DAR: Mwanafunzi UDOM anyongwa

UUe then wende kanisani kuaga ujikamatishe? wangesema wamemkamatia mpakani Namanga hapo sawa! kuna watu hawakupenda hiyo mutu na mpenzie ndiyo walitimiz hayo tena uswahilini huko? KUnyonga mtu wa rika lako ni kazi sana, lazima muwe wengi au ule timing kweli kweli
 
Ulitakiwa uisaidie polisi
 
Hawa watoto waliniumiza sana
Pole kwa wazazi
Mama Idrisa Pole dada
 
ULIWAHI KUCHEZA MOVIE AU? MBNA KAMA VILE INAWEZEKANA ULIKUWA ENEO LA TUKIO?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…