mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Kwahy mlivyokua mnasambaza video mlitaka awachekee kama vip baba levo na wcb yote ifungiwe tafrah sanaMmakonde ana roho mbaya sana ni vile wabongo hawamjui tu na mambo ya timu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahy mlivyokua mnasambaza video mlitaka awachekee kama vip baba levo na wcb yote ifungiwe tafrah sanaMmakonde ana roho mbaya sana ni vile wabongo hawamjui tu na mambo ya timu.
Kwan ww kakuambia anakupendaNamchukia sana huyu mmakonde sahiv
Na ww tulia..Amemtafuta Ray wapi na lini?Kamtafuta ray siku nyingi akafikir ray ni yule yule mpole safari hii ray kaona anavuka mipaka kutaka afungwe kumchafua amebaka mwanafunzi
Kichwa cha habari, umepata mhaho 😂😂😂Kwahy mlivyokua mnasambaza video mlitaka awachekee kama vip baba levo na wcb yote ifungiwe tafrah sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]nimekuelewa sasa[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Unamshangaa binamu wakati amesikia mmakonde ana mguu wa mtoto unadhani kwa mmakonde anafagilia nyimbo basi
Kosa linaanzia kwa Harmonize msiangalie upande mmoja tuVideo haziwezi kufutika mkuu,damage is done, i agree with you though walichofanya gang la wasafi sio vizuri,is high time wamlipe Kondeboy kwa damage waliyofanya,
Na hivi binamu umesikia konde ana mguu wa mtoto lazima umtetee, Binamu vipi lakini maana siku nyingi kweli kweli, Binamu zima taaa!
Dawa ya moto ni moto, ndio alichofanya Rayvanny ila siku zote anaemaliza anaonekana mbayaAnajibu kiudhalilishaji au ndo kupanic?
hahaha kaka nina stress? kisa pesa? Hahahaha sawa ngoja nikae kimya ninaweza kukudisappoint.....kaka una stress tafuta mpunga akili ipoe
Dawa ya moto ni moto, ndio alichofanya Rayvanny ila siku zote anaemaliza anaonekana mbaya
Mange ameziona dudu za wanaume wote wa wasafi?Ahahah Jaman Wanazengo mshaanza nongwa[emoji23][emoji23], mtu kawazid muhogo, kama mange alivyosema dudu ya harmonize ni uunganishe dudu za wanaume wa wasafi wote ndo upate ya harmonize lazima wapate stress[emoji23][emoji23]
Harmonize wangu mwanaume buana [emoji23][emoji23], wanamuonea wivu kabarikiwa chini
Wacha tuone movieHajamaliza ndo kwanzaa movie imeanza
P funk anavumilia makubwa sana kama ni kweli Paula katumiwa hizo video na anakazwa na Harmo, hivi viatu ni vizito mnoTuangaliege na wanawake wa kuzaa nao.Hii vita anaumia zaidi ni Paula,japo mwenyewe na mama yake hawajui.
Halafu Majani mwenyewe hana time ndio kwanza leo anaitangaza project mpya ya Raptcha.
View attachment 1752833
Sasa Harmo anaenda mahakamani,kama Ray akisema kazipata kwa Paula,halafu Paula wakambana akazionyesha na yeye si anakuwa na kesi ile ile kama ya Rayvanny ya kusambaza picha za uchi wake.
Kijeba hajamla Paula. Kaishia kudhalilikaP funk anavumilia makubwa sana kama ni kweli Paula katumiwa hizo video na anakazwa na Harmo, hivi viatu ni vizito mno
imagine usikie mama mtoto wako pamoja na binti yako wanaliwa na jamaa fulani alafu baadae usikie jamaa kamtumia binti yako videos za mjulubeng aisee!!!!
Hapo hakuna atakachoambulia zaidi ya kupotezeana muda wa kuhudhuria mahakamani tu.Video haziwezi kufutika mkuu,damage is done, i agree with you though walichofanya gang la wasafi sio vizuri,is high time wamlipe Kondeboy kwa damage waliyofanya,
Kweli hawakutumia akili, hafu mwanaume kuvujisha video za uume wa mwanaume mwenzako ni ujinga uliokithiri aisee. Kumbe wasafi ni wajinga na Bora konde kashtaki police na Sasa video ikivuja nyingine wao ndo wahusika. Kwa hili Jambo wasafi wamekuwa wajinga, na huyo baba levo kubwa jinga to much kuropoka.Wasafi hawakuchanga vizuri karata zao katika hili jambo, kama lengo lilikuwa ni kujibu mapigo kwa dogo ilipaswa picha zivujishwe bila wao kujihusisha dhahiri....mambo yakishavuma ndipo angejitokeza Vanny na waraka wake wa kumkanya nduguye huyo.
Na sio kama walivyofanya kuvujisha mambo live!
Mwanaume kutaka mwenzio afungwe miaka 30 ndio ujanja au sioKweli hawakutumia akili, hafu mwanaume kuvujisha video za uume wa mwanaume mwenzako ni ujinga uliokithiri aisee. Kumbe wasafi ni wajinga na Bora konde kashtaki police na Sasa video ikivuja nyingine wao ndo wahusika. Kwa hili Jambo wasafi wamekuwa wajinga, na huyo baba levo kubwa jinga to much kuropoka.
N. B Mimi sio shabiki wa hzo team mbili