Mr Slim
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 2,652
- 5,242
Nina hofu sana ya Mungu,sijui kutukana kabisa,na kwanini nitukane kuvuna dhambi isiyo na sababu.Si mnawatukanaga lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina hofu sana ya Mungu,sijui kutukana kabisa,na kwanini nitukane kuvuna dhambi isiyo na sababu.Si mnawatukanaga lakini
Ili ilete maana ilipaswa wauwawe hadharani ili wengine waone, lakini sheria haipoWauliwe haina haja ya mahakamani hao washenzi,wanatutia taharuki wazazi
Aisee!Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuwapata watoto wawili wakiume na wakike nyumbani kwa mganga wa kienyeji anayefahamima kwa jina la Abdulikarim mkazi wa Kimara baruti.
“January 12,2025 tulipata taarifa za kuibwa watoto wawili wadogo mmoja wa kike mwingine wakiume, mmoja Miaka mitano mwingine minne, dada wa kazi kwa kushirikiana na mganga wa kienyeji Kimara walishirikiana kufanya kitendo cha kihalifu kuiba watoto”
Aidha Watoto wote wamefanyiwa vipimo Afya zao ni njema na wamekabidhiwa kwa wazazi wao wakati shauri la watuhumiwa likisubiriwa kukamilika ili kufikishwa Mahakamani.
Kwa hiyo vipimo visivyoonekana huwa ni vya kishirikina? Hivyo vipimo huchukuliwa kwa mitambo inayoonekana k.v kumkata kuku kichwa na kumuachia ghafla kisha kuangalia anavyotapatapa na kumtumbua ili kutoa maini yake na kumtafuta mchawi! Tawile! tawile! mchawi ni yule Bibi kizee aishiye nyumba ileee!Aisee!
“Wamefanyiwa vipimo na afya zao ni njema”
Je, kwa upande wa vipimo visivyoonekana Hosp.? Ama Serikali haiamini ushirikina.
Mkuu, nimetumia lugha laini ya “Vipimo visivyoonekana kwa vifaa vya hosp”.Kwa hiyo vipimo visivyoonekana huwa ni vya kishirikina? Hivyo vipimo huchukuliwa kwa mitambo inayoonekana k.v kumkata kuku kichwa na kumuachia ghafla kisha kuangalia anavyotapatapa na kumtumbua ili kutoa maini yake na kumtafuta mchawi! Tawile! tawile! mchawi ni yule Bibi kizee aishiye nyumba ileee!
Mganga alazimishwe amtaje mteja wake hata kama ni mtu mzito huko serekalini ili tupate kuwajua mashetani yalio jificha kwenye ngozi ya kondoo!!Polisi wakiamua kufanya kazi na kutowasikilia wanasiasa, kazi wanaiweza.
Hongera IGP na vijana wako.
Wakatafutiwe kisiwa kidogo baharini wawekwe huko mileleisiishie hapo tu ikiwezekana wachukuliwe hatua kali za kisheria...
Kwakweli ni maumivu sanaAfadhali wamepatikana daah kupotelewa na mtoto/watoto inauma sana
Pengine huyo mganga ahusiki kwa lolote, anaweza kuwa amedanganywa na huyo msichana " nawaacha kwa muda nitawafuata kesho"...... huyo msichana atasaidia sana uchunguzi .Huyo mganga ilitakiwa achapwe risasi hadharani iwe mfano kwa wengine sema ndio hivyo hatuna hiyo sheria..
Unasifia kitu ambacho hata kwenye maandishi na tamko la jeshi la polisi hakipoSafi sana Jeshi la polisi.
Ila CID wengine wana "jicho"la tatu,wamejiweka vzr,wamejiongeza...wana uwezo wa kutambua mharifu alipo.
Nina Rafiki mmoja ni kazi yake.
Hivi kwanini kuwa Mganga kienyeji lazima uwe muislam au upewe Jina la kiislam?