DAR mkoa bora zaidi wakuishi Tanzania

DAR mkoa bora zaidi wakuishi Tanzania

Kiukwel dar nimkoa mzuri sana, me nakumbuka mwaka 2015 nilifanya msala mmoja hivi mkoani nikawa nimeenda dar kwabmkubwa wangu aise sikujutia yaaani hela hela niliyokuwa naingiza per day kwawakati ule tena hata bila kujipeleka lesi ilinifanya niipende dar, ukiishi dar karibia vitu vyote vilivyope Tanzania utaviona vyakawaida sana kwamfano wamkoani mtu akipita kashika take away au maji safi mkononi ujue nimgeni nakama nimwenyeji tayar wataanza kukusema vibaya kama hawajakwita shorobaro, ila kwadar nimaisha yakawaida sana aise navingine vingi vyakufanana nahivyo yaani dar kila mtu anaishi awezavyo naatakavyo ilimradi usivunje sheria zanchi2 ila me napapenda dar sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema kweli mkuu
 
Ni kweli wigo wa kufanya biashara Dar ni mkubwa na sababu zake zipo wazi tu 'purchasing power' na uwingi wa watu ni mkubwa kuliko mikoa mingi kwahiyo kama mtu upo 'focus' kutoboa rahisi, sema kama mtoa mada alivyotoa angalizo shida tukija tulipotoka hizi starehe zina turudisha nyuma baadhi yetu

Sema Dar kwangu binafsi sijaipenda kijamii zaidi kuna 'social unrest ' nyingi sababu za uwingi wa watu na mipango miji isiyo imara kuchukua watu wengi kwa mara moja, maana kuna mipango toka enzi za mjerumani watu wakiwa wachache mpaka leo hapa pia kama Taifa inaonyesha udhaifu wetu wa kupanga miji yetu hasa mikubwa, sababu watu lazima watahama kutoka ktk maeneo ya sio na matumaini kuja 'at least' kwenye matumaini ya maisha

Hapa pia changanya na wakuu wa mikoa dizaini ya Bashit
Nakuelewa sana mkuu
 
Ni kweli wigo wa kufanya biashara Dar ni mkubwa na sababu zake zipo wazi tu 'purchasing power' na uwingi wa watu ni mkubwa kuliko mikoa mingi kwahiyo kama mtu upo 'focus' kutoboa rahisi, sema kama mtoa mada alivyotoa angalizo shida tukija tulipotoka hizi starehe zina turudisha nyuma baadhi yetu

Sema Dar kwangu binafsi sijaipenda kijamii zaidi kuna 'social unrest ' nyingi sababu za uwingi wa watu na mipango miji isiyo imara kuchukua watu wengi kwa mara moja, maana kuna mipango toka enzi za mjerumani watu wakiwa wachache mpaka leo hapa pia kama Taifa inaonyesha udhaifu wetu wa kupanga miji yetu hasa mikubwa, sababu watu lazima watahama kutoka ktk maeneo ya sio na matumaini kuja 'at least' kwenye matumaini ya maisha

Hapa pia changanya na wakuu wa mikoa dizaini ya Bashit
Nakuelewa sana mkuu
 
Dar si ndiyo wanaume wanashindia chips mishikaki, maji ya kunywa wanafungiwa plastic maji ya jangwani na kipindupindu hakiishi, Dar ambako maji muda wote ni shida wanaishi kwa kuuziwa maji ya visima
Ukija usafiri ni shida tu, joto ndo husiseme na kwa sababu hiyo malaria haishi, wizi na wingi wa vibaka, ukipaki gari kioo au taa zimeondoka. Sasa sijui mtoa mada anaongelea raha gani zaidi ya kunukiana vikwapa
Soma mada kuu kwanza
 
images(8).jpg

Wapo kama wewe sio kama huyo ulie muweka hapo
Mmh
 
Huu ndio ukweli japo wale wanao jiita wamikoani watapinga na kutoa povu lakutosha kabisa kufilia mitumba walio nunua kwa mafungu siku za minada huko vijijini kwao ili waweze kutazamika angalau wanapoingia jijini.

Kokote duniani unapoitaja tz watu watakimbilia kwanza kuhoji kuhusu dar mana hata kama mikoa mingine haijui lakini dar ataijua tu.

Hapa ni sehemu pekee yenye kila aina ya fursa katika nchi hii.
Ukiwa hapa kama una akili zako timamu huwezi kosa pesa, kwasababu kuna kila njia za kutafutia pesa tofauti na mikoa mingine ambapo njia za kutafuta pesa ni chache.
Kuna baadhi ya mikoa hapa nchini mtu unaweza kumaliza wiki hujaingiza hata sh 5000.
Yote ni kwasababu hakuna njia za utafutaji pesa tofauti na kilimo na ufugaji.
Lakini kwa dar hali ni tofauti hapa hata mpiga debe anapata vijisenti japo wengi wangi hawana mpangilio wa matumizi.
Hasa wale wanaohamia kutoka mikoani ambao huchanganywa na starehe kuliko kuweka malengo.
Ukiwa na akili timamu mafanikio kwa dar yatakujia haraka kuliko sehemu yoyote pale tz.

Ni sehemu ambayo kila aina ya bidhaa hupatikana kwa wepesi sana.
Kuna baadhi ya mikoa hata ukiwa na pesa lakini utakosa baadhi ya bidhaa na hata zikiwepo bado zitakuwa na being ya juu.
Kuna mkoa fulani nilikuta vocha ya 1000 ikiuzwa 1200.

Maisha ya kileo yapo dar, hapa kuna kila technology ambayo ni muhimu kwa maisha ya kisasa tofauti na mikoa mingine.

Hapa mtu unaishi kwa kujiamini na bila kuangalia fulani anaongea nini kazi inakuwa ni kwako kuchanganua lipi ni lipi.

Kwa wale wapenda starehe hapa ndio penyewe, utapata kila aina ya starehe unayo itaka kwa kadri mfuko wako unavyo ruhusu.
Nasema mfuko wako kwasababu hapa hakuna undugu kwenye mambo ya starehe hivyo katika nyanja hii tumia kile ulicho nacho ili kuepusha madhara mengine hasa kwa wageni mlizingatie sana hili.
Kama hujui nini maana yake ni nini basi huwezi elewa namaanisha nini.

Fursa za ajira nyingi zipo hapa, ila ukiwa mvivu wa kufikiri unaweza usiione hata moja lakini wenzako wanakupita kwa kasi wakielekea kwenye mafanikio.

Mwisho niseme karibuni sana dar kwetu.

Pia nitumie nafasi hii kuwakumbusha kuwa adui yako mkubwa unapokanyaga dar ambaye unatakiwa kuwa makini nae ni starehe.
Pia msisahau ninyi wageni wetu ile methali isemayo Jogoo la shamba haliwiki mjini.
Mkija hapa kuweni wapole ujanja wa huko kwenu karambangaze hauwezi kuwasaidia hapa jiji.

Ahsante sana,
Furahia maisha na dar yetu.
Ulioyasema kuna ukweli kiasi lakini si yote fursa za biashara ni mahali popote kutegemea na nature ya biashara yako. Dsm ina advantage ya kuwa population kubwa(huge market) office nyingi hivyo kutoa urahisi Kama u nataka huduma yoyote pia ni import destination ambayo bidhaa nyingi imported zinafikia. Ila mikoani kunafursa nyingi sana untaped Kama ni mjanja unapiga hela kisenge.
[HASHTAG]#KARIBU[/HASHTAG] MORO MJI KASORO
 
Back
Top Bottom