Hahahahha!ila kwa kweli ule mdudu....kaaahh!km kaukuza duuh!sio poa!yaani kiasi waumie na wapate wivu!Ahahah Jaman Wanazengo mshaanza nongwa[emoji23][emoji23], mtu kawazid muhogo, kama mange alivyosema dudu ya harmonize ni uunganishe dudu za wanaume wa wasafi wote ndo upate ya harmonize lazima wapate stress[emoji23][emoji23]
Harmonize wangu mwanaume buana [emoji23][emoji23], wanamuonea wivu kabarikiwa chini
P funk anavumilia makubwa sana kama ni kweli Paula katumiwa hizo video na anakazwa na Harmo, hivi viatu ni vizito mno
imagine usikie mama mtoto wako pamoja na binti yako wanaliwa na jamaa fulani alafu baadae usikie jamaa kamtumia binti yako videos za mjulubeng aisee!!!!
Uume wa mwanaume hauna issue ingekuwa papuchi sawa...😁😁😁😁Video haziwezi kufutika mkuu,damage is done, i agree with you though walichofanya gang la wasafi sio vizuri,is high time wamlipe Kondeboy kwa damage waliyofanya,
hapo ndo amekwama, Kajala hawezi kuleaNilikua namuonaga p funk bonge la mjanja kumbe fala tu ... ila alishasemag yeye paula kamshindwa kamuachia Mama yake
Damage mboro ya msela kuonekana?Video haziwezi kufutika mkuu,damage is done, i agree with you though walichofanya gang la wasafi sio vizuri,is high time wamlipe Kondeboy kwa damage waliyofanya,
Na wakimaliza wasome dua/ ibada ya shukuraniAcha wafu wazikane
Dah mm pia nilikuwa nakifiria hicho hichoWasafi hawakuchanga vizuri karata zao katika hili jambo, kama lengo lilikuwa ni kujibu mapigo kwa dogo ilipaswa picha zivujishwe bila wao kujihusisha dhahiri....mambo yakishavuma ndipo angejitokeza Vanny na waraka wake wa kumkanya nduguye huyo.
Na sio kama walivyofanya kuvujisha mambo live!
🤣🤣🤣 Jeshi kakimbilia polisiKukimbilia polisi sio uanaume.. Ilibidi nae ajipange ajibu mapigo kimya kimya kama bluce lee.. Sasa anakimbilia polisi kutafuta huruma.. Kweri nimeamini konde boy ni mshamba wa chitohori mtwara vijijin... Tena mwari wa kimakonde kabisa.... Afu anaimba imba " huo ni ushamba huo ni" wakati yey ndio mshamba namba moja.
Mbona dogo inno amekuwa mpole sana?Wcb walidhani wanaimiliki bongofleva ila hawasomi alama za nyakati huu ndo muda wao kuonyeshwa kuna kupitwa na wakati
Na wewe kakupeleka polisi?Haya, tuseme P Funk kakamata pisto amuondoe mmoja, kati ya Vanny na Hamo ataondoka na nani? Jibu utapata, Hamo.
Tuseme Kajala kamata pisto amuondoe mmoja, kati ya Vanny na Hamo ataondoka na nani? Jibu, Hamo.
Mnafki na snichi anakera sana.
Wanamchokoza kivipi? Umesahau kwamba ni Konde Boy ndie alianza kuandika gazeti reeeeeeeefu kumshutumu Rayvanny kwamba anatembea na mwanafunzi na kutaka mamlaka husika yamchukulie sheria! Kama hiyo haitoshi, Mmakonde akawa mbelembele kwenda polisi na Kajala eti kwenda kumshitaki Rayvanny kwa kutembea na mwanafunzi; kumbe lilikuwa linaona wivu!!!!Mnamchokoza wa nini kama mnajua weakness hio yake? 🙄 😳
Hamonaiza (Magu's voice) ni mnafki na snichi. Hilo halina ubishi.Na wewe kakupeleka polisi?
Imekuaje tena?Hamonaiza (Magu's voice) ni mnafki na snichi. Hilo halina ubishi.
Hapa ndio unafki na usnichi wa hamonize ulipoanza kuonekana wazi.Umesahau kwamba ni Konde Boy ndie alianza kuandika gazeti reeeeeeeefu kumshutumu Rayvanny kwamba anatembea na mwanafunzi na kutaka mamlaka husika yamchukulie sheria! Kama hiyo haitoshi, Mmakonde akawa mbelembele kwenda polisi na Kajala eti kwenda kumshitaki Rayvanny kwa kutembea na mwanafunzi; kumbe lilikuwa linaona wivu!!!!
Ajabu watu wanajifanya hawalioni hili!!Hapa ndio unafki na usnichi wa hamonize ulipoanza kuonekana wazi.