Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SeenHaya sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SeenHaya sawa.
JinyongeMbona ule Mzoga ulikuwa unawatoa Wafungwa usiku Magerezani na kuwapa Ubungu huyu Msigwa zinamtosha kweli?
Kuwa ya kisiasa mpaka ifunguliwe na Ndugai?Wameachiwa?
Je, kesi yake iliyoko mahakamani ya kisiasa kivipi?
Mdude yuko njiani kuachiwa huru siku sio nyingiJinyonge
hehee he is rottening in hell. ameacha maumivu kwa watu ila sasa anaumia zaidi na magenge yake huku yanatawanyika. Nchi sasa inaamaniJinyonge
Nimekuuliza mdude ni mfungwa au mahabusu, umekimbilia lingineMbona wahujumu uchumi wanaachiwa na DPP?
Hata Yesu alikuwa anajibu kwa mtindo wa maswaliNimekuuliza mdude ni mfungwa au mahabusu, umekimbilia lingine
Zote zina ushahidi....Mama alisema kesi ambazo hazina ushahidi zitafutwa,hata kama ni ya kisiasa haina ushahidi itafutwa.
Wewe ni Yesu?Hata Yesu alikuwa anajibu kwa mtindo wa maswali
Ni mfuasi wa YesuWewe ni Yesu?
Mama alisema kesi ambazo hazina ushahidi zitafutwa,hata kama ni ya kisiasa haina ushahidi itafutwa.
Mzee unayumba upepo unakovuma tu..Ni jambo jema.
Ila Kenya wapunguze uzushi!
Civil society actors drawn from Kenya, Uganda and Tanzania have implored Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan to release more than 100 human rights activists, journalists and political prisoners incarcerated by the previous regime for criticising the 2020 general election.Haki Africa appeals to Pres. Suluhu to release activists arrested in Tanzania Lobby group claims activists have been held for long without charges
Kwa hiyo kaongopa kwa niaba ya kipenzi chako?
Ila ina wakimbizi wa kisiasa...!!!Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa amekana taarifa inayosambaa kwamba Rais Samia kawaachia huru Wafungwa 23 wa Kisiasa. Kadai Tanzania haina mfungwa wa kisiasa na kusema Rais hawezi kuingilia mchakato wowote wa Mahakama.
Awali chombo cha habari cha Kenya kiliripoti Rais Samia kuachilia wafungwa 23 wa kisiasa nchini.
Pia, soma: Citizen TV ya Kenya imeripoti Rais Samia kawaachia wafungwa 23 wa kisiasa. Ni akina nani wafungwa wa kisiasa?