DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Binadamu tunapenda sana kujificha katika kivuli cha uhai; ila zama zako zikifika utashangaa. Cheche ndogo tu, moto huooooo! Shehena kwisha, yamemfika leo. Hakudhani kama itakuja siku akiwa yu hai aibu zake zitaanikwa namna hii.
 
Sheikh TITO NI ZAIDI ya noma. MangeKimambi ni zaidi ya Dr. Remmy enzi za Super Matimila ambapo Mambo kwa soksi ilikuwa ni hatari kusikika redioni
Mkuu umenikumbusha enzi za ukumbi wa Chabruma inn - Mabibo mwisho , nilikuja kushangaa kwamba Cosmas Chidumule kaokoka !
 
Hili bifu la huyu mama na sheikh sitaki kuliongelea.

Lakini kinachonisikitisha ni namna watu wasiohusika kabisa na bifu lao, kama vile wake/watalaka zake na watu wa karibu na sheikh wanavyodhalilishwa bila sababu yoyote.

This isn't right.
 
6e21a4aa58ed18a7c2574e6f9691adba.jpg
d0c0c2c0162250f6527beb679dedf5ab.jpg
8544dc09f70991f8fdedc5a0a5161561.jpg
88c331700183cf5ee41863ea2858a857.jpg
e56d68f630500521034518cf5c2cae25.jpg
 
Toka alipoanza kujipendekeza kwa wanasiasa nilijua siyo msafi.Alipoanza Kawasaliti kondoo wake nilijua siyo mtetezi wa wanyonge,wahubiri wenzake wakakamatwa,wakateswa wakatendewa vibaya hilo halikumpa shida.Kutwa kucha yuko na wale wajiitao wababe wa Vita na wasiojaribiwa,akila vinono na kusaza.Nyeusi akiitwa nyeupe watu wake wakashangaa,hivi kweli ndiyo yeye? Sasa ni kama meli Katika pembetatu ya Bermuda,kaptura lake limemdondoka yamfaa kuchutama kwanza huku akisikilizia aliyemuokotea ampelekee.Je,atamudu?

Nani ampelekee kaptura lake na yeye anasifa ya kugeuka nyuma mbele haendi .. Aliyeokota kaptura lake bado kajificha hana mpango wa kumpelekea maana nae usalama wa pindo zake utakuwa mashakani. Si unajua tena [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hayo makombora yanayotupwa huko insta sijui kama yatamuacha mtu salama, siyo kwa mashambulizi yale loh!
 
Chizi akichukua nguo zako wakati unaoga busara nikuachutama na kuangalia namna ya kujistiri sio kumkimbiza, ukimkimbiza utaonekana wewe ndio chizi yeye mzima, ndicho ninachokiona hapa.. huyu Shekh sio wakwanza kutukanwa na Mange, na wote tunamjua Mange ni mtu wa aina gani.. Kuna wakati kunyamaza ni jibu jema sana kwa mtu aliyekosa hekima
Ninakubaliana nawe kwa % nyingi tu ... lakini pia kuna wakati CHARACTER DEFAMATION yatakiwa itolewe UFAFANUZI ili kuondoa UTATA ama MKANGANYO ambao waweza jitokeza ...
 
Hili bifu la huyu mama na sheikh sitaki kuliongelea.

Lakini kinachonisikitisha ni namna watu wasiohusika kabisa na bifu lao, kama vile wake/watalaka zake na watu wa karibu na sheikh wanavyodhalilishwa bila sababu yoyote.

This isn't right.
Ukijipaka mavi, harufu itasikika, na wanaokuzunguka!!
 
Wakubwa wenyewe wapuuzi sasa wanafanya mambo yasiyolingana na huo "Ukubwa" wao
Kiafrika tuna utamaduni wa kuheshimu wakubwa sawa na wazazi wetu.
Pia hizo tuhuma hazina uthibitisho.
 
Mpaka sasa shekhe amepigwa technical knockout(KO) ya pili shekhe bado kasimama anaendelea na pambano tunaingia round ya 3 ngoja tusubiri labda shekhe anaweza kufanya miujiza round zilizobaki na chizi fresh
 
Back
Top Bottom