Dar: Mnaotumia Soko la Buguruni kipindi hiki cha mvua mnaionaje hali?

Dar: Mnaotumia Soko la Buguruni kipindi hiki cha mvua mnaionaje hali?

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259
IMG_20230416_140854.jpg
Mara kwa mara nimekuwa mtumiaji wa Soko la Buguruni lililopo Wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam, lakini kiukweli, hali sio nzuri hasa kipindi cha mvua.
IMG_20230416_140345.jpg

Kwanza wafanyabiashara wanapanga bidhaa zao mpaka Kituo cha Daladala hali inayowafanya wapita njia na abiria kupata wakati mgumu.
IMG_20230416_140150.jpg

Pia kipindi kama hiki cha mvua, hali ya usafi sio rafiki. Inaleta picha mbaya na hatirishi kwa afya za binadamu.

Matunda yanazagaa yakizungukwa na matope, ukiwa na roho nyepesi huwezi kununua bidhaa, ila wenye roho ngumu, hawajali.

Sijui kwa wengine ambao wanatumia soko hilo kama wanaridhika na hali ilivyo.
 

Attachments

  • VID-20230416-WA0000.mp4
    5.3 MB
  • VID_20230416_140739.mp4
    4 MB
  • VID_20230416_140705.mp4
    13 MB
  • VID_20230416_140633.mp4
    18.7 MB
View attachment 2589998Mara kwa mara nimekuwa mtumiaji wa Soko la Buguruni lililopo Wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam, lakini kiukweli, hali sio nzuri hasa kipindi cha mvua.
View attachment 2590002
Kwanza wafanyabiashara wanapanga bidhaa zao mpaka Kituo cha Daladala hali inayowafanya wapita njia na abiria kupata wakati mgumu.
View attachment 2590004
Pia kipindi kama hiki cha mvua, hali ya usafi sio rafiki. Inaleta picha mbaya na hatirishi kwa afya za binadamu.

Matunda yanazagaa yakizungukwa na matope, ukiwa na roho nyepesi huwezi kununua bidhaa, ila wenye roho ngumu, hawajali.

Sijui kwa wengine ambao wanatumia soko hilo kama wanaridhika na hali ilivyo.
Afadhari ya Buguruni kuliko mabibo
 
Vitu vingine ni upeo tu wa kufikiri sometime tunajiendekeza sana ni wajibu wa kila mtu kuhakikisha eneo lake la kazi ni safi na wananchi wote tuwe na tabia ya kupenda usafi..

Sio kila issue ni serikali hiyo serikali aiumwi kipindupindu hata siku moja..
 
Mlipuko wa kipindu pindu endapo kila mwananchi hatochukua tahadhariii
 
View attachment 2589998Mara kwa mara nimekuwa mtumiaji wa Soko la Buguruni lililopo Wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam, lakini kiukweli, hali sio nzuri hasa kipindi cha mvua.
View attachment 2590002
Kwanza wafanyabiashara wanapanga bidhaa zao mpaka Kituo cha Daladala hali inayowafanya wapita njia na abiria kupata wakati mgumu.
View attachment 2590004
Pia kipindi kama hiki cha mvua, hali ya usafi sio rafiki. Inaleta picha mbaya na hatirishi kwa afya za binadamu.

Matunda yanazagaa yakizungukwa na matope, ukiwa na roho nyepesi huwezi kununua bidhaa, ila wenye roho ngumu, hawajali.

Sijui kwa wengine ambao wanatumia soko hilo kama wanaridhika na hali ilivyo.
hali hii bado wananunua magari tu ya milioni mia sita mia sita, kwa kweli naanza kumkumbuka sana trump alikuwa sahihi sana aliposema miafrika ilifaa tutawaliwe tena. SHAME
 
Kipindupindu kikitokea Dsm watakufa wengi sana.
Masoko mengi yana hali mbaya sana
Mazao mengi huja masokoni katika hali ya uchafu
Matunda mengi yanakuja machafu
 
Tandale, mabibo, buguruni hayo kipindi cha mvua ni mazizi ya ng’ombe, masoko hayo yanatakiwa mitaro iliyojengewa vizuri ili ipokee na kusafirisha maji wakati wote lakini pia vyoo bora, na zege la uhakika kwa soko zima
 
Tandale, mabibo, buguruni hayo kipindi cha mvua ni mazizi ya ng’ombe, masoko hayo yanatakiwa mitaro iliyojengewa vizuri ili ipokee na kusafirisha maji wakati wote lakini pia vyoo bora, na zege la uhakika kwa soko zima
Tatizo ni siasa za kuonea watu huruma.

Yatakiwa paweko na sheria ya jinsi ya kutunza, kuhifadhi mazao na matunda, mboga mboga kabla ya kupeleka sokoni na yakiwa sokoni...

Nchi zilizoendelea matunda yote husafishwa na kuwa packed kabla hayajaenda sokoni.
Yakiwa sokoni kama yanaharibika hutunzwa kwenye ubaridi maalumu kuzuia kuharibika.

Iweje Avocados zipelekwe ulaya baada ya kusafishwa ila kwa hapa kwetu twaletewa chafuu.

Mboga za majani nyingi zinakuzwa kwa kemikali nyingi sana, hakuna taasisi inayopima wingi wa kemikali au mashamba yatumikayo katika uoteshaji.

Nyama nyingi zinaletwa katika hali mbaya sana

Maziwa mengi ni hatari kwa afya kuliko faida kwa afya
 
Back
Top Bottom