Dar: Mitaro ya kupitisha maji Sinza hali mbaya

Dar: Mitaro ya kupitisha maji Sinza hali mbaya

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259
IMG_20230506_111832.jpg
Kwa kifupi, Dar es Salaam sehemu nyingi hali ya mazingira ni mbaya sana na hiyo inafanya ugonjwa wa Kipindupindu kuendelea kututesa.

Tazama hapo ni Sinza, Barabara ya Mori, mitaro ina uchafu hadi inatia kinyaa. Sijui wahusika kama wanalifahamu hili.

WhatsApp Image 2023-05-08 at 11.59.38.jpeg
WhatsApp Image 2023-05-08 at 11.59.33.jpeg
WhatsApp Image 2023-05-08 at 11.59.37.jpeg
 
Back
Top Bottom