DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Eti huu ndio mwaka wake wa mwisho, yeye shekhe ni nani hadi atoe deadlines?
 
Hivi wafahamu kitu kiitwacho CHARACTER DEFAMATION? ...

By the way siamini kama utakaa kmya pale kama kiongozi either ktk familia ama jamii UNAPOTUKANWA tena MATUSI MAZITO ama KUHUSISHWA ktk TUHUMA ambazo zaweza leta matokeo HASI kwako ama kwa jamii ...
 
Mange Kimambi,naam.
Mwanamke aliyemtukuna Lowasa matusi yote ya nguoni na Chama tawala wakawa wanafurahia.
Mange Kimambi,mwanamke asiyeishiwa na vituko na hoja,matalakiwa na mama wa watoto watatu.
Sheikh,badala ya kuombea kichaa apone,umeshindana nae na sasa kichaa anamwaga yote, ya kweli na ya uongo.
Umeudhalilisha Uislamu,pima na chukua hatua!!!
 
Unataka kuwaambia nini Polisi kuhusu ishu ya yule Nabii mpendwa Titto?
 
Shekhe tulimwambia Da Mange ni mzinga wa nyuki

Sasa toka jana amechachamaa na kushusha tuhuma juu ya tuhumu. Kuna tuhuma haziandikiki na zingine zinaandikika

Kuna tuhuma imeshushwa ya shekhe wangu kutelekeza mtoto mzuri. Tuhuma ambayo ni kama shekhe kapigwa nganzi hajitokezi kujibu mapigo

Kibaya zaidi ni wabaya wa shekhe kumtumia Mange kumpasha shekhe. Kibaya tena shekhe amekosa watetezi kabisa na anaonekana kukurupuka au kutumiwa. Shekhe alitakiwa ajiulize jambo moja Mange ameshindikana na January,Siro,Bashite nk wenye dola sembuse yeye? Hakuna kama Da Mange sio size yake?

Halafu kule Marekani anachoandika Mange ni cha mtoto tu,aingine insta ya Trump aone wamarekani wanavyompa shit rais wao mubashara
 
Yaani ulichokiandika ni kinja hakifuniki hata makalio!
 
Sheikh amevuliwa nguo amebaki uchii km alivozaliwaa, ni hatari sana, asipowahi kumuomba msamaha Mange basi atazidi kuumbuka na huenda yy Ndio hataumaliza huu mwaka atakufa kwa depression!
Ningedhan mngemshaur huyo Mange aache MATUSI lingekuwa jambo la BUSARA ... badala yake naona mwazidi kumpa "promo" ili azidi kuendeleza MATUSI ... and you enjoy it ..
 
Dafa Mange anamwagika huko...! Sheikh anyooshe mikono
 
Hata kama mtu akisomewa ili adhurike huwa hawasomi kwenye Quran. Vipo vitabu maarufu kwa kazi hiyo.

Ndio lkn ni Quran. Quran ina elimu pana sana, uumbaji wote wa dunia upo ndani ya Quran. Sayansi yote ya dunia ipo kwenye Quran.
 
Na huo ndio wasifu mdogo wa sheikh alhad
 
Ningedhan mngemshaur huyo Mange aache MATUSI lingekuwa jambo la BUSARA ... badala yake naona mwazidi kumpa "promo" ili azidi kuendeleza MATUSI ... and you enjoy it ..
Mwache awatie adabu hawa waharibifu aisee, tunawaamini kuwa ni watu wa Mungu kumbe ni mafirauni tu!
 
Ndio lkn ni Quran. Quran ina elimu pana sana, uumbaji wote wa dunia upo ndani ya Quran. Sayansi yote ya dunia ipo kwenye Quran.
Naelewa vijembe unavyotaka kumaanisha. Lakini pamoja na sayansi yote kjwa kwenye Quran imepiga marufuku uchawi.
 
SHEkhe mjanja mjanja tu yule mpigaji ..uso wake wenyewe umekaa kizinzi zinzi ..
aache kumsumbua da mange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…