Mdau jf
Senior Member
- Sep 10, 2020
- 182
- 313
Mrembo kama anachokisema huyo jamaa ni kweli naomba ni PM namba yako,Umekosa la kuongea? hovyooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrembo kama anachokisema huyo jamaa ni kweli naomba ni PM namba yako,Umekosa la kuongea? hovyooo
Being a father is a real jobP funk anavumilia makubwa sana kama ni kweli Paula katumiwa hizo video na anakazwa na Harmo, hivi viatu ni vizito mno
imagine usikie mama mtoto wako pamoja na binti yako wanaliwa na jamaa fulani alafu baadae usikie jamaa kamtumia binti yako videos za mjulubeng aisee!!!!
Mbona dogo inno amekuwa mpole sana?
We binamu usimlaumu kinywele ki1 best maana huwezi jua maneno gani makali Kajala kamuambia Baba P,achana na sisi wanawake ujue ukute ktk harakati za kumchunga mtoto Ambazo P alikua anafanya,K kuna maneno Makali kamtamkia mzazi mwenziwe ndo maana baba wa watu amerudi nyuma kidogo!Nilikua namuonaga p funk bonge la mjanja kumbe fala tu ... ila alishasemag yeye paula kamshindwa kamuachia Mama yake
we jamaa leo umekuwa Mwanamke !!!!!!We binamu usimlaumu kinywele ki1 best maana huwezi jua maneno gani makali Kajala kamuambia Baba P,achana na sisi wanawake ujue ukute ktk harakati za kumchunga mtoto Ambazo P alikua anafanya,K kuna maneno Makali kamtamkia mzazi mwenziwe ndo maana baba wa watu amerudi nyuma kidogo!
Wanawake sisi tuna kera na kuna mda ukute kamtamkia shoombo hizooo P kende zote zikanywea!Mimi simlaumu majani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had mbavu zinauma wallah khaaaahMaajabu hayatakuja kuisha, hawa si ndugu, yaani Ray kaoa kwa Harmo?
Wamalize kiundugu tu.
Ni mke wangu namkazaNi mumeo? Huwa anakukaza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo akajibu mashtka polisi , Yan Kitendo cha kupelekwa tu polisi nimefurahi sana yani [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Harmonize siyo Kiba. Atawapelekaaaaa. Atawapekelekea motooooo. Mwaka huu mpaka mashoga mtajifungua kwa uchungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 1752830
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Paula na mama yake wote ni malaya, unafilimba tu kwa mafungu kama nyanya.
What's so special na hao malaya ?
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]kumbe mi me?!!@shunie@Mzigua90 eti mi ni ke or me?!!we jamaa leo umekuwa Mwanamke !!!!!!
Mpatie mtaro wako akusafishe.Hapa ukute wenye vibamia wengi wanamchukia Harmonize.
Harmo kidume kweli kweli.
Sasa huyo rayvan file lake na mbunge fulan ambae sasa ni naibu waziri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna faili lake na Majizo ni vile watu wanamlindia heshima majizo tu lingeachiwa pia [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lazimaawe mpole chezea didu la yuyu la harmo kuubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanapovuka kiuoga uoga
pacha nawewe una mafile kama yoteee...duuuh ebu ning'ate sikio mwenzioSasa huyo rayvan file lake na mbunge fulan ambae sasa ni naibu waziri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii dunia ni ndogo ila ina makubwa, waachie kwan hiyo ya konde na majay, utaona za rayvan zitakavoshushwa, toka za jamaa aliyeporwa na mbunge, had boss fulan ambapo anawachanganya rayvan na msanii mwenzie.
Kwenye hili wasiguse kabisa, WCB nzima ni wahusika. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rayvanny anatuaibisha watu wa Mbeya hata kama alizama penzini siyo kwa upumbavu aliofikia kuufanya kisa tu manzi ambaye hata ukute hakumbikiri yeye, kama kashindwa music arudi Nzovwe/Itende tuendelee kupaliliaa miche ya kahawa hapa na akishindwa atafyatua tofali kuna mashine hapa.