mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Huu Uzi hauna hats update I don't understand why this on JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujanishinda mimi.nimeamua ku logout kabisa.Dah ulichoandika nimeona aibu mimi
do you know who is responsible for updateS in JF?Huu Uzi hauna hats update I don't understand why this on JF
Nitajie nchi moja tu, yoyote ile ambayo tajiri wake mkubwa kuliko wote aliwahi kutekwa na saa 24 kupita bila vyombo vya dola kuwa na clue!Kutekwa kwa raia yeyote yule ni ishara mbaya...haijalishi huyo mtu ni maarufu au mtu wa kawaida kama mimi.
Tanzania sio nchi ya kwanza dunia tukio kama hili kutokea...haya mambo yanatokea sana hata ulaya na marekani.
Halafu usipende kuhukumu moja kwa moja kana kwamba unafahamu nani kamteka na ni kwanini.
Muhimu ni kuonesha ushirikiano kwa jeshi la polisi.
ASANTE
Kuna watu sijui ni ugumu wa maisha!!? Yaani we unamuona Mo ni sawa na wewe? Hili kweli linashangaza?? Ulitegemea Mo atekwe alafu habari iishie hapo kwenu Missenyi?Najiuliza swali hili baada ya kuona vyombo vikubwa vya habari duniani vikiwemo BBC, CNN, Al jazira, Xiua na Reuters vikiripoti na kulifuatilia kwa karibu tukio hili la utekaji lililotokea nchini mwetu!
Najiuliza swali hili baada ya kuona vyombo vikubwa vya habari duniani vikiwemo BBC, CNN, Al jazira, Xiua na Reuters vikiripoti na kulifuatilia kwa karibu tukio hili la utekaji lililotokea nchini mwetu!
Mbona umepanic!Kuna watu sijui ni ugumu wa maisha!!? Yaani we unamuona Mo ni sawa na wewe? Hili kweli linashangaza?? Ulitegemea Mo atekwe alafu habari iishie hapo kwenu Missenyi?
Mo ni international figure. Sasa ajabu iko wapi kuona BBC, CNN, n.k kwao inakuwa habari kubwa??
Inaelekea hata Diamond akipotea ghafla utakuja kuuliza maswali yako haya haya ya kilevi
Wacheni Ushamba, Katika maisha hakuna usawa wapo Watanzania wanaishi maisha daraja la kwanza hapa Bongo. Ndio nikasema ...Endapo MO aliwekewa Kifaa hicho (RFID chip) anaweza kutafutwa kirahisi.Hujanishinda mimi.nimeamua ku logout kabisa.
hivi kweli umekosa jibu la swali hilo hadi unaleta bandiko hapa?Najiuliza swali hili baada ya kuona vyombo vikubwa vya habari duniani vikiwemo BBC, CNN, Al jazira, Xiua na Reuters vikiripoti na kulifuatilia kwa karibu tukio hili la utekaji lililotokea nchini mwetu!
Watu wa Kolomije wanadhani Bashite ni maarufu kuliko Mo...Kuna watu sijui ni ugumu wa maisha!!? Yaani we unamuona Mo ni sawa na wewe? Hili kweli linashangaza?? Ulitegemea Mo atekwe alafu habari iishie hapo kwenu Missenyi?
Mo ni international figure. Sasa ajabu iko wapi kuona BBC, CNN, n.k kwao inakuwa habari kubwa??
Inaelekea hata Diamond akipotea ghafla utakuja kuuliza maswali yako haya haya ya kilevi
Upo nao, so bure!Wanamlisha chips mayai na soda