B Boran Jakutay Senior Member Joined Apr 8, 2023 Posts 110 Reaction score 259 May 6, 2023 #1 Kwa kifupi, Dar es Salaam sehemu nyingi hali ya mazingira ni mbaya sana na hiyo inafanya ugonjwa wa Kipindupindu kuendelea kututesa. Tazama hapo ni Sinza, Barabara ya Mori, mitaro ina uchafu hadi inatia kinyaa. Sijui wahusika kama wanalifahamu hili.
Kwa kifupi, Dar es Salaam sehemu nyingi hali ya mazingira ni mbaya sana na hiyo inafanya ugonjwa wa Kipindupindu kuendelea kututesa. Tazama hapo ni Sinza, Barabara ya Mori, mitaro ina uchafu hadi inatia kinyaa. Sijui wahusika kama wanalifahamu hili.
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 May 6, 2023 #2 Dar Es Salaam Chafu
Kalaga Baho Nongwa JF-Expert Member Joined Sep 27, 2020 Posts 9,953 Reaction score 23,150 May 7, 2023 #3 Boran Jakutay said: View attachment 2612492View attachment 2612496View attachment 2612500Kwa kifupi, Dar es Salaam sehemu nyingi hali ya mazingira ni mbaya sana na hiyo inafanya ugonjwa wa Kipindupindu kuendelea kututesa. Tazama hapo ni Sinza, Barabara ya Mori, mitaro ina uchafu hadi inatia kinyaa. Sijui wahusika kama wanalifahamu hili. Click to expand... Mbona hata mikocheni Iko hivyo?. Na Kwa nn ukakae uswahilini huko? Hamia Kijichi huku upigwe upepo wa bahari
Boran Jakutay said: View attachment 2612492View attachment 2612496View attachment 2612500Kwa kifupi, Dar es Salaam sehemu nyingi hali ya mazingira ni mbaya sana na hiyo inafanya ugonjwa wa Kipindupindu kuendelea kututesa. Tazama hapo ni Sinza, Barabara ya Mori, mitaro ina uchafu hadi inatia kinyaa. Sijui wahusika kama wanalifahamu hili. Click to expand... Mbona hata mikocheni Iko hivyo?. Na Kwa nn ukakae uswahilini huko? Hamia Kijichi huku upigwe upepo wa bahari