii Serikali imeshamfanyia kila mdau figisu.
Sasa Jiwe akikaa ofisini anawaza;
"Labda ni wakenya niliowachomea vifaranga vyao Moto......??"
"Au labda ni Barick wananihujumu....??"
"Au ni Sumaye niliyemnyang'anya shamba.....??"
"Hapana, itakuwa ni Mbowe maana yeye ndio nimemvurugia club nikaharibu na shamba....??"
"Au ni Lissu,maana huyu nae alikula risasi nyingiiii...??"
"Au Nape....??"
"Au Lema....??"
"Itakuwa Maalim Seif kwasababu naiua Cuf..??"
"Atakuwa nani huyuu.,..??"
"Au Manji...??"
"Rugemalila na Seth...???"
"Sijui itakuwa nani...???"
"Au wananchi tu wananihujumu...??"
"Ila ntalala nao mbeleee...!!"
Wewe updates ulizonazo so far ni zipi??Huu Uzi hauna hats update I don't understand why this on JF
Na wala hawawezi kwenda huko manake wanaweza kufanya assumption kwamba police wangeweza ku-react mapema na hivyo kuweka vizuizi kwenye barabarani hususani ya Kilwa Roand na ile iendayo Kisarawe! Pale si karibu na bahari! Unaenda kufanya tukio huku speed boat ikiwa standby! Mkishapata mtu wenu, moja kwa moja mlipoegesha boti itakayowatoa kwenye eneo la tukio kwa haraka! Huko mbele za safari, unamtoa kwenye boti ambayo inaweza ku-catch attention unamwingiza kwenye mashua ya uvuvi yenye wavuvi fake!Habari za kuhuzunisha ni kuwa huyu mtu kupatikana imeshakuwa jambo gumu. Muda aliotekwa hadi kuanza kwa msako ni hayapungui masaa matatu, ambapo muda huo watekaji walishaweza kumfikisha kwenye mapori ya mkoa wa Pwani au Morogoro
Mbona wewe huwezi kujibu?!Swali hili hata mtoto wa chekechekea anaweza kulijibu vizuri tu!
Unaleta thread ilimradi tu na wala si kweli hujui kwanini!
Sina ila kiukweli wengi tulitegemea kupata humu kama January kasema nini, zitto kasema nini, hali ya family na mengineyo.... That was the listen beauty of JF....... Sa tunayapata kwingine tuWewe updates ulizonazo so far ni zipi??