DAR mkoa bora zaidi wakuishi Tanzania

DAR mkoa bora zaidi wakuishi Tanzania

Nakubaliana na wewe kwa kuwa maisha ni rahisi mno
Hata kama huna hela utakula
 
Huu ndio ukweli japo wale wanao jiita wamikoani watapinga na kutoa povu lakutosha kabisa kufilia mitumba walio nunua kwa mafungu siku za minada huko vijijini kwao ili waweze kutazamika angalau wanapoingia jijini.

Kokote duniani unapoitaja tz watu watakimbilia kwanza kuhoji kuhusu dar mana hata kama mikoa mingine haijui lakini dar ataijua tu.

Hapa ni sehemu pekee yenye kila aina ya fursa katika nchi hii.
Ukiwa hapa kama una akili zako timamu huwezi kosa pesa, kwasababu kuna kila njia za kutafutia pesa tofauti na mikoa mingine ambapo njia za kutafuta pesa ni chache.
Kuna baadhi ya mikoa hapa nchini mtu unaweza kumaliza wiki hujaingiza hata sh 5000.
Yote ni kwasababu hakuna njia za utafutaji pesa tofauti na kilimo na ufugaji.
Lakini kwa dar hali ni tofauti hapa hata mpiga debe anapata vijisenti japo wengi wangi hawana mpangilio wa matumizi.
Hasa wale wanaohamia kutoka mikoani ambao huchanganywa na starehe kuliko kuweka malengo.
Ukiwa na akili timamu mafanikio kwa dar yatakujia haraka kuliko sehemu yoyote pale tz.

Ni sehemu ambayo kila aina ya bidhaa hupatikana kwa wepesi sana.
Kuna baadhi ya mikoa hata ukiwa na pesa lakini utakosa baadhi ya bidhaa na hata zikiwepo bado zitakuwa na being ya juu.
Kuna mkoa fulani nilikuta vocha ya 1000 ikiuzwa 1200.

Maisha ya kileo yapo dar, hapa kuna kila technology ambayo ni muhimu kwa maisha ya kisasa tofauti na mikoa mingine.

Hapa mtu unaishi kwa kujiamini na bila kuangalia fulani anaongea nini kazi inakuwa ni kwako kuchanganua lipi ni lipi.

Kwa wale wapenda starehe hapa ndio penyewe, utapata kila aina ya starehe unayo itaka kwa kadri mfuko wako unavyo ruhusu.
Nasema mfuko wako kwasababu hapa hakuna undugu kwenye mambo ya starehe hivyo katika nyanja hii tumia kile ulicho nacho ili kuepusha madhara mengine hasa kwa wageni mlizingatie sana hili.
Kama hujui nini maana yake ni nini basi huwezi elewa namaanisha nini.

Fursa za ajira nyingi zipo hapa, ila ukiwa mvivu wa kufikiri unaweza usiione hata moja lakini wenzako wanakupita kwa kasi wakielekea kwenye mafanikio.

Mwisho niseme karibuni sana dar kwetu.

Pia nitumie nafasi hii kuwakumbusha kuwa adui yako mkubwa unapokanyaga dar ambaye unatakiwa kuwa makini nae ni starehe.
Pia msisahau ninyi wageni wetu ile methali isemayo Jogoo la shamba haliwiki mjini.
Mkija hapa kuweni wapole ujanja wa huko kwenu karambangaze hauwezi kuwasaidia hapa jiji.

Ahsante sana,
Furahia maisha na dar yetu.
Brain yako tu iko limited! Hayo matatizo ya mikoa mingine unayoeleza ni fursa kwa big brain, cheap ideas can't make you to be rich..!
 
nshafika apa dar alafu ata sijui napataje hizo hela ebu wenyeji nielekezeni jamani
 
Brain yako tu iko limited! Hayo matatizo ya mikoa mingine unayoeleza ni fursa kwa big brain, cheap ideas can't make you to be rich..!
Sawa, lakini kuna ulinganifu gani kati ya dar na huko kwingine?.
 
Sawa, lakini kuna ulinganifu gani kati ya dar na huko kwingine?.
Normally cheap is dearly! Dsm urahis wa maisha uko wapi pale ambapo graduate anakabhana koo na standard 7 kugombea kuuza genge!
 
Normally cheap is dearly! Dsm urahis wa maisha uko wapi pale ambapo graduate anakabhana koo na standard 7 kugombea kuuza genge!
Huko mkoani kuna magenge mangapi ya aina hiyo unayoisema.?
 
Huu ndio ukweli japo wale wanao jiita wamikoani watapinga na kutoa povu lakutosha kabisa kufilia mitumba walio nunua kwa mafungu siku za minada huko vijijini kwao ili waweze kutazamika angalau wanapoingia jijini.

Kokote duniani unapoitaja tz watu watakimbilia kwanza kuhoji kuhusu dar mana hata kama mikoa mingine haijui lakini dar ataijua tu.

Hapa ni sehemu pekee yenye kila aina ya fursa katika nchi hii.
Ukiwa hapa kama una akili zako timamu huwezi kosa pesa, kwasababu kuna kila njia za kutafutia pesa tofauti na mikoa mingine ambapo njia za kutafuta pesa ni chache.
Kuna baadhi ya mikoa hapa nchini mtu unaweza kumaliza wiki hujaingiza hata sh 5000.
Yote ni kwasababu hakuna njia za utafutaji pesa tofauti na kilimo na ufugaji.
Lakini kwa dar hali ni tofauti hapa hata mpiga debe anapata vijisenti japo wengi wangi hawana mpangilio wa matumizi.
Hasa wale wanaohamia kutoka mikoani ambao huchanganywa na starehe kuliko kuweka malengo.
Ukiwa na akili timamu mafanikio kwa dar yatakujia haraka kuliko sehemu yoyote pale tz.

Ni sehemu ambayo kila aina ya bidhaa hupatikana kwa wepesi sana.
Kuna baadhi ya mikoa hata ukiwa na pesa lakini utakosa baadhi ya bidhaa na hata zikiwepo bado zitakuwa na being ya juu.
Kuna mkoa fulani nilikuta vocha ya 1000 ikiuzwa 1200.

Maisha ya kileo yapo dar, hapa kuna kila technology ambayo ni muhimu kwa maisha ya kisasa tofauti na mikoa mingine.

Hapa mtu unaishi kwa kujiamini na bila kuangalia fulani anaongea nini kazi inakuwa ni kwako kuchanganua lipi ni lipi.

Kwa wale wapenda starehe hapa ndio penyewe, utapata kila aina ya starehe unayo itaka kwa kadri mfuko wako unavyo ruhusu.
Nasema mfuko wako kwasababu hapa hakuna undugu kwenye mambo ya starehe hivyo katika nyanja hii tumia kile ulicho nacho ili kuepusha madhara mengine hasa kwa wageni mlizingatie sana hili.
Kama hujui nini maana yake ni nini basi huwezi elewa namaanisha nini.

Fursa za ajira nyingi zipo hapa, ila ukiwa mvivu wa kufikiri unaweza usiione hata moja lakini wenzako wanakupita kwa kasi wakielekea kwenye mafanikio.

Mwisho niseme karibuni sana dar kwetu.

Pia nitumie nafasi hii kuwakumbusha kuwa adui yako mkubwa unapokanyaga dar ambaye unatakiwa kuwa makini nae ni starehe.
Pia msisahau ninyi wageni wetu ile methali isemayo Jogoo la shamba haliwiki mjini.
Mkija hapa kuweni wapole ujanja wa huko kwenu karambangaze hauwezi kuwasaidia hapa jiji.

Ahsante sana,
Furahia maisha na dar yetu.
Well said!! Mtu atasema DODOMA. kule bana kuna mvua ya vumbi, huwezi amini pepo likivuma inabidi ufumbe macho, ndo maana waliopelekwa Dom Weekend utawaona Dar.
 
Well said!! Mtu atasema DODOMA. kule bana kuna mvua ya vumbi, huwezi amini pepo likivuma inabidi ufumbe macho, ndo maana waliopelekwa Dom Weekend utawaona Dar.
Hahaha, kwali kabisa mkuu, huko hapakariki kabisa.
Kuna mikoa mingine inasikitisha sana, mfano ukienda mkoa kama wa kagera walaya za biharamulo, ngala kwa kweli hali ni mbaya sana. Huta tamani kuishi huko kabisa.
 
Hahaha, kwali kabisa mkuu, huko hapakariki kabisa.
Kuna mikoa mingine inasikitisha sana, mfano ukienda mkoa kama wa kagera walaya za biharamulo, ngala kwa kweli hali ni mbaya sana. Huta tamani kuishi huko kabisa.
Cash flow ni shida kuishi hiyo sehemu.
 
Back
Top Bottom