Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

lazima tu rise sauti zetu ili serikali iwe serious na matukio kma haya next time unaweza potea ata ww mkuu
We kwani hili ni tukio la kwanza kutokea mtu kutekwa Tanzania....

Kwa matukio yale ya nyuma uli rise hiyo sauti?

Halafu kwenye maswala kama haya hakunaga cha kusema ushawushi watu...we kama unaona kuna haja ya ku rise voice.

Anza wewe kwanza wengine watafuata.

ASANTE
 
Kwahiyo ni serikali?Mbona ikitajwa serikali huji juu?
Mimi nipo neutral,siwezi kusema ni serikali au ni maadui zake kibiashara au ransom..wewe ni nani hadi utuaminishe kuwa ni maadui zake ndo waliofanya hivyo??..kwa nini usiwasaidie polisi sasa??
 
Kusaidia Polisi hapaTZ na Afrika ni kujitakia msiba,waulize walioelezwa kuwa wanaisaidia Polisi ni usaidizi gani walioutoa,pia tujikumbushe haya yote yalivyoanza na aliyeyaanzisha
 
the issue here is about humanity.its not about colour or weath . be serious dude

Hiyo humanity ya upande mmoja hata Mungu hapendi, isitoshe inatakiwa ujali watu wako kwanza, hapa namaanisha watu weusi Watanzania na hao Wahindi, Waarabu, Wachina,Wazungu & Co. wawe daraja la pili, ukifanya hivyo utabarikiwa, na ndivyo watu waliobarikiwa hufanya Dunia nzima, hakuna Muhindi atakutetea na kukupigania wewe kama wewe unamvyompigania Muhindi popote pale , kutetea race nyingine huku yako ukiibagua na wewe mwenyewe ukibaguliwa ni dhambi kwa Mungu!
 
Hashtag haiwezi kusaidia tuangalie tulipokosea mpaka yanatokea yote haya.
Utawala usiojai watu wake huwa na matukio mabaya kama haya
 
Nani kakwambia hakukuwa na cctv camera?

Mambo mengine muwemnachunguza kwanza kabla ya kucomment.

ASANTE

Sizungumzii Colosseum hotel, nazungumzia eneo zima la oysterbay na masaki kama sensitive area ambalo wanakaa mabalozi na viongozi mbalimbali.. Pia hata hapo colleseum hotel lazima ziwepo tena zile ambazo ni very sensitive..Inamaana oysterbay inalia risasi asubuhi hakuna recovery au patrol ya karibu na pale colosseum ambayo ingewahi haraka hata kuwakimbiza watekaji?? NAINGALIA NA KUIZUNGUMZIA MASAKI/OYSTERBAY KAMA SENSITIVE AREA LIBALOTAKIWA KUWA NA SENSITIVE SECURITY..
 
Kama anacho lakin nina uhakika hana. Tatizo la RIFD, kinaacha digital foot prints kila mahala unapoenda. Means nawaeza kuku track miendendo yako na shughuli zako.
Kifaa cha ki electronic kinachowekwa ktk mwili wa mwanadamu ama mnyama kinachosaidia Ku program matumizi vifaa kama ATM,kuwasha gari, track GPS location, monitor watoto wa shule nk. Binafsi Nina Amini kwa Mungu na science. Endapo MO anakifaa hicho mwilini mwake, anaweza patikana kwa urahisi zaidi.
 
Sizungumzii Colosseum hotel, nazungumzia eneo zima la oysterbay na masaki kama sensitive area ambalo wanakaa mabalozi na viongozi mbalimbali.. Pia hata hapo colleseum hotel lazima ziwepo tena zile ambazo ni very sensitive..Inamaana oysterbay inalia risasi asubuhi hakuna recovery au patrol ya karibu na pale colosseum ambayo ingewahi haraka hata kuwakimbiza watekaji?? NAINGALIA NA KUIZUNGUMZIA MASAKI/OYSTERBAY KAMA SENSITIVE AREA LIBALOTAKIWA KUWA NA SENSITIVE SECURITY..
Nimekuelewa mkuu...

Ila hata kama hizo sensitive camera zingekuwepo inavyoonesha watekaji walikuwa wamejipanga vilivyo...huu ni mchongo ndugu.

ASANTE
 
Kifaa cha ki electronic kinachowekwa ktk mwili wa mwanadamu ama mnyama kinachosaidia Ku program matumizi vifaa kama ATM,kuwasha gari, track GPS location, monitor watoto wa shule nk. Binafsi Nina Amini kwa Mungu na science. Endapo MO anakifaa hicho mwilini mwake, anaweza patikana kwa urahisi zaidi.
Unawaza ujinga mkuu. Hii sio SCIFI movie.
 
Yaani ni bora ungeandika kuwa unamtafuta ukimpata umuwekee hicho kifaa ili Jeshi la Polisi wamtafute wampate.

Njia pekee ya kujitetea kwa ulichoandika hapa ni kusema kuwa ulikuwa usingizini ukaota.
 
Back
Top Bottom