Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kama kuna ukimwi wa kurogwa sembuse kansa
Uchawi hauvuki bahari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna ukimwi wa kurogwa sembuse kansa
unavuka bahari kuu hadi kwenye mabara hukoUchawi hauvuki bahari
Kumbe Sheikh wa mkoa anaroga watu wakimchukiza?Kama kuna ukimwi wa kurogwa sembuse kansa
if it's true that jpm bribed mange kimambi in order for her to stay away from bullying his administration , then he made a big mistake.Hakuna dua kubwa kama kitita,kama alipokea chake vipi.Maana kila apigae kelele ni njaa inamsumbua akiitwa mezani akaipata shibe hio kelele itoke wapi.Watz wakishaitwa mezani utosikia tena kelele dr slaa,mtatiro,waitara,mkumbo,kafulila,machali,list ni ndefu
Njia nzuri na salama ni kuwanunua na sio kuwauwaif it's true that jpm bribed mange kimambi in order for her to stay away from bullying his administration , then he made a big mistake.
huko twitter kuna mtu anaitwa kigogo, jamaa yupo very focused na serious issues.
hana mda na issue za udaku wa instagram kama alivyokuwa mange kimambi.
tazama hapa anavyomjibu kangi lugola baada ya kangi kutangaza kuwa zimebaki siku kadhaa za kumkamata/kumbaini kigogo.View attachment 1252645
Kuna ubaya akichokozwa?Kumbe Sheikh wa mkoa anaroga watu wakimchukiza?
Hee! Kumbe ni sawa kumroga aliyekuchokoza?Kuna ubaya akichokozwa?
Kansa hailetwi kwa uchawi wewe.
Mange si mtu wa kunyamazishwa kisa kansa, Mange kala mpunga mkubwa wa Jiwe ili anyuti!
Wao, wanasema eti huyo ni mtu wa CHADEMA badala ya wao kujikagua.if it's true that jpm bribed mange kimambi in order for her to stay away from bullying his administration , then he made a big mistake.
huko twitter kuna mtu anaitwa kigogo, jamaa yupo very focused na serious issues.
hana mda na issue za udaku wa instagram kama alivyokuwa mange kimambi.
tazama hapa anavyomjibu kangi lugola baada ya kangi kutangaza kuwa zimebaki siku kadhaa za kumkamata/kumbaini kigogo.View attachment 1252645
Kuroga ndio kufanyaje?!Hee! Kumbe ni sawa kumroga aliyekuchokoza?
Muulize niliye m quote atakuelezaKuroga ndio kufanyaje?!
Sheikh Alhad amesema ametukanwa kwa dhulma na uadui na kudai Mange anautumia ulimi na mikono yake vibaya kudhulumu watu(Heshima zao).
Alhad amesisitiza huu ni mwaka wa mwisho kwa Mange na baada ya mwaka huu hatamtukana mtu yeyote kwa kutumia ulimi au mkono wake kwa sababu amejihalalishia mwenyewe maangamizi kwa mkono wake. Amesema atamshtaki kwenye mahakama ya Mbinguni.
Imeandikwa kwenye Biblia,'' Laana isiyo na sababu haimpati mtu''.Mwaka wa tatu huu Mange bado anaongea na sasa amerudi mazima kwenye siasa
Imeandikwa kwenye Biblia,'' Laana isiyo na sababu haimpati mtu''.
"Shee" huyo na Gwa "maji" ni mar'fik san' na inasemekana wanafanana sana kitabia...Kumbe Sheikh wa mkoa anaroga watu wakimchukiza?
Watu Wana maneno.......wanamsingizia kwamba anapenda kutembelea waumini wa , Temeke, Tandika mpaka Buza kwampalange na kuwapa elm dunia.Hahahaa Sheikh Ubwabwa imekula kwake.
hahahaaa magufuli alikuwa anapenda kusifiwa huyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Nyerere alikataa kuitwa mheshimiwa akasema anapenda aitwe mwalimu.kuna mmoja alisema eti Mungu amshukuru magufuli kwa kazi anayofanyaKuna clip huyu shehe anaonekana akisema
Magufuli Ni zaidi ya Yesu
Magufuli Ni zaidi ya mtume Mohammed akaenda mbali zaidi akasema Magufuli Ni Bora zaidi ya MUNGU.
Mimi ningekua muislamu wa Dar ninge lobby huyu shehe atumbuliwe au nujitoe Bakwata