DAR: Mwanafunzi UDOM anyongwa

DAR: Mwanafunzi UDOM anyongwa

UUe then wende kanisani kuaga ujikamatishe? wangesema wamemkamatia mpakani Namanga hapo sawa! kuna watu hawakupenda hiyo mutu na mpenzie ndiyo walitimiz hayo tena uswahilini huko? KUnyonga mtu wa rika lako ni kazi sana, lazima muwe wengi au ule timing kweli kweli
 
Huenda wakiwa ghouse, husband to be alipitia simu ya wife to be akakuta vitu na sms zisizofaa. Katika prukushani, husband to be akawa amakamata mtandio wa mpenzi wake kiasi ukatelezea shingoni kuwa km anamkaba. Binti kuona anakabwa ( ingawa ilikuwa tisha toto), akahamaki na kumng'ata kikwelikweli husband. Husband akatapatapa na kukaza kidogo mtandio ili wife asiendelee kumng'ata. Kukawa na kusukumana huku na huku kiasi mtandio ukakaza zaidi...........Pole yao. Mungu aepushie mbali haya!!!
Ulitakiwa uisaidie polisi
 
Hawa watoto waliniumiza sana
Pole kwa wazazi
Mama Idrisa Pole dada
 
Huenda wakiwa ghouse, husband to be alipitia simu ya wife to be akakuta vitu na sms zisizofaa. Katika prukushani, husband to be akawa amakamata mtandio wa mpenzi wake kiasi ukatelezea shingoni kuwa km anamkaba. Binti kuona anakabwa ( ingawa ilikuwa tisha toto), akahamaki na kumng'ata kikwelikweli husband. Husband akatapatapa na kukaza kidogo mtandio ili wife asiendelee kumng'ata. Kukawa na kusukumana huku na huku kiasi mtandio ukakaza zaidi...........Pole yao. Mungu aepushie mbali haya!!!
ULIWAHI KUCHEZA MOVIE AU? MBNA KAMA VILE INAWEZEKANA ULIKUWA ENEO LA TUKIO?
 
Back
Top Bottom