Dar Mpya Media: Hatutaomba radhi habari ya Patrobas Katambi

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Kama msimamizi wa DAR MPYA MEDIA LIMITED (Darmpya Blog&Tv Online) nasisitiza habari iliyoandikwa kumhusu N/W Katambi kuhusu kauli yake kwa vijana wa Tanzania ni maneno yake na hatuwezi kuomba radhi kwa sababu hatujakosea,Ushauri: asipoteze muda kutishia Media h.

John Marwa
CEO

 
Kama msimamizi wa DARMPYA MEDIA LIMITED (Darmpya Blog&Tv Online) nasisitiza habari iliyoandikwa kumhusu N/W Katambi kuhusu kauli yake kwa vijana wa Tanzania ni maneno yake na hatuwezi kuomba radhi kwa sababu hatujakosea.

Ushauri: asipoteze muda kutishia Media hii.
John Marwa
CEO








Habari kamili waliyoandika DarMpya Blog ni hii hapa mpaka Katambi akawataka waombe radhi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…