DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Huyo shehe angetubu tu ili yaishe maana yule dada atamuabisha sana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hivi nani anamuelewa Al hadi huyu ni toothless kama vile mrema kwenye siasa

Mm nashangaa chadema wanaogopa huyu jamaa kushiriki kampeni wakati hakubaliki kwa waislamu hakuna shehe wa bakwata mwenye ushawishi kwa waislamu tena haswa huyu wengi wanajua cheo chake cha shehe wa mkoa ni wa kisiasa tu ila Alhadi hana ushawishi wowote na ukifanya research na Fanya sampling 99% utaambiwa hawamuelewi na hawamkubali ..nashangaa hii tension iliyo rise saizi wkt 2012 watu walilalamika na kupigwa virungu sabb ya huyu lkn alikuwa backed na govt ..

Saizi mtapambana naye chadema huyu kazi kwenu ila suala la uaminifu kitambo haaminiwi na waislamu wa tz
 
Shehe mkuu, wa mkoa wa dsm, mji kuu wa nchi, kualika wandishi kuelezea mambo ya binti na mitandao, na vitisho vya maombi, si hadhi yake. Ni kudhalirisha cheo hicho.
 
Nilidhan huna INFO kamili juu kilichotokea ... cause you have the FULL INFO ya kilichotokea .... Swali: Ni nani aloanza kumtukana mwenzie kati ya Mange na Shekhe? ... Ukipata jibu rejea msg yangu ya awali ...
Chizi akichukua nguo zako wakati unaoga busara nikuachutama na kuangalia namna ya kujistiri sio kumkimbiza, ukimkimbiza utaonekana wewe ndio chizi yeye mzima, ndicho ninachokiona hapa.. huyu Shekh sio wakwanza kutukanwa na Mange, na wote tunamjua Mange ni mtu wa aina gani.. Kuna wakati kunyamaza ni jibu jema sana kwa mtu aliyekosa hekima
 
Kwa upeo wetu tunaendelea kuamini eti wenye vyeo ndio wenye akili kumbe mambo yalishaharibika kitambo baada ya waliokuwa na vyeo kuanza kuwashika watoto wao na wajomba mikono kuwaingiza makazini hadi kuwapa hata nafasi za maamuzi makubwa.
Matokeo yake yanaanza kuonekana sasa kuwa walio ndani hawawezi kuelewa kuwa walioko nje vijiweni wana upeo kuwazidi! Kwa vile yeye ndio kaanzisha kujibu udakuu wa insta kwa press conferences na aje sasa akanushe yote yaliyosemwa ili kunusuru kanafasi kake!
 
Daah, nimeona mahali fulani, mashuhuda wanatiririka kashfa hadi aibu
 
Jamiiforums tafadhali jitengeni kabisa na huu upuuzi wa kina Mange na kuchafua viongozi wa dini na taasisi......si jambo jema na si lengo la mtandao huuu
 
Angekuwa kweli kiongozi wa kiroho roho wa Mungu angempa maarifa ya kunyamaza!
 
Mmeshindwa kusoma albadir kwa watu wanaouwawa kila kukicha mnakuja kukomalia jambo la kipuuzi mmemgeuza Mungu shemeji yenu eti!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…