Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

nilisoma sent kayumba. lakwanza mpaka chuo, nika piga master ya kata , doct ya wilaya, mitizamo hasi wala sikuwahi kuipa nafasi katika maisha yangu, mi siandiki nisilolijua au nisilokuwa na hakika nalo
Naona imekuchoma sana huenda ww ni polisi.
Acha wafe tu sbb wamejaa makasi kwenye vichwa vyao. Hapo kulikuwa hakuna haja ya kutumia bunduki. Ujinga unaowasumbua nyinyi mnafikiri ukivaa hayo manguo hamuwezi kufa na unahisi dunia yote yako. Damu ya Akwilima bado inawalilia.
Pambafu sana. Ukitaka kuona walivyo na makasi kwenye vichwa vyao sikiliza majibu yao.
 
Sijui yale magwanda yana nn!! Po..lis ni ndugu zetu lakini vichwani mwao ipo shida.
 
Inaudhi sana mkuu..hata huyo jamaa aliemfuata huyo mwana jeshi naamini hekima ingetumika wasingefika huko.
Shida ni hiyo silaha mkononi...
 
Sure, ni kama una hoja nzuri.
 
Kumbe hata hakuwa na uniform!!, alitakiwa kupigwa risasi nyingi sana, raia tu umevaa manguo yako ya kuhini huni unathubutuje kushika silaha ya askari?!, mimi nikimuona kavaa hilo li aka 47 huwa nawapisha mbali.
 
Kwa tulioiona ile clip ya askari wa SUMA-JKT akihojiwa, ni wazi kuwa hawa polisi waliuana Wenyewe. Lakini akihojiwa huyo aliempiga mwenziwe risasi basi bila shaka atasema kuwa jamaa alitaka kupora silaha.
 
Naomba kuuliza,hivi police angemsubiri huyo raia akamaliza muamala wake,halafu akazuia wengine wasiongezeke kwenye ATM hadi watakapomaliza kazi hilo lisingekuwa la busara mkuu?

Hao maafisa wa bank walikuwa tayari kupokea pesa kwenye ATM,usalama wa wateja wao kuwa wasubiri kwanza huwa hawawezi kuliganya hilo.

Aliyefyatua risasi alikuwa analinda ile silaha isilete madhara kama angenyanganywa.

pia police hakutakiwaa kumuelekezea mtutu raia asiye na silaha.
 
Najaribu kufikiria tu.. Mwanafunzi kichwa ngumu toka shule ya kata Manzese, akapata Division IV-30, mjomba akamfanyia mpango akaenda CCP miezi 9,halafu akakabidhiwa SMG iliyojaa risasi alinde usalama wa raia
Uwezo wake wa kuhimili taharuki yoyote akiwa na silaha hiyo utakuwaje? Tunahitaji reform kubwa mno kwenye jeshi la polisi!
 
Juzi tu hapa walipigana wenyewe risasi wakimhofia bodaboda, ila huyo mwanajeshi angeondoka tu kwani wao walikuwa kazini, na wasingeweza kujua kama yeye ni mwanajeshi kweli au ni Jambazi
 
Huyu polisi alistahili kuuawa. Hakuwa na uwekedi was kazi yake. Hongera mJWTZ. Uneonyesha uelewa wa kazi yako na ushupavu wa medani ya vita. Hawa RAIA wakakamavu (polisi) ni shida tupu. Yaani wapo 2 wakiwa na silaha wanapambana na JWTZ mmoja asiye na silaha na wanaishia kujiua wenyewe! Hovyoo, wavuta bangi wetu na vyeti feki.
 
Kumbe hata hakuwa na uniform!!, alitakiwa kupigwa risasi nyingi sana, raia tu umevaa manguo yako ya kuhini huni unathubutuje kushika silaha ya askari?!, mimi nikimuona kavaa hilo li aka 47 huwa nawapisha mbali.
Mr. Huwa kuna utaratibu mpaka mtu kupigwa risasi.
Ni hivi
Mjeda baada ya kugoma. Huyu polisi angemuuliza ww ni nani mpaka ugome kufanya nilichokuamuru.
Mjeshi. Angejieleza na hapo ilikuwa lugha ya kiungwana tu. Hapo ninaweza kusema oyaa mwana. Tupishe kidogo tufanye fasta fasta si unajua haya mambo ya hela? Tusamehane. Mjeda angeelewa.
AU
Mjeda angegoma. Angeambiwa mikono juu na usijitingishe simama hapo hapo ulipo. Lala chini kifudi fudi, weka mikono nyuma. Hapo watu km 2 wangemfuata na kumfunga pingu. Km angekataa vyote hapo wangempiga risasi.
N.B
Kuvaa nguo za nyumban hakuwezi kukushusha cheo usionekane mjeda.
Tatizo watanzania waoga sana. Mm huwa natamani sana ningezaliwa Libya, Somalia au Syria nikajiunga na ISIS au Al-shabab
 
Mafunzo yao yanatofautiana ndugu [emoji30] [emoji30]
 
...Tatizo la mapolisi wetu ni poor approach na kuweka mbele ubabe, hivi wangesema samahani ndugu tunaomba mkae mbali kidogo ili wahusika wajaze fedha, tupeni dakika kumi tuu, angetaa? Wao kwa kuwa kabeba mtutu ni utemi tuu. Pili polisi hawako makini, why umlenge mtu na mtutu?
 
We hujui lugha za polisi zilivyo? Ni za maudhi na dharau kubwa. Sasa kwa nini umdharau anayeshinda porini? Mimi namfagilia mwanajeshi kwa ujasiri ingawa sifurahii kifo cha Kulwa.
 
Hivi FFU Ukonga si ndio huwa wanatumiwa kupiga watu mitaani na kuwamwagia maji washa?
 
Maaskari wawili wenye silaha wameshindwa kumthibiti mwanajeshi na kupelekea askari mmoja kupoteza maisha

Maafande watofautishe mafunzo ya ccp na monduli
...Wajeda wako very well trained na wana Mazoezi, nimewahi pia kushuhudia police wanne wakishindwa kumdhibiti mwanajeshi mmoja tuu. Police wako vizuri kuonea raia tuu.
 
Hapa Tabora juzi askari ameshuka kwenye akiwa ameilekeza bunduki mbele. Mimi ikabidi nimwambie deteva aongeze mwendo maana bunduki isije kufyatuka ikatuua.
 
We hujui lugha za polisi zilivyo? Ni za maudhi na dharau kubwa. Sasa kwa nini umdharau anayeshinda porini? Mimi namfagilia mwanajeshi kwa ujasiri ingawa sifurahii kifo cha Kulwa.
[emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…