raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hivi wakti ana hutubia hapo zoezi lili simama au lilikuwa liki endelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ifike wakati hawa viongozi hasahasa Afrika waaache kumsingizia Mungu. Hili jengo kuporomoka ni matokea ya uzembe. Waliopoteza maisha ni matokeo ya uzembe.Rais Samia Suluhu Hassan amewasili hivi punde Kariakoo, Dar es Salaam, ambapo jengo la Gorofa liliporomoka Jumamosi na kusababisha vifo vya watu na wengine kujeruhiwa....
Je sio kweli kwamba meno ya mbwa hayang'atani????Magorofa Yote ni ya wadau wa CCM
Ulale Unono 😄
Rais Samia ameahidi kuweka wazi matokeo ya Tume ya kuchunguza Ubora wa majengo ya Kariakoo akisema jengi lililoporomoka linaashiria udhaifu wa Kiutendaji na uwajibikaji wa mamlaka za serikali na wamiliki wa Jengo.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DCmJVnHqYhZ/?igsh=a3JieHBwY3Q1N3Zl
My Take
Tume 2 zimeundwa kabla,nasubiria kuona utofauti wa Tume ya Sasa .
Kama taarifa gani hiyo ya kabatini? Mimi Huwa sisimuliwi najua utendaji wa Rais ,Sasa na wewe nitajie hiyo Tume aliyoweka taarifa kabatiniOgopa tapeli. Huyu ni bingwa wa tume za taarifa za kabatini.
Taarifa ya CAG kaifanyia kazi?Kama taarifa gani hiyo ya kabatini? Mimi Huwa sisimuliwi najua utendaji wa Rais ,Sasa na wewe nitajie hiyo Tume aliyoweka taarifa kabatini
Umetapeliwa nini?Ogopa tapeli. Huyu ni bingwa wa tume za taarifa za kabatini.
CAG ni Tume?Taarifa ya CAG kaifanyia kazi?
Atume muwakilishi nae anataka asafiri, akaseti mipango yake sawa.ili kufanya hivyo ilipaswa awe na uchungu, ila hana uchungu wowote. Ingekuwa mtu mwenye busara angeghairisha safari na kutuma mwakilishi, badala yake kaendelea na mambo yake tu.
Huyu mama akapumzike tu, maana hata kiakili hayupo kiuongozi, ni kama mtu aliejichokea tayari.
Soko kuungua kariakooKama taarifa gani hiyo ya kabatini? Mimi Huwa sisimuliwi najua utendaji wa Rais ,Sasa na wewe nitajie hiyo Tume aliyoweka taarifa kabatini
Kulikuwa na maafa ya watu? Mbona RC Chalamila alishaitoa kitambo?Soko kuungua kariakoo