Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

Nasikia risasi zinakata corner angani. Labda ndo hivyo jamaa Kamlenga soldier ikakakata corner kuelekea policeman. Lakini ndo hivyo tena
 
Tatizo askari wa bongo ni very unprofessional... Hapo ukute hawakutumia ustaarabu kumtimua huyo mwanajeshi (tena hii nshawah kushuhudia), wanakua kama wanakukaripia wakat wewe hujui kinachoendelea hapo, sasa mjeshi kaona anadharauliwaje mchana kweupe tena na polici!!
 
Tatizo askari wa bongo ni very unprofessional... Hapo ukute hawakutumia ustaarabu kumtimua huyo mwanajeshi (tena hii nshawah kushuhudia), wanakua kama wanakukaripia wakat wewe hujui kinachoendelea hapo, sasa mjeshi kaona anadharauliwaje mchana kweupe tena na polici!!
Wenyewe (Wanajeshi) wanawaita Polisi RAIA WAKAKAMAVU, Haitatokea kamwe Polisi na Wanajeshi wakawa MARAFIKI...Trust me mkuu
 
Huyu mwanajeshi ndiye chanzo cha yote hana nidhamu kabisa na hatumii ajili,anastahili adhabu
 
Wanajeshi huwa ni wastaarabu sana; binafsi nafarijika na kujiona nina ulinzi nikiwa na mwanajeshI karibu kuliko hawa ma police wetu.

Si ajabu jamaa ni Kanali then we na ka V kako unaobwa kiustaarabu hutaki kuelewa ati unamwaga mboga kwa mjeda; hujipendi.
 
Huyu mwanajeshi ndiye chanzo cha yote hana nidhamu kabisa na hatumii ajili,anastahili adhabu
Kulikuwa na ulazima Polisi kutumia Bunduki kwa mtu aliye mikono mitupu?

Unajua sheria za matumizi ya Bunduki?

Kuna siku nipo kwenye gari nikapishana na Polisi wakiwa kwenye Defender huku Bunduki wakiwa wamezielekeza mbele utadhani kuna adui wanamlenga,
Nikajiuliza pale ikitokea kabofya Triger bahati mbaya risasi ikafyatuka na kuua mtu itakuaje?
 
Watu wamepigika kimaisha sio raia tu, hata wajeshi pia.
 
Back
Top Bottom