Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Jamaa una mawazo mazuri, lakini amka kwanza, yaoneka uliandika ukiwa umelala
Sikuelewi tatizo lako maudhui ama uandishi. Lengo post ,kufikirisha mbinu za maendeleo ya science kupata majibu wanaopotea Sio MO pekee.
 
habal wanna bod

vijana wa jf tunafahamu fika @ mo dewj alivo mkarimu, mweny kupenda kutoa msaada kwa watu wa kila rika .Nadhan na sisi tumwoneshe tuna mjali kwa kiasi gani .si mbya tukafanya Compaign ya #BringBack mo ,ama turudishiwe mo wetu

huu ni mtazamo wangu jamn
Hii lugha gani umeandika?
Shule ulienda kusomea haya madudu?
 
habal wanna bod

vijana wa jf tunafahamu fika @ mo dewj alivo mkarimu, mweny kupenda kutoa msaada kwa watu wa kila rika .Nadhan na sisi tumwoneshe tuna mjali kwa kiasi gani .si mbya tukafanya Compaign ya #BringBack mo ,ama turudishiwe mo wetu

huu ni mtazamo wangu jamn
Akuna kitu nilikuwa na mpost ben wa saa nane kila muda paka leo ajarudishwa
 
Yule jamaa miaka yote hanaga mabaunsa hata ndugu zake na babake hawanaga manaunsa, mlinzi ni Mungu tu bro kama unaishi na watu vizuri mabaunsa wa nini?
Najua na kiukweli huyu jamaa hajawahi kuwa na timbwili na mtu yeyote
 
Mm bado namfikiria Ben Saanane,huyo wa jana hata mwezi hujaisha mnawaza!...
 
Tuache wivu.....wanahaki ya kufunga....
Mo..ni kama balozi asie rasmi wa Tz, hasa ktk masuala ya kibiashara na uwekezaji. Kupitia watu kama akina Mo...wawekezaji wanaweza kuwa na imani na nchi yetu na pia umashuhuri wake ni kama nafasi ya sisi kujitangaza..
Mtu anatajwa na magezeti kama forbes kama the youngest billonaire Africa etc..tena wanasema kabisa anatoka Tanzania huoni kama ni fahari kwa taifa..
Zaidi ya hayo jamaa kaajiri watu zaidi ya 20,000 manake kuna watu kama 100,000 wanaishi sababu yake..hivyo si mtu mdogo..ni mtu muhimu sana kwetu..
Waafrika tuachane na ego na wivu
Hii Serikali imeshamfanyia kila mdau figisu.
Sasa Jiwe akikaa ofisini anawaza;
"Labda ni wakenya niliowachomea vifaranga vyao Moto......??"
"Au labda ni Barick wananihujumu....??"
"Au ni Sumaye niliyemnyang'anya shamba.....??"
"Hapana, itakuwa ni Mbowe maana yeye ndio nimemvurugia club nikaharibu na shamba....??"
"Au ni Lissu,maana huyu nae alikula risasi nyingiiii...??"
"Au Nape....??"
"Au Lema....??"
"Itakuwa Maalim Seif kwasababu naiua Cuf..??"
"Atakuwa nani huyuu.,..??"
"Au Manji...??"
"Rugemalila na Seth...???"
"Sijui itakuwa nani...???"
"Au wananchi tu wananihujumu...??"
"Ila ntalala nao mbeleee...!!"
Kama vile kaukweli kapo
 
Jiji kubwa kama dar na eneo sensitive kama oysterbay au masaki halina hata CCTV camera?? Ngoja tuunge mkono juhudi walahi..
Nani kakwambia hakukuwa na cctv camera?

Mambo mengine muwemnachunguza kwanza kabla ya kucomment.

ASANTE
 
Tanzania hivi sasa sio tena nchi ya amani mpaka wafanya biashara wanatekwa na Watu wasiojulikana? Na wafanya biashara ndio wanayoifanya nchi ipate kuendelea kiuchumi na Kimaendeleo leo wanatekwa na Watu wasiojulikana?Wakati nchi yetu ina jeshi la Polisi, usalama waTaifa na majeshi mengine ya usalama wa taifa letu bado Watu maarufu wanatekwa na watu wasiojulikana na Serikali yetu ipo inaangalia hivyo?Ahh ama kweli Hapa kazi kweli.
Kutekwa kwa raia yeyote yule ni ishara mbaya...haijalishi huyo mtu ni maarufu au mtu wa kawaida kama mimi.

Tanzania sio nchi ya kwanza dunia tukio kama hili kutokea...haya mambo yanatokea sana hata ulaya na marekani.

Halafu usipende kuhukumu moja kwa moja kana kwamba unafahamu nani kamteka na ni kwanini.

Muhimu ni kuonesha ushirikiano kwa jeshi la polisi.

ASANTE
 
Kutekwa kwa raia yeyote yule ni ishara mbaya...haijalishi huyo mtu ni maarufu au mtu wa kawaida kama mimi.

Tanzania sio nchi ya kwanza dunia tukio kama hili kutokea...haya mambo yanatokea sana hata ulaya na marekani.

Halafu usipende kuhukumu moja kwa moja kana kwamba unafahamu nani kamteka na ni kwanini.

Muhimu ni kuonesha ushirikiano kwa jeshi la polisi.

ASANTE

Point
 
Back
Top Bottom