Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Kuna watu tunawaona ni watu ila wao wanajiona ni wanyama wa mwituni hivyo ilitakiwa watu kama hao watafutwe wapelekwe mwituni wakaishi na wanyama wenzao.Mtoto wa miaka sita aisee mi sijui hata jamaa alikuwa anafikiria nini najaribu kufikiri alivyokuwa anafikiria hata haiji kichwani...
Huwaga sijawahi waelewa watu kama hawaFantasy za kipumbavu sana hizi.
Mtoto wa miaka sita unapata raha gani kumlala?
Shetani sana huyu mtuFantasy za kipumbavu sana hizi.
Mtoto wa miaka sita unapata raha gani kumlala?
Watu wanakuwa kama hayani wa mwituniFantasy za kipumbavu sana hizi.
Mtoto wa miaka sita unapata raha gani kumlala?
Hukumu imeukonga moyo wangu.Mwalimu wa Shule ya Global International, Daniel Chacha (26) amekutwa na hatia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 6 aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo iliyopo Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Mara baada ya kusomewa hukumu hiyo, Chacha alitakiwa kujitetea lakini alidondoka na kupoteza fahamu Mahakamani, akabebwa na askari magereza waliompatia huduma ya kwanza kumzindua.
Pia soma:
Video: Mwalimu anayetuhumiwa Kulawiti, Kubaka Watoto wa Shule ya Msingi asomewa MASHITAKA 6 MAHAKAMANI
Kinondoni: Tuhuma za Mwalimu kulawiti na kubaka watoto wa Shule ya Msingi, Waziri atoa siku 7 za uchunguzi
Ushahidi usiotia shaka..... please...Na bado watu wanaamini Babu Seya hakuwa hana hatia.
Yule jamaa aliyeamua kuwatoa gerezani, aendelee kulaaniwa huko aliko. Bladifaken kabisa
Pitia hii kesi hapa halafu uje usemeUshahidi usiotia shaka..... please...
Hili ni tatizo kubwa lakini naona wabongo tunafanya utani.... wazungu wanasema "Until it happens to you", kama una muda soma hapaWewe ni miongoni mwa wale watoto waliolawitiwa na babu seya?