Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

Pole mjeshi. tatizo nchi hii wanajeshi tunawachezea kama shemeji zetu, nadhani ametoa somo. wanajeshi waheshimiwe! wasichokozwe bila sababu. matokeo ya askari hata kulenga shabaha hajui! Wanajeshi wapewe heshima yao, wao hawakurupuki ktk mamuzi yao. nadhani alidharauliwa sana mpaka kuingia kwenye ugomvi huo. Upone haraka mjeshi urudi kulitumika taifa letu pendwa🙁
Jeuri mwenzie ni dharau na ikizidi ujue inakuwa kiburi!...
Ilitakiwa asepe... kuwa jeshi so kigezo cha kudharau wengine...kaajiriwa na analipwa vile vile..so wote wana umuhimu!
Kama ni kuonea raia wote ni hao hao tu...sema mazingira yanafanya polisi kukumbana zaidi na raia!
Lishamchachia....
 
Unapokuwa umeshika bunduki huruhusiwi kulenga kitu ambacho huna madhara au usichotaka kukipiga ndio maana kuna muzzle down, sasa ikitokea mtu akikulenga inamaana amedhamiria kukushoot, walichofanya hao polisi ni kwamba walikuwa wamedhamiria kuua, huyo mwanajeshi alichofanya ni kuokoa uhai wake. Lakini watu watatafsiri wawezavyo.

NB
Polisi hawana kauli nzuri kwa raia wote.

Hawajui kauli za kuongea na watu, kila kitu kwao wao ni amri bila kujali muda eneo, mtu wanaeongea nae wala kitu kinachofanyika.

Wamepewa madaraka makubwa kwa matumizi ya silaha kiasi kwamba wao kukufyatulia risasi hawaoni tabu hata kama huna silaha/madhara kwao.

Ile kauli mbiu yao ya "Tii sheria bila shuruti" wanahisi wanaweza kui apply kwa yeyote bila kujali huyo wanaekutana nae ni nani.

Nasikitika sana kitendo alichofanyiwa Adam Malima, leo hii ni mkuu wa mkoa.

Usidhani njagu kulinda benki anapenda, we uweke mapesa yako halafu ye akeshe kulinda - Afande Sele
 
Watu as research wafanye study ktk eneo la polisi na matumizi ya silaha za moto. Tujue shida ni nini
Wadhaifu, ndio maana wanatumia silaha kushoot watu ovyo, uko mita hamsini utasikia nitakushoot kwanini wasikuamrishe aidha mikono juu au lala chini, wanajua hawawezi kukusogelea, ni moja ya udhaifu wao.
 
Wewe umesikitishwa na michango ya watu wanao watetea wanajeshi ila hapo juu unawatetea polisi ,sasa shida ni nini kama kila mtu kaamua kuwa upande wake ?

Hii dunia bana
Siwatetei polisi, natetea situation, nani alikuwa na makosa pale?, mwanajeshi au polisi?
 
Ndo maana UN walisema kuna mapungufu katika mafunzo na vijana wa jwtz hili swala inatakiwa liangaliwe kwa jicho pevu sana

Hili tukio limitufumbua macho nidhamu ya vijana wetu wa jwtz
Jeshi la polisi limeharibika lote linahitaji intesive reformation ili liwe zuri nadhan ndo jeshi la polisi bovu ukanda afrika ukitoa msumbiji kwa sasa
Semeni tu vyombo vya ulinzi na usalama hapa bongo

Bila kusahau wazee wa majungu wale makumbusho
 
Siwatetei polisi, natetea situation, nani alikuwa na makosa pale?, mwanajeshi au polisi?
jeshi ndyo chanzo cha tatizo kwa sababu hilo ni eneo hatari sio sawa na CRO au barabarani ...

hapo hapahitajiki kuremba ni kitendo cha kuambiwa na kutii amri tu wala usijitizame labda jwtz nzima nakoromewa na field force ..

roho ya shetani ilimuingia hyo mwanajeshi na akataka apewe mfano wa kauli za CRO AU BARABARANI WAKAti hilo ni eneo hatari ambalo likitokea la kutokea askari wa ESkot anaweza naye akatuhumiwa kwa hvyo lazima mtu awe makini na mkali wakati mwingine...
 
Pole mjeshi. tatizo nchi hii wanajeshi tunawachezea kama shemeji zetu, nadhani ametoa somo. wanajeshi waheshimiwe! wasichokozwe bila sababu. matokeo ya askari hata kulenga shabaha hajui! Wanajeshi wapewe heshima yao, wao hawakurupuki ktk mamuzi yao. nadhani alidharauliwa sana mpaka kuingia kwenye ugomvi huo. Upone haraka mjeshi urudi kulitumika taifa letu pendwa🙁
Usiandike kishabiki sana, subir aende Segerea kuhemewa kisogon na akina Scorpion ndio utajua alipaswa kutumia akili badala ya masabur
 
Siwatetei polisi, natetea situation, nani alikuwa na makosa pale?, mwanajeshi au polisi?
Polisi aliyekosa busara....
Tazama hapa..
kulikuwa na askari wa JWTZ aliyekuwa akitaka kutoa pesa kwenye mashine
Hapa inaonesha huyu Mjeda alikuwa yupo tayari kwrnye mashine kabla hao Polisi hawajaanza kazi yao ya kushusha hizo pesa....

Ona busara ya Mwanajeshi huyu aliyeiva..

mwanajeshi huyo, baada ya kupewa amri ya kuondoka haraka eneo hilo, aliona kama amedharauliwa na askari hao hivyo aliwataka wamwambie kistaarabu na siyo kumwamrisha.
Mwanajeshi huyu mstaarabu na nidhani kumbe aliwaambia nini walipasa kufanya.....(hapo nilipo bold)

Kisha ona polisi huyu wa hovyo kitu alichokifanya..
Kulwa alimfuata jamaa huyo akiwa na bunduki mkononi huku akimuelekezea mwanajeshi

Mwanajeshi baada ya kuona polisi huyu hana nidhamu ya kushuka bunduki(weapon handling)..aliamua kufanya kitendo hiki cha Kijasiri

mwanajeshi huyo aliikamata na kuelekezea mtutu juu, jambo lililoonekana kuwa alikuwa na utaalam wa masuala ya silaha.

Polisi asiye na nidhamu, tena wa hovyo alifanya hiki kitendo..

askari mwingine wa FFU naye alitoka kwenye gari lililokuwa limebeba pesa na bunduki nyingine na kumlenga mwanajeshi huyo


Hitimisho
Jeshi la polisi litaendelea kudharaulika milele kama askari wake hawatafundishwa nidhamu...
 
UMESOMA STORY VIZURI? UMEAMBIWA TOKA SEHEMU YA ATM WATU WANAWEKA HELA,UNALETA UJEURI NA KUMNYANG'ANYA SILAHA FFU KISA NI MWANAJESHI?
Polisi hawakawii kugeuza gia angani. Unaweza ukakuta haikua hivyo. Nilishawahi kunyoshewa bunduki na nikaambiwa kwa sauti ya ukali nikiwa sijui nini kinaendelea.. nilitetemeka mpaka nikaghairi safari yangu nikaamua kurudi nyumbani.

Pili, kama kweli mwanajeshi aliishika siraha kwa kuielekezea juu, maana yake hata kama askari angefyatua, basi risasi isingeweza kumdhuru mtu yoyote aliye karibu na eneo hilo. Kwa maana hiyo mwanajeshi hakuwa na lengo baya.

Polisi wa tanzania ni wababe
 
Nimesikitishwa sana na michango ya watu wengi kuhusu hili suala, hata baadhi ya watu ninaowaheshimu kabisa hapa jamvini.. Wengi wanampendelea mwanajeshi na kumponda polisi, labda ni kwa sababu ya kuwachukia tu polisi, uhalisia unawekwa pembeni, ni hivi wakuu, wakati huo wa kuweka pesa, hakuna mtu anaruhusiwa kuwepo eneo hilo, hata kama ni mwanajeshi, kwani mwanajeshi sio binadamu? Hawezi kupora pesa na kutokomea nazo? Wakati wa tukio hilo amri ni moja tu, anaekaidi anatakiwa kuchukuliwa hatua mapema, maana anaweza akawa jambazi, majambazi wengi wamefanya uharifu wakiwa na uniform...

Hata hivyo, ninakubali hoja moja, polisi hawana weledi mzuri, hakutakiwa kumsogolea katika kiasi cha yeye kuishika silaha, alitakiwa amtandike risasi akiwa mbali... Huyo mwanajeshi anatakiwa afukuzwe kazi na apelekwe mahamani.
Ni kwamba hao polisi wamemkuta hapo mwanajeshi akiwa anatoa pesa. Sidhani kama kuna mtu anaweza kukuta maafisa wa bank na polisi wanaweka pesa akalazimisha kuingia. Mbona hata wanajeshi wakikuta kuna mtu ndani anachukua fedha wana simama kwenye foleni kusubiri? Labda huwajui polisi na mikwala yao ya hovyo
 
Back
Top Bottom