Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
🤣🤣🤣🤸Kule haturuhusu hayo
Na ole wake tukugundue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤸Kule haturuhusu hayo
Na ole wake tukugundue
Na bado watu wanaamini Babu Seya hakuwa hana hatia.
Yule jamaa aliyeamua kuwatoa gerezani, aendelee kulaaniwa huko aliko. Bladifaken kabisa
Kuwa rais wa nchi hakumaanishi ni lazima upate taarifa sahihi. Kwa mfano krona inaweza kuwa hatari kwako kama rais lakini ukalishwa taarifa potofu kuwa siyo hatari, na ikakupta ukafa.Wewe na Rais wa nchi ni Nani mwenye uwezo wa kupata taarifa sahihi na kwawakati?
Akazinduke huko jela, kifungo kinamhusu kabisa.Huwaga sijawahi waelewa watu kama hawa
Na wao huwa wanadanganywa baadhi ya wakatiWewe na Rais wa nchi ni Nani mwenye uwezo wa kupata taarifa sahihi na kwawakati?
Mwanakulipata.Mwanakulitafuta....!
kaka haya mambo usimuwekee dhamana.watotowa secondary wanagongwa sana na walimu wao.tofauti wa secondary ni wakubwa wanajua wanafanya niniMimi pia nimehsi ktu labda jamaa alikua na mazoea nao kama wanafunz wake afu kesi ikatokea wakamtafta wa kumtwisha zigo
Huyo mpumbavu alitakiwa kuzinduliwa na kipigo kikaliMwalimu wa Shule ya Global International, Daniel Chacha (26) amekutwa na hatia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 6 aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo iliyopo Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Mara baada ya kusomewa hukumu hiyo, Chacha alitakiwa kujitetea lakini alidondoka na kupoteza fahamu Mahakamani, akabebwa na askari magereza waliompatia huduma ya kwanza kumzindua.
Pia soma:
Video: Mwalimu anayetuhumiwa Kulawiti, Kubaka Watoto wa Shule ya Msingi asomewa MASHITAKA 6 MAHAKAMANI
Kinondoni: Tuhuma za Mwalimu kulawiti na kubaka watoto wa Shule ya Msingi, Waziri atoa siku 7 za uchunguzi
Duuh! Basi kama ni hivyo Me wenye matatizo ya akili ni wengi kuliko tunavyofikiria sababu haya matukio ni mengi mengi mnoo.Unadhani Mb** inasumbua basi ? Ni upumbavu tu wa mtu mwenyewe binafsi, kichwa cha chini kikisimama kinatuma info kabisa kwenye ubongo kinataka papuchi yani unaelewa kabisa ili genye ziishe inahitajika papuchino
Huyo jamaa ana matatizo ya akili,ni Mwanaume kichaa tu ndio anawaza matako/papuchi za watoto, mtu mwenye akili timamu unajua kabisa unachotaka ni mtu mzima mwenzio na wa shape gani
AiseeMwalimu wa Shule ya Global International, Daniel Chacha (26) amekutwa na hatia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 6 aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo iliyopo Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Mara baada ya kusomewa hukumu hiyo, Chacha alitakiwa kujitetea lakini alidondoka na kupoteza fahamu Mahakamani, akabebwa na askari magereza waliompati