Dar: Rayvanny afikishwa Kituo cha Polisi

Hahahahha!ila kwa kweli ule mdudu....kaaahh!km kaukuza duuh!sio poa!yaani kiasi waumie na wapate wivu!
 
Rayvanny anatuaibisha watu wa Mbeya hata kama alizama penzini siyo kwa upumbavu aliofikia kuufanya kisa tu manzi ambaye hata ukute hakumbikiri yeye, kama kashindwa music arudi Nzovwe/Itende tuendelee kupaliliaa miche ya kahawa hapa na akishindwa atafyatua tofali kuna mashine hapa.
 

Nilikua namuonaga p funk bonge la mjanja kumbe fala tu ... ila alishasemag yeye paula kamshindwa kamuachia Mama yake
 
Dah mm pia nilikuwa nakifiria hicho hicho
 
🤣🤣🤣 Jeshi kakimbilia polisi
 
Haya, tuseme P Funk kakamata pisto amuondoe mmoja, kati ya Vanny na Hamo ataondoka na nani? Jibu utapata, Hamo.
Tuseme Kajala kamata pisto amuondoe mmoja, kati ya Vanny na Hamo ataondoka na nani? Jibu, Hamo.
Mnafki na snichi anakera sana.
 
Haya, tuseme P Funk kakamata pisto amuondoe mmoja, kati ya Vanny na Hamo ataondoka na nani? Jibu utapata, Hamo.
Tuseme Kajala kamata pisto amuondoe mmoja, kati ya Vanny na Hamo ataondoka na nani? Jibu, Hamo.
Mnafki na snichi anakera sana.
Na wewe kakupeleka polisi?
 
Mnamchokoza wa nini kama mnajua weakness hio yake? 🙄 😳
Wanamchokoza kivipi? Umesahau kwamba ni Konde Boy ndie alianza kuandika gazeti reeeeeeeefu kumshutumu Rayvanny kwamba anatembea na mwanafunzi na kutaka mamlaka husika yamchukulie sheria! Kama hiyo haitoshi, Mmakonde akawa mbelembele kwenda polisi na Kajala eti kwenda kumshitaki Rayvanny kwa kutembea na mwanafunzi; kumbe lilikuwa linaona wivu!!!!

Sasa ni nani hapo kachokozwa?! Au ndo yale ya Waswahili, kwamba kunya anye kuku, akinya bata kaharisha, huku WCB/Diamond mkiona ndo bata mwenyewe!
 
Hapa ndio unafki na usnichi wa hamonize ulipoanza kuonekana wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…