Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

ulikutana nao kwenye escot au ulikutana nao wapi mkuu???

tunachozungumza ni maeneo hatari mfano katika kusindikiza pesa kama hizo...

wewe UKnaleta matukio ya wapi mkuu??
Nlikuwa napaki gari akaniambia (tusi) nlikuwa naenda ATM kisa anaona eti nimepaki karibu na kibanda chao badala ya kuniambia kistaarabu maana nlikuwa sijui tena ni madogo sema lugha hata mimi nlimwambia sababu una sare zako nakuacha ila ungekuwa kitaa ningekifumua nkasepa
 
Ipo haja ya polisi kuchukuliwa kutoka sumajkt
 
Mkuu kwa mara ya kwanza leo naomba kutofautiana na wewe!!
Mwanajeshi hayuko juu ya sheria... Wakati wa kuweka hizo pesa hatakiwi kuwepo mtu pale. Kazi hiyo ni ya hatari hivyo inatakiwa kufanyika kwa haraka, inaweza kuwa kuna majambazi yanafanya timing tu msimame pale yalenge shabaha na kuondoka na fedha, hivyo hawawezi kumsubiria mtu mpaka amalize kazi zake ndipo waweke. Huyo mwanajeshi alitakiwa kucancel transaction na kuondoka pale haraka na sio kutaka abembelezwe kama alivyodai... Pale kuondoka ni amri sio ombi.

By the way mkuu, wengi humu mnatetea mwanajeshi kwa kudhani kuwa ndio friendly na raia, si kweli... Kwa nchi ya Tanzania polisi na wanajeshi ni walewale tu, ukitaka kuamini, watu waandamane tarehe 26, polisi wazidiwe uone kama wanajeshi hawajaingia barabarani kupiga r
 
Nakubaliana nawe kabisa, lakini sio kufika na kumtoa mtu ndani kama mhalifu huku umemuelekezea bunduki. Kumbuka huyo mwanajeshi ni train soldier na anaelewa madhara ya kuelekezewa bunduki na reaction yake ni pap hadi ikamshangaza mshika bunduki
 
Askari wetu lishe ndogo hawana mazoezi.

Bunduki ndio roho yao
 
Hilo la maandamano tuliache hapa, ila kumbuka Misri walifanyaje
 
Hilo la maandamano tuliache hapa, ila kumbuka Misri walifanyaje
 
Ila yeye wanajeshi anaweza kumwambia na kumfanya mtu upuuzi....
Kisa nini?
Hilo ni funzo kuwa wanavyowaonea raia mtaani wajuwe kuwa wanaumia vile vile

Walikutana mwenye lugha mbovu na mwenye vitendo viovu!
Nashangaa wanaowatetea sana hawa wanajeshi, nao ni waonevu tu kwa raia sawa tu na hao polisi, wanajeshi hawachelewi kupiga raia kwenye mtaa flani kisa tu mwenzao kaporwa demu...@cc@Chakaza.
 
Nakubaliana nawe kabisa, lakini sio kufika na kumtoa mtu ndani kama mhalifu huku umemuelekezea bunduki. Kumbuka huyo mwanajeshi ni train soldier na anaelewa madhara ya kuelekezewa bunduki na reaction yake ni pap hadi ikamshangaza mshika bunduki
Hapana, aliambiwa atoweke, yeye akadinda na kudai aambiwe "kistaarabu", Ndipo wakamuelekezea mtutu...
 


MY TAKE YAKO NI VERY STUPIDY: WHY?

MWENZAKO ANASILAHA, YUPO MBALI, KUNA MTU UMEMWONA AMEISHIKA SILAHA YAKE ANAIINUA JUU, PENGINE ALIWAZA ANAICHUKUA KWA NGUVU, ANAACHAJE TU TAKE ACTION? MKIWA WATAZAMAJI MNAPENDA KUSEMA MAMBO MENGI YASIYO NA MAANA, NA JE HUYO MWANAJESHI ALIKUWA NA UNIFORM? WANAJUAJE NI JAMBAZI?
 
Sawa, turudi kwenye mada, alitakiwa kucancel transaction na kuondoka haraka, ni amri, sio ombi..
Siku utatukaniwa mama yako mzazi na jamaa ndo utakuja kurudi kuanzisha thread humu mimi yamenikutaga hata kama unatoa amri si kwa maneno machafu na hapa yote yametokea haya sababu ya lugha chafu na mimi nawajua jamaa wakiwa na sare na bunduki huwaambii kitu
 
Nakubaliana na wewe katika jambo moja tu, yule askari polisi hakutakiwa kumsogolea huyo mtu(mwanajeshi)kiasi cha kushika silaha, hilo ndio kosa la polisi, hayo mengine niko kinyume na wewe!
 
Unayedhani mjinga yupo hai.Hao wenye akili mmoja kalazwa chini.
 
Hilo la kutukaniwa mama yako siyo sahihi, ila wakiwa na sare na bunduki ni kweli hutakiwi 'kuwaambia kitu', na wala hutakiwi kuwasogelea.. Ukikaidi amri katika maeneo ya hatari kama wakati wa kusindikiza pesa au kuweka pesa anashauriwa akutandike shaba, kwa ajili ya usalama wa maisha yake.. Kulwa alichelewa kumtandika shaba huyo mwanajeshi, matokeo yake kapoteza maisha yeye!
 
Uko ATM unataka uambiwe kistaarabu,je huo mwanya wa kuambiana kistaarabu ukitumika na wakora kufanya uhalifu nani atashutumiwa?

Unashika mtutu wa bunduki unauelekezea juu,unadhani askari ambaye yuko mbali na eneo atahisi nini kama siyo kukumiminia risasi wewe uliyeshika mtutu wa bunduki?

Tuwapende JWTZ tu kwasababu uonevu wao kwa raia unafanyika mara mojamoja kutokana na necha ya kazi yao,lakini ingebadilishwa JWTZ wafanye kazi ya polisi na polisi waende kwenye mipaka wakafanye kazi ya JWTZ,hakika polisi wangependwa.

Sheria ichukue mkondo wake.
 
Unayedhani mjinga yupo hai.Hao wenye akili mmoja kalazwa chini.
Hilo la mjinga na mwenye akili tuliache kwanza, ila alichofanya askari wa JWTZ ni aibu kwa jeshi, anatakiwa achukuliwe hatua, ila kulindana pia bado kupo, inaweza ikapotezewa kimya kimya au jeshi likamkana kuwa siyo mtu wetu, na kumficha mahali..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…