Dar: Serikali yalifunga Kanisa la Nabii Suguye

Dar: Serikali yalifunga Kanisa la Nabii Suguye

Kukamilisha ni kitu kidogo walitakiwa tu wamwambie akamilishe Kwisha.Kwa nini nguvu kubwa itumike kulifunga badala tu ya kwenda politely kumwambia kamilisha hiki na hiki na kama kuna la kurekebisha aambiwe rekebisha hiki na hiki
Simple.Alichofanyiwa hakiko sahihi kabisa

Unless serikali imeamua sasa kuwa na dini wakati katiba inatamka wazi kuwa haina
dini.Kufunga dini na kuwaambia watu wakatafute sehemu ingine ya kuabudu ni udini.Sio kazi ya serikali kumuambia mtu akaabudu wapi na aabudu vipi kwa staili ipi na aabudu nini kuku ng'ombe au mtu.Ni maswala binafsi
Hivi unajua keshaambiwa mara ngapi?
 
Kwani wanaposajiri mabasi ya abiria, serikali inakuwa na mabasi?
Wanayo mbona mengi tu yako ya jeshi yako ya kubeba wafanyakazi nk kwani hujawahi ona mabasi ya serikali?

Pia wanayo mabasi ya abiria ya Mwendokasi kibao
 
Wanayo mbona mengi tu yako ya jeshi yako ya kubeba wafanyakazi nk kwani hujawahi ona mabasi ya serikali?

Pia wanayo mabasi ya abiria ya Mwendokasi kibao
Acha hizo, usajiri ni lazima ili kuweka control.
 
Taasisi yeyote inahitaji usajili. Hata ndoa inasajiliwa na kupewa cheti.
Umechemka ndoa makanisa mengi sasa hiivi yanatoa vyeti vya ndoa vya kanisani tu hawatoi vya serikali .Wakristo wanaamini ndoa ikifungwa watu wanakuwa mwili mmoja .Hivyo hutoa cheti cha ndoa kimoja tu cha dini tofauti na vya serikali ambavyo hutolewa viwili kila mmoja anapewa Chake

Waislamu pia wana vya kwao vya dini tu

Anafumgisha kiongozi wa dini na kutoa cheti cha ndoa cha dini tu

Waumini kibao hawataki vyeti vya ndoa vya serikali
 
Acha hizo, usajiri ni lazima ili kuweka control.
Control ya nini wakati katiba imetamka wazi kuwa mambo ya usimamizi na uendeshaji mbo ya dini yatakuwa nje ya mamlaka za Serikali

Hapa kunaonyesha kuna uvunjifu wa katiba ya nchi wa waziwazi
 
Taasisi yeyote inahitaji usajili. Hata ndoa inasajiliwa na kupewa cheti.
sawa, ni vema kila taasisi kuwa na usajili. lakini si lazima ila ni takwa la kisheria kwa kuwa dini husajiliwa kama chama cha kiraia. Mambo ya kiroho serikali haiyajui na haina uwezo wa kuyadhibiti, kila raia anajua anachoamini ndiye mungu wake
 
sawa, ni vema kila taasisi kuwa na usajili. lakini si lazima ila ni takwa la kisheria kwa kuwa dini husajiliwa kama chama cha kiraia. Mambo ya kiroho serikali haiyajui na haina uwezo wa kuyadhibiti, kila raia anajua anachoamini ndiye mungu wake
Serikali haisajili dini

Na kufunga jengo la kuabudia sio sahihi kabisa

Suguye kama ana kosa lolote la kihalifu anatakiwa kushughulikiwa yeye kama yeye na kuacha wengine waendelee na ibada zao tukienda hivi kuwa kila kiongozi mkuu akiwa na shida kanisa linafungwa au msikiti unafungwa tutafika mahali papa akikosea tutasema lanisa katoliki lifungwe

Mfano kuna kesi kibao za mapadre na maaskofu kanisa katoliki na mashehe kubaka watoto wadogo sheria zilichukua mkondo wake kushughulika na wahusika tu majengo ya ibada watu wakaendelea na ibada zao

Serikali kufunga kanisa kisa mtu mmoja sio sahihi kabisa

Kuna uhalifu kafanya sheria za ku deal naye zipo

Kufunga ibada zao haiko sawa.
 
ofisi ya msajili wagumu sana kutoa usajili wa kudumu hata kwenye watu wenye huduma genuine kabisa wenye waumini kama Suguye ,wana majengo na nk

Kuna Rushwa hatari pale kwa.Msajili Takukuru waende wachunguze wote walioomba usajili miaka kumi kuanzia sasa waliowapa usajili wa kudumu wangapii na wakaangalie hao waliopewa usajili wana nini.Wengine wana hati tu hata jengo la makuti hawana

Takukukuru kama kweli wako serious kupambana na Rushwa watue ofisi za msajili waombe tu list ya applicants for the past ten years na waombe list ya waliopewa usajili wa kudumu na wawafuatilie kwenda kuangalia wana nini ? Ukilinganisha na Suguye.Watakuwa shocked.Mtu hsna kitu ana pesa tu ya Rushwa anapewa mapema usajili wa kudumu haraka mtu asiye na lolote uliye serious hawakupi kazi kuwinda rushwa tu
Mtu kama Suguye kutopewa usajili wa kudumu na alipo ni ushahidi wa ofidi ya msajili kujaa rushwa watakuwa walitaka rushwa kubwa wampe akawapiga chini

Takukuru tueni ofisi ya msajili anzeni na hso wasajili dini hao .Ili eneo lisiwe pana sana mkaona kazi kubwa Anzeni nao wasajili dini hao .

Takukukuru watumie hiyo kama case study waangalie sana na wa concentrate kwa wale waliomba wakapewa usajili chapchap walinganishe wana nini wakilinganisha na Suguye ambaye toka miaka hiyo hawampi usajili wa kudumu na wengineo waliokuwa delayed for years
 
mjadala ufunuo wa kucha na nywele, akidai Mungu wake kuagiza waumini kutoa kucha za kidole cha mwisho cha kushoto (mguu na mkono) na nywele za utosini na paji la uso kisha kufunga kwenye kitambaa cheupe ili awaponye.
...ongeza nyama kwanza hapa kwenye ufunuo,unaweza kukuta utajiri ni kitu kidogo tu.!
 
Back
Top Bottom