Anaomba msamaha kwa kukalia kiti cha watu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa jamani kwani kuna ubaya mana hata mtu akiwahi kukoment anamuomba msamaha Joseverest.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu Arusha bwanaaa!! Mimi hata kwa malipo siendi Dar kushindia chapatti za mafuta ya transformer na mishikaki ya mbwaYummy,ndo maana napenda wanaume wa dar tunanunua hii na kula woteView attachment 552555
Wa mikoani hachelewi kukulisha hiiView attachment 552557
Nasikia kuna matapeli wa kiwango cha kimataifa wazawa wenyewe wa hapohapo wanapigwa sembuse mimi ambaye natia maguu the first dayKwasababu umeshalifahu hilo basi wewe huwezi kuibiwa.
Mnataka aje huko ukamshindishe shamba avae madabwada wiki tu awe kapauka kama ajuza si ndio ee,?Umeona eeView attachment 552593 Welcome
umeua[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yummy,ndo maana napenda wanaume wa dar tunanunua hii na kula woteView attachment 552555
Wa mikoani hachelewi kukulisha hiiView attachment 552557
Sikatai hata huku wapo lakini hawa wa huku hata anavokuja unamchora tu tofauti na huko watu wamejaa mpaka pa kukanyaga hakuna halafu nasikia mkikanyagwa mnakua wakali kweli mnataka mlipwe hela ya maji ya kuogea ndoo 2[emoji23][emoji23]Unadhani huko ndio hakuna matapeli.
Na utajiri wenu tukigoma kuwauzia chakula lazima mfe tuWapi umewahi kusikia tajiri amekufa kwa njaa.?
Upo sahihiKwahiyo na we nikuite wamkoani mkuu.
kwa hiyo si wa mikoani tunazingua auYummy,ndo maana napenda wanaume wa dar tunanunua hii na kula woteView attachment 552555
Wa mikoani hachelewi kukulisha hiiView attachment 552557
Kumbe wewe unasikia ila bado hujaona basi uje uone usisikileze umbeya wa washambaSikatai hata huku wapo lakini hawa wa huku hata anavokuja unamchora tu tofauti na huko watu wamejaa mpaka pa kukanyaga hakuna halafu nasikia mkikanyagwa mnakua wakali kweli mnataka mlipwe hela ya maji ya kuogea ndoo 2[emoji23][emoji23]
Kidubuli
hakuna mkoa ambao unapata kila kitu(umejitosheleza), ila kuna mkoa ambao una kila kitu yaani DAR ES SALAAMDar inategemea misosi kutoka mikoani
Vipi tukigoma kuleta chakula huko mtafia wote hapo dar
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] manyama hayoKitu Arusha bwanaaa!! Mimi hata kwa malipo siendi Dar kushindia chapatti za mafuta ya transformer na mishikaki ya mbwa
[URL='http://www.wycliffskitchen.com/catering/'] [/URL]
Sawa kaka nitafurahi sana jamanUsijali nitakuchulia hapo mtoni ruvu yapo mengi tu hayo