DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

kama amepotoka watu wasimwambie?kiongozi gani wa dini anamuwazia binadamu mwenzake mabaya?
 
Ujinga ni ujinga tu haijalishi kafanya nani,kuchafuliwa kwa Edo sio sababu ya wewe umchafue mwingine huo ni Ujinga zaidi. Halafu ufisadi wa Edo kwani nani haujuwi, he is fisadi ukweli ndo huo nenda kachek Mafaili ya CDM pale Sumbawanga tribe Kaangalie orodha ya mafisadi Tanzania lazima ukute jina lake.(LIST OF SHAME).
Mbona hamumkamati mnaishia kukamata makatibu tarafa wa ufisadi wa laki
 
Shekh amefanya kufuru, sheikh amefanya shiriki na kamwe hapaswi kuitwa shekh, msomi mzima unamsirikisha mungu ktk kufanya maamuzi?
 
Sijui Mamnge kimambi anashida gani, ni mdada asiye na Ustaarabu na Staha wala adabu. Anachofanya hakosoi kama wengi wetu wanavyomshabikia ila huwa anatukana tena matusi yasiofaa kabisa. Kwani hana njia nzuri ya kukosoa kweli? Ivi bungeni wangekuwa wanakosoa Serikali kwa staili hii ingekuwaje?; Kwa Clip nilivyoisikiliza na Shehe namna alivyozungumza; Ni wazi kuwa hakustaili kujibiwa kwa staili ya Mange; inshort sijaona kuna haja gani Mange kuachia matusi kwa Shehe?
kwahiyo wewe wataka Jamii ya watanzania wote ml.50s wawe wastaarabu kama ulivyo wewe ...aiseee utachina mkuu ..muacheni Dada wawatu afnye Kile kinachomsukuma kufnya ..kama atakuwa anavunja sheria basi mamlaka husika zipo zitawajibikia hilo..ila sio kuanza kutaka kumchagulia namna yakuweza kuishi nikuingilia maisha ya mtu
 
Tatizo la sheikh ni kuwa anaonekana upande wa fisi tu,,,,angekua anaenda hata upande wa simba kidogo tungekubali. ,
 
shekhe kasemwa na mange tu..amepanic Anataka kumtoa roho .what if akigundua kuwa kuna mtu anamgongea mkewe...Hawa mashekhe wasiku hizi bhana wanatudhalilisha mnooo aisee wanampka sana MUNGU MATOPE kuna nykati mpka huwa natamani Mungu angekuwa anajibu hizi tuhuma za kuzushiwa kwake uwongo
 
Huyu shehe anafeli sana!

Anajitia yeye na Mungu wana ushikaji sana,akimwabia amsaidie kulipa visasi kwa maadui zake basi anamsaidia.

Litakua halijaenda hata shule hili lijamaa!

Shule muhimu sana!

Mtu mzima anaaibika hivi yaani!

Na Mange alivyohajatulia kazidi mvua nguo zaidi huko Insta!

Shehe kaingia cha kike sana!Na ataoga mavi sana!Subiri muone!
 
Aisee kumbe yupo mungu ambae unaweza kumpangia cha kufanya na muda ukampa wa kutekekeza upendalo wewe,
MUNGU ninaemuamini mm huwa tunaacha aamue yy anavyoona,tena yy hupenda tufanye kazi ya kuwaleta watu kwake hasa wapotofu siyo kuwawahisha kwa shetani kupitia kuwaua,
 
Back
Top Bottom