Mwanajeshi alikuwa na sare au la? hata hivyo alipaswa kutii amri iliyotolewa! nasikia aliesababisha hayo anashitakiwa kwa kusababisha kifo!! jamani hizi kazi busara muhimu!!
Watu mnadharau kazi za watu saaanahahaha jamaaa amefafanua vizuri.. kwa kukosa kwako hoja umekimbhilia kumkalisha kimya, wewe na yeye nani hajui anachokiongea?
Huyo mwanajeshi hakutumia busara angejifanya mjinga yaishe hata kama hakumaliza shida zake SINZA ATM ziko nyingi wale wako kazini angetii tu haijalishi hata km wamemkaripiaduuu, hapo ndo ujue kuwa weled ktk jeshi letu la polisi hamna kabisa, pia ata mwanajeshi hakuwa na hekima hata kidogo na anatakiwa kuadhibiwa vikali, haiwezekan umeshapewa tahadhali ya kutoka eneo hilo na unaona kabisa kitu kinachoendelea kwa mjibu wa sheria na kiusalama, halafu ww unadinda eti kisa ww ni mwanajeshi yaan alishindwa kutambua kwamba hapo kuna tukio linalohitaji usalama zaid, na alikosea zaid alipoishika silaha ya afande kama ni kweli, hapa polisi walitakiwa wamkamate kwa nguvu then wampe kichapo cha mbwamwitu ili ajue kuwa kaingia cha kike, askali aliyerusha risasi hakutumia weled wa kazi.
Duh! Umehamia kwangu? Karibu mi sijambo kwenye hizo mambo lakini Poa tu! EndeleaSio mihemko nakufundisha wew nanga usiojua kitu bwege wew
Ukiajili wasomi hawadumu hio Kazi inachangamoto nyingi,kufanya Kazi mda mrefu ,Kazi za risk, amri haitakiwi kuhojiwa ni kutekeleza tu.hivo utendaji utakwama.We si unaona baadhi wasio na busara upiga watu wasio hata na hatia kama nyoka vile,mtu hana silaha,keshazibitiwa yuko chini ya ulinzi anapigwa km mbwa na hakuna ushahidi Kama alikuwa sehemu ya maandamano sasa Kwa msomi hawezipiga MTU kama mbwa.Karma is a bit....ch
Jeshi la polisi lilifaa liundwe na wasome yaani wenye elimu ngazi ya degree na masters wenye G.P.A 2.5 kwasbb polisi ni msimamizi na muangalizi wa sheria.
Waliofeli form 4 walipaswa kwenda jeshi, na magereza. Km jeshi la polisi linageuzwa tawi la chama fulani. Unategemea nini kitatokea?
Jiulize km hapo. Mtu hana bunduki lkn unamtishia bunduki halafu cha kushangaza mwenzake analenga tu cha kushangaza hana hata shabaha.
Hapo kulikuwa hakuna haja ya kutumia silaha. Ni mazungumzo tu sbb wote wapo kwenye sekta moja lkn vitengo tofauti.
Kazi kweli kweli
Polisi ni wapumbavu kabisa ...tena polisi wa nchi hii.....Hivi unazifahamu kanuni za ku-open fire au ku-handle a gun...??Niwashauri chuo cha polisi au jeshi?! Aliyetakiwa kuwa na nidhamu na utambuzi hapo ni nani kati ya polisi na mwanajeshi?
Wewe ni kipi unakifahamu...Kaa kimya usichokijua kuhusu silaha
Sihojiwi kihivyo kirahisiWewe ni kipi unakifahamu...
Pole nyingi zikufikie mwanajeshi...
Hao wapuuzi wanafikiri kila mtu ni Nape.
Mola akujalie wepesi kwenye majeraha uliyo pata.
NB:Wanajeshi naomba muwashughulikie hao wahuni wanao tumia vibaya bunduki zao.
Hao polisi walikupiga tigo sio maana sio kwa matusi hayo mkuuDaaaah pole sana mwanajeshi na sijui kwanini hakumnyanganya kabisa ile bunduki na kulenga yule pimbi aliyekuwa amebaki kwenye gari nawachukia sana hawa mbwa wa kaki ***** zao narudia tena pole sana mwanajeshi Mungu akufanyie wepesi upone haraka
Tatizo liko kwa benki zinazomiliki hizo ATM,kungewekwa utaratibu maalumu,muda na wakati maalumu wa kuweka pesa kwenye ATM,bila kuleta usumbufu wala madhara kwa watumiaji wa ATM na wapita njia.Siwezi kumlaumu polisi au mwanajeshi kwakuwa sijashuhudia tukio.
Lakini nakumbuka wiki iliyopita nilienda kwenye ATM moja pale makumbusho sikujua kama ndani wanaweka hela, ile nasogea tu nikaambiwa na askari "toka, pita kule usisogee hapa" kwa ukali na lugha nyingine zisizoelezeka huku ameninyooshea bunduki.
Kila mteja aliyekuja pale alipatwa na kadhia hyo.
Tunaomba askari wetu wawe na lugha nzuri kwa raia, utanitukanaje wakati sijajua kama ndani wanaweka hela, si uniambie tu kwa kawaida?
Na je unavyoninyooshea bunduki risasi ikitoka ikanipata utasema ni bahati mbaya au Mimi ni jambazi? Mjitafakari nyie polisi.
We ni polisi...??? Mbona ume-panicWatu mnadharau kazi za watu saaana
Hahahahahahaha......Sihojiwi kihivyo kirahisi