Dar: Rayvanny afikishwa Kituo cha Polisi

Dar: Rayvanny afikishwa Kituo cha Polisi

Ahahah Jaman Wanazengo mshaanza nongwa[emoji23][emoji23], mtu kawazid muhogo, kama mange alivyosema dudu ya harmonize ni uunganishe dudu za wanaume wa wasafi wote ndo upate ya harmonize lazima wapate stress[emoji23][emoji23]


Harmonize wangu mwanaume buana [emoji23][emoji23], wanamuonea wivu kabarikiwa chini
Hahahahha!ila kwa kweli ule mdudu....kaaahh!km kaukuza duuh!sio poa!yaani kiasi waumie na wapate wivu!
 
Rayvanny anatuaibisha watu wa Mbeya hata kama alizama penzini siyo kwa upumbavu aliofikia kuufanya kisa tu manzi ambaye hata ukute hakumbikiri yeye, kama kashindwa music arudi Nzovwe/Itende tuendelee kupaliliaa miche ya kahawa hapa na akishindwa atafyatua tofali kuna mashine hapa.
 
P funk anavumilia makubwa sana kama ni kweli Paula katumiwa hizo video na anakazwa na Harmo, hivi viatu ni vizito mno
imagine usikie mama mtoto wako pamoja na binti yako wanaliwa na jamaa fulani alafu baadae usikie jamaa kamtumia binti yako videos za mjulubeng aisee!!!!

Nilikua namuonaga p funk bonge la mjanja kumbe fala tu ... ila alishasemag yeye paula kamshindwa kamuachia Mama yake
 
Wasafi hawakuchanga vizuri karata zao katika hili jambo, kama lengo lilikuwa ni kujibu mapigo kwa dogo ilipaswa picha zivujishwe bila wao kujihusisha dhahiri....mambo yakishavuma ndipo angejitokeza Vanny na waraka wake wa kumkanya nduguye huyo.
Na sio kama walivyofanya kuvujisha mambo live!
Dah mm pia nilikuwa nakifiria hicho hicho
 
Kukimbilia polisi sio uanaume.. Ilibidi nae ajipange ajibu mapigo kimya kimya kama bluce lee.. Sasa anakimbilia polisi kutafuta huruma.. Kweri nimeamini konde boy ni mshamba wa chitohori mtwara vijijin... Tena mwari wa kimakonde kabisa.... Afu anaimba imba " huo ni ushamba huo ni" wakati yey ndio mshamba namba moja.
🤣🤣🤣 Jeshi kakimbilia polisi
 
Haya, tuseme P Funk kakamata pisto amuondoe mmoja, kati ya Vanny na Hamo ataondoka na nani? Jibu utapata, Hamo.
Tuseme Kajala kamata pisto amuondoe mmoja, kati ya Vanny na Hamo ataondoka na nani? Jibu, Hamo.
Mnafki na snichi anakera sana.
 
Haya, tuseme P Funk kakamata pisto amuondoe mmoja, kati ya Vanny na Hamo ataondoka na nani? Jibu utapata, Hamo.
Tuseme Kajala kamata pisto amuondoe mmoja, kati ya Vanny na Hamo ataondoka na nani? Jibu, Hamo.
Mnafki na snichi anakera sana.
Na wewe kakupeleka polisi?
 
Mnamchokoza wa nini kama mnajua weakness hio yake? 🙄 😳
Wanamchokoza kivipi? Umesahau kwamba ni Konde Boy ndie alianza kuandika gazeti reeeeeeeefu kumshutumu Rayvanny kwamba anatembea na mwanafunzi na kutaka mamlaka husika yamchukulie sheria! Kama hiyo haitoshi, Mmakonde akawa mbelembele kwenda polisi na Kajala eti kwenda kumshitaki Rayvanny kwa kutembea na mwanafunzi; kumbe lilikuwa linaona wivu!!!!

Sasa ni nani hapo kachokozwa?! Au ndo yale ya Waswahili, kwamba kunya anye kuku, akinya bata kaharisha, huku WCB/Diamond mkiona ndo bata mwenyewe!
 
Umesahau kwamba ni Konde Boy ndie alianza kuandika gazeti reeeeeeeefu kumshutumu Rayvanny kwamba anatembea na mwanafunzi na kutaka mamlaka husika yamchukulie sheria! Kama hiyo haitoshi, Mmakonde akawa mbelembele kwenda polisi na Kajala eti kwenda kumshitaki Rayvanny kwa kutembea na mwanafunzi; kumbe lilikuwa linaona wivu!!!!
Hapa ndio unafki na usnichi wa hamonize ulipoanza kuonekana wazi.
 
Back
Top Bottom