Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu na akukemee!!!Natamani makanisa ya kinabii yote yafutwe tubaki na madhehebu ya zamani tu.
Maana ni matapeli tu
Akamatwe akaisaidie polisi
Lissu ameshatuambia kuwa ukiikosoa tu hii serikali unaletewa wasiojulikana sasa maana yake ni kuwa wasiojulikana ni genge la watekaji wanaofadhiliwa na hiyo hiyo serikali na ndio maana hawajawahi kukamatwa. That's it.Watu wasiojulikana chini ya CCM inatosha sasa, ni wakati wa Lissu kuingia madarakani na kutuambia wasiojulikana
Serikali iko macho kuangalia nini ??????????????????Serikali Iko Macho 24/7
Na Wameonywa Wanaotaka Kutumia Tukio Vibaya
Thubutu !
Alisema ni wazungu...😂😂
Wazungu wawiliAlisema ni wazungu...[emoji23][emoji23]
Majina ya wahusika tunayo , yumo mshauri mkuu wa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba [emoji38][emoji38][emoji38]Msitukumbushe haya mambo wajameni
Hapa ni uwanja mpana tuwaanikeMajina ya wahusika tunayo , yumo mshauri mkuu wa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba [emoji38][emoji38][emoji38]