utala utala TU
Senior Member
- Aug 13, 2024
- 187
- 275
Ajabu sana,afu mi nilitegemea Kuna watu watachukuliwa hatua za kisheria mapema sana,lakini hat speak ya uyu mama haionyeshi ilo kama limefanyikaWatu wachache sana wamesababisha msaafa, mpaka sasa wapo uraiani wanapiga mvinyo huku wanasubiri sakata lipoe waanzishe dili lipya. Kumbuka bila madili mjini hakuishiki
Zote ni ripoti zilizopaswa fanyiwa kazi.. je, maazimio ya cag yalifanyiwa kazi?!CAG ni Tume?
PKulikuwa na maafa ya watu? Mbona RC Chalamila alishaitoa kitambo?
Achana TU na Milion 700,Maonyesho yanakuwaga mengi sana kipindi cha Sherehe ila likitokea janga sijui wanakuwa hawaoniSiku ya 5, jengo la ghorofa 4 bado wanahangaika nalo, badala ya kujifunza hapa, ikatolewa pesa vifaa vikanunuliwa ili siku zijazo tusifedheheke, katoa milioni 700 kwa taifa stars.
Jana watu walikuwa wanajadili humu kitanda muhimbili ni 50 elfu kwa siku.
Tume ya utekaji wa watu?Kama taarifa gani hiyo ya kabatini? Mimi Huwa sisimuliwi najua utendaji wa Rais ,Sasa na wewe nitajie hiyo Tume aliyoweka taarifa kabatini
Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.Umetapeliwa nini?
Lisu alikuita mkaidai lakini mliingia mitini!Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Kukaa hapa Dar ni kuingia mitini?Lisu alikuita mkaidai lakini mliingia mitini!
Nchi ya kisenge sana hiiAchana TU na Milion 700,Maonyesho yanakuwaga mengi sana kipindi cha Sherehe ila likitokea janga sijui wanakuwa hawaoni
Iliundwa lini na Kwa Ajili ya nini? Bora muendelee kutekwaTume ya utekaji wa watu?
Kwani hazijafanyiwa kazi?Zote ni ripoti zilizopaswa fanyiwa kazi.. je, maazimio ya cag yalifanyiwa kazi?!
Kuhudhuria msiba au kuhani msiba...kupanga ni kuchaguaSiku ya 5, jengo la ghorofa 4 bado wanahangaika nalo, badala ya kujifunza hapa, ikatolewa pesa vifaa vikanunuliwa ili siku zijazo tusifedheheke, katoa milioni 700 kwa taifa stars.
Jana watu walikuwa wanajadili humu kitanda muhimbili ni 50 elfu kwa siku.
Ni vema zaidi kuweka jitihada zetu wakati mtu yupo hai, ukimchangia mgonjwa elfu 10 ya matibabu ama usimchangie kabisa, ila kwenye umauti wake ukatoa laki 2 haileti picha nzuri.Kuhudhuria msiba au kuhani msiba...kupanga ni kuchagua