Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Faida za kutumia formula yangu ya matunda (tibalishe)

Lazima uwe na whats app ndio utumiwe formula kama huna whats app usitume pesa zako hutopata formula

1.kukufanya uwe na uume imara

2.kukufanya uwe na uume usiosinyaa ukeni kabla ya kuingiza na baada ya kuingiza

3.kukufanya uume usimame haraka na kudumu ukiwa imara

4.kufanya uchelewe kumwaga shahawa wakat wa tendo la ndoa utachukua dk 15_25

5.kukufanya uwe na shahawa nyingi na bora

6.kukufanya uwe na shahawa zinazookimbia kwa kas wakat wa kusex

7.kukufanya urudie tendo la ndoa zaid ya mara tatu bila kuchoka

8. Hukufanya uwe na hamu ya tendo kama zaman unaweza ukasex kila siku round mbili na hamu isiishe lakin haikufanyi ikusumbue kutaka mwanamke kila mda hapana unakua kawaida kabisa kama ulivyo mpaka utakapoamsha hisia zako mwenyewe ndio hamu inakuja kwa ufupi unakua dereva wa hisia zako.

9.kuimarisha mishipa iliharibiwa na punyeto

10kuimarisha misuli ilihoharibiwa na punyeto

11.kuzibua mishipa iliyoziba kwa mafuta yanayoganda mwilin

12.kupandisha uzalishaj wahomone kurudi katika hali ya kawaida.

13.kuchochea usamabazaji wa damu kwenda sehem mbali mbali za mwili

14.kuipa afya njema mishipa ya moyo (artery na vein)

15.kuondoa hatar ya kupata shinikizo la damu

16 kuondoa hatar ya kupata ugonjwa wa moyo

17 huindoa sumu mwilin na kukufanya ujisikie mwepesi
18. Huondoa kitambi na mafuta mwilin
19. Kukufanya uwe kuona vyema

20. Kukufanya uwe na kinga imara na ya hali ya juu kupambana na magonjwa
0712505049
@pona_nguvu_zakiume_kwa_matunda
Hivi vioja vya Instagram
 
Daudi Albert Bashite usidhani unanguvu kuliko Mungu hiyo nafasi itapita na ulaanike wewe na kizazi chako


Kwa ajili ya Muhindi? Hiyo laana utasubiri sana, isitoshe ingekuwa maisha ni rahisi hivyo basi wangeshalaaniwa wengi sana tu, siajabu Ukoo wa Ufalme wote wa Uingereza ungekuwa umeelaniwa kwa laana walizopewa na takataka kama wewe Dunia nzima walikoiba, ua, baka, lemaza, dhalilisha na mpaka leo hii wapo na ndo kwanza Dunia nzima inawaabudu!
 
Nchi yetu Tanzania is now no longer a heaven of peace! Wanasiasa na Watawala wetu ndio Chanzo na sababu ya kuanza kutoweka kwa Amani ya nji hii tuliyoachiwa na Mwasisi na Baba wa Taifa letu hayati Nyerere!
Kila kunapotokea tukio baya kama hili la kutekwa na kupotea kwa Mo Dewji ni kawaida kuona Watawala wakitoa matamko ambaye mara nyingi hayana tija na mara mara nyingi ni ya kisiasa zaidi kuliko weledi na uhalisia wa tukio lenyewe!

Mfano: Ben Saanane alipotekwa na kupotea katika mazingira ya kutatanisha,mwajiri wake CHADEMA alipoanza kuhoji kupotea kwa Ben zikaingizwa siasa ya kwamba CHADEMA wenyewe ndio wanajua alipo!
Kuna watawala walidiriki kusema BEN SAANANE AMEJITEKA mwenyewe!
Lugha na matamko kama haya ni hatari sana kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu!

Azory Gwanda alitekwa na watu wasiojulikana yamesemwa mengi na Wanasiasa na Watawala!Kwamba anajua alipokwenda kwa vile alimwaga mkewe!Lakini mpaka leo hajapatikana! Tundu Lissu kapigwa risasi 38 mchana kweupe na watu wasiojulikana mpaka hawajajulikana wala hakuna mtuhumiwa hata mmoja!CHADEMA na Watanzania wakihoji kwa Polisi na Watawala lawama zinatupwa kwa waathirika CHADEMA kwamba wao ndo wanahusika kwasababu ya ugomvi wa kisiasa ndani ya chama au ni visasi vya kibiashara!!!Swali linakuja kama ni CHADEMA wanahusika kwanini hawakamatwi na kushtakiwa?

Wakti Chacha Wangwe alipokufa kwa ajali ya gari,habari zikaenezwa na Wanasiasa na Watawala kwamba CHADEMA ndo wanahusika na ajali maana Wangwe alikuwa akitaka kugombea Umwenyekiti wa CHADEMA..!!Kila tukio la kufa au kupotea kwa Mtz na hasa kama ni kutoka Upinzani itatengenezwa picha au maigizo ya kuchanganya raia!

Vyombo vya ulinzi na Usalama vimegeuzwa kuwa ni vyombo vya kulinda na kutetea uongo wa Wanasiasa na hivo kupoteza weledi wao wa kuhakikisha Usalama wa kila Mtz!Kwa adui yeyote mwenye nia mbaya anaweza kutumia udhaifu huu kufanya anavotaka!Kwamba sasa imefikia RAIA WA KIGENI TENA WAZUNGU AU SIJUI NI WAHINDI,WACHINA au nchi gani wamediriki kuvuka mipaka na kuingia chumbani na kufanya uhalisi na kutoka salama salmin kana kwamba nchi imelala usingizi!
Lazima tubadilike otherwise nchi iko katika hatari ya kuvamiwa na adui toka nje na ndani wakti wowote!!!
 
Kama utashi upo wanaweza vinginevyo waachiwe kesi za wizi wa bata
 
Nchi yetu Tanzania is now no longer a heaven of peace! Wanasiasa na Watawala wetu ndio Chablis na sababu ya kuanza kutoweka kwa Amani ya nji hii tuliyoachiwa na Mwasisi na Baba wa Taifa letu hayati Nyerere!
Kila kunapotokea tukio baya kama hili la kutekwa na kupotea kwa Mo Dewji ni kawaida kuona Watawala wakitoa matamko ambaye mara nyingi hayana tija na mara mara nyingi ni ya kisiasa zaidi kuliko weledi na uhalisia wa tukio lenyewe!

Mfano: Ben Saanane alipotekwa na kupotea katika mazingira ya kutatanisha,mwajiri wake CHADEMA alipoanza kuhoji kupotea kwa Ben zikaingizwa siasa ya kwamba CHADEMA wenyewe ndio wanajua alipo!
Kuna watawala walidiriki kusema BEN SAANANE AMEJITEKA mwenyewe!
Lugha na matamko kama haya ni hatari sana kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu!

Azory Gwanda alitekwa na watu wasiojulikana yamesemwa mengi na Wanasiasa na Watawala!Kwamba anajua alipokwenda kwa vile alimwaga mkewe!Lakini mpaka leo hajapatikana! Tundu Lissu kapigwa risasi 38 mchana kweupe na watu wasiojulikana mpaka hawajajulikana wala hakuna mtuhumiwa hata mmoja!CHADEMA na Watanzania wakihoji kwa Polisi na Watawala lawama zinatupwa kwa waathirika CHADEMA kwamba wao ndo wanahusika kwasababu ya ugomvi wa kisiasa ndani ya chama au ni visasi vya kibiashara!!!Swali linakuja kama ni CHADEMA wanahusika kwanini hawakamatwi na kushtakiwa?

Wakti Chacha Wangwe alipokufa kwa ajali ya gari,habari zikaenezwa na Wanasiasa na Watawala kwamba CHADEMA ndo wanahusika na ajali maana Wangwe alikuwa akitaka kugombea Umwenyekiti wa CHADEMA..!!Kila tukio la kufa au kupotea kwa Mtz na hasa kama ni kutoka Upinzani itatengenezwa picha au maigizo ya kuchanganya raia!

Vyombo vya ulinzi na Usalama vimegeuzwa kuwa ni vyombo vya kulinda na kutetea uongo wa Wanasiasa na hivo kupoteza weledi wao wa kuhakikisha Usalama wa kila Mtz!Kwa adui yeyote mwenye nia mbaya anaweza kutumia udhaifu huu kufanya anavotaka!Kwamba sasa imefikia RAIA WA KIGENI TENA WAZUNGU AU SIJUI NI WAHINDI,WACHINA au nchi gani wamediriki kuvuka mipaka na kuingia chumbani na kufanya uhalisi na kutoka salama salmin kana kwamba nchi imelala usingizi!
Lazima tubadilike otherwise nchi iko katika hatari ya kuvamiwa na adui toka nje na ndani wakti wowote!!!
After all this ,,kuna mpumbavu anakaa mbele ya kamera na kupayuka eti nchi INA amani,,,
 
Ni kawaida ya mchawi kuwa na mbwembwe msibani. Hawawezi na hawana mpango wa kuwatafuta hizo ni mbwembwe ili waonekane wapo busy wanajishughulisha kuwatafuta ila in real sense wanazuga tu
 
Faida za kutumia formula yangu ya matunda (tibalishe)

Lazima uwe na whats app ndio utumiwe formula kama huna whats app usitume pesa zako hutopata formula

1.kukufanya uwe na uume imara

2.kukufanya uwe na uume usiosinyaa ukeni kabla ya kuingiza na baada ya kuingiza

3.kukufanya uume usimame haraka na kudumu ukiwa imara

4.kufanya uchelewe kumwaga shahawa wakat wa tendo la ndoa utachukua dk 15_25

5.kukufanya uwe na shahawa nyingi na bora

6.kukufanya uwe na shahawa zinazookimbia kwa kas wakat wa kusex

7.kukufanya urudie tendo la ndoa zaid ya mara tatu bila kuchoka

8. Hukufanya uwe na hamu ya tendo kama zaman unaweza ukasex kila siku round mbili na hamu isiishe lakin haikufanyi ikusumbue kutaka mwanamke kila mda hapana unakua kawaida kabisa kama ulivyo mpaka utakapoamsha hisia zako mwenyewe ndio hamu inakuja kwa ufupi unakua dereva wa hisia zako.

9.kuimarisha mishipa iliharibiwa na punyeto

10kuimarisha misuli ilihoharibiwa na punyeto

11.kuzibua mishipa iliyoziba kwa mafuta yanayoganda mwilin

12.kupandisha uzalishaj wahomone kurudi katika hali ya kawaida.

13.kuchochea usamabazaji wa damu kwenda sehem mbali mbali za mwili

14.kuipa afya njema mishipa ya moyo (artery na vein)

15.kuondoa hatar ya kupata shinikizo la damu

16 kuondoa hatar ya kupata ugonjwa wa moyo

17 huindoa sumu mwilin na kukufanya ujisikie mwepesi
18. Huondoa kitambi na mafuta mwilin
19. Kukufanya uwe kuona vyema

20. Kukufanya uwe na kinga imara na ya hali ya juu kupambana na magonjwa
0712505049
@pona_nguvu_zakiume_kwa_matunda
Nenda lile jukwaa husika
 
Faida za kutumia formula yangu ya matunda (tibalishe)

Lazima uwe na whats app ndio utumiwe formula kama huna whats app usitume pesa zako hutopata formula

1.kukufanya uwe na uume imara

2.kukufanya uwe na uume usiosinyaa ukeni kabla ya kuingiza na baada ya kuingiza

3.kukufanya uume usimame haraka na kudumu ukiwa imara

4.kufanya uchelewe kumwaga shahawa wakat wa tendo la ndoa utachukua dk 15_25

5.kukufanya uwe na shahawa nyingi na bora

6.kukufanya uwe na shahawa zinazookimbia kwa kas wakat wa kusex

7.kukufanya urudie tendo la ndoa zaid ya mara tatu bila kuchoka

8. Hukufanya uwe na hamu ya tendo kama zaman unaweza ukasex kila siku round mbili na hamu isiishe lakin haikufanyi ikusumbue kutaka mwanamke kila mda hapana unakua kawaida kabisa kama ulivyo mpaka utakapoamsha hisia zako mwenyewe ndio hamu inakuja kwa ufupi unakua dereva wa hisia zako.

9.kuimarisha mishipa iliharibiwa na punyeto

10kuimarisha misuli ilihoharibiwa na punyeto

11.kuzibua mishipa iliyoziba kwa mafuta yanayoganda mwilin

12.kupandisha uzalishaj wahomone kurudi katika hali ya kawaida.

13.kuchochea usamabazaji wa damu kwenda sehem mbali mbali za mwili

14.kuipa afya njema mishipa ya moyo (artery na vein)

15.kuondoa hatar ya kupata shinikizo la damu

16 kuondoa hatar ya kupata ugonjwa wa moyo

17 huindoa sumu mwilin na kukufanya ujisikie mwepesi
18. Huondoa kitambi na mafuta mwilin
19. Kukufanya uwe kuona vyema

20. Kukufanya uwe na kinga imara na ya hali ya juu kupambana na magonjwa
0712505049
@pona_nguvu_zakiume_kwa_matunda
Ukishanitibu nipe namba ya Dada zako/shangazi zako niwashughulikie
 
Ni kama usema mwiZi kaiba sufuria la ubwabwa na kulificha ndani kwake afu uulize watu kuwa yule mwizi anaweza kulipata like sufuria?
Saa nyingine unaweza ficha kitu ndani ukasahaulishwa na vitu vingine ukakitafuta sana usikipate mpaka siku unahama iyo nyumba ndo ghafla unakiona na huna matumizi nacho tena!!.
 
Hizi ndo siasa za awamu ya 5; tuzivumilie mpaka uvumilivu uishe tuone nini kinatokea lakini tumeyataka wenyewe tu haya!
 
Back
Top Bottom