Dar: Mwalimu wa aliyetuhumiwa kulawiti mtoto wa miaka 6 azimia baada ya kuhukumiwa jela maisha

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Mwalimu wa Shule ya Global International, Daniel Chacha (26) amekutwa na hatia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 6 aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo iliyopo Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.

Mara baada ya kusomewa hukumu hiyo, Chacha alitakiwa kujitetea lakini alidondoka na kupoteza fahamu Mahakamani, akabebwa na askari magereza waliompatia huduma ya kwanza kumzindua.

Your browser is not able to display this video.

Pia soma:
Video: Mwalimu anayetuhumiwa Kulawiti, Kubaka Watoto wa Shule ya Msingi asomewa MASHITAKA 6 MAHAKAMANI

Kinondoni: Tuhuma za Mwalimu kulawiti na kubaka watoto wa Shule ya Msingi, Waziri atoa siku 7 za uchunguzi
 
Hukumu imeukonga moyo wangu.

Ninamsikitikia sana mtoto aliyetendewa unyama. Nilitamani Hakimu atoe order mtoto apate tiba ya kisaikolojia maana tayari huyo shetanimtu ameshamharibia mazingira ya akili zake.

Healing proccess kwa victims ni bora sana kuliko chochote
 
Wewe ni miongoni mwa wale watoto waliolawitiwa na babu seya?
Hili ni tatizo kubwa lakini naona wabongo tunafanya utani.... wazungu wanasema "Until it happens to you", kama una muda soma hapa
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…