OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Shehee wa Bashite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umenikumbusha enzi za ukumbi wa Chabruma inn - Mabibo mwisho , nilikuja kushangaa kwamba Cosmas Chidumule kaokoka !Sheikh TITO NI ZAIDI ya noma. MangeKimambi ni zaidi ya Dr. Remmy enzi za Super Matimila ambapo Mambo kwa soksi ilikuwa ni hatari kusikika redioni
Alijua amepata Mchongo kumbe Mchongoma .Huyu Si alijengewa jengo la office na mhishimiwa Bashite, cjui limekamilika?
Ukishakuwa umepewa zawadi na mwanasiasa utakuwa na ubavu wq kupingana nae kwa chochote?
Alafu anataka kuhusisha vita yake na Uislamu.
Toka alipoanza kujipendekeza kwa wanasiasa nilijua siyo msafi.Alipoanza Kawasaliti kondoo wake nilijua siyo mtetezi wa wanyonge,wahubiri wenzake wakakamatwa,wakateswa wakatendewa vibaya hilo halikumpa shida.Kutwa kucha yuko na wale wajiitao wababe wa Vita na wasiojaribiwa,akila vinono na kusaza.Nyeusi akiitwa nyeupe watu wake wakashangaa,hivi kweli ndiyo yeye? Sasa ni kama meli Katika pembetatu ya Bermuda,kaptura lake limemdondoka yamfaa kuchutama kwanza huku akisikilizia aliyemuokotea ampelekee.Je,atamudu?
Sheikh anapenda vyeupe bhana! hataki kula 0713
Ninakubaliana nawe kwa % nyingi tu ... lakini pia kuna wakati CHARACTER DEFAMATION yatakiwa itolewe UFAFANUZI ili kuondoa UTATA ama MKANGANYO ambao waweza jitokeza ...Chizi akichukua nguo zako wakati unaoga busara nikuachutama na kuangalia namna ya kujistiri sio kumkimbiza, ukimkimbiza utaonekana wewe ndio chizi yeye mzima, ndicho ninachokiona hapa.. huyu Shekh sio wakwanza kutukanwa na Mange, na wote tunamjua Mange ni mtu wa aina gani.. Kuna wakati kunyamaza ni jibu jema sana kwa mtu aliyekosa hekima
Ukijipaka mavi, harufu itasikika, na wanaokuzunguka!!Hili bifu la huyu mama na sheikh sitaki kuliongelea.
Lakini kinachonisikitisha ni namna watu wasiohusika kabisa na bifu lao, kama vile wake/watalaka zake na watu wa karibu na sheikh wanavyodhalilishwa bila sababu yoyote.
This isn't right.
Kiafrika tuna utamaduni wa kuheshimu wakubwa sawa na wazazi wetu.Wakubwa wenyewe wapuuzi sasa wanafanya mambo yasiyolingana na huo "Ukubwa" wao
Viongozi wa kiroho kama usemavyo wewe wakinyamaza muda wote ... ni nani huyo atakaekemea uovu?Angekuwa kweli kiongozi wa kiroho roho wa Mungu angempa maarifa ya kunyamaza!
Mange 7" / sheikh Tito 0"Mpaka sasa shekhe amepigwa technical knockout(KO) ya pili shekhe bado kasimama anaendelea na pambano tunaingia round ya 3 ngoja tusubiri labda shekhe anaweza kufanya miujiza round zilizobaki na chizi fresh