Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
π€£π€£π€£Utajuta
kajifungia ghetto kwakeWeee Scars njoo nikununulie kuku bwana, uko wapi ???
Hiyo ni strategy ya kocha mkuu, kuwaacha Simba wacheze then kuwapiga counter attackYanga kufanya marking hawawezi kabisa. Ni tatizo kubwa ndani msimu huu tokea mechi ya Zanaco, Rivers United, mpaka mechi ya leo.
Chama Sasa si aliingia IG live na kumsifia Manara Mo akakasirika na kusema nani huwa anakulipa mshahara ndio akamuuza aiseeNgoja tuone huwa najiuliza sana kwanini walimuuza Chama, alikua msaada sana kwetu mnooo.
Mimi nimecheka alivyomjibu jamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wasikutoleee Mood ya kufurahi Mkuu potezea, ila nimecheka ulivyomind kuitwa Utopolo ha ha ha[emoji23][emoji23][emoji23]polee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamani tunaomba Mugalu aongezewe mshahara huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manara tumekuachia Instagram kwa wiki nzima
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haikubali...π€£π€£π€£π€£π€£πππππππππππππππππππππππππππππππππMikia......View attachment 1952720
π€£π€£π€£π€£π€£
Shida hiyo timu imewekwa mfukoni na MwamediChama Sasa si aliingia IG live na kumsifia Manara Mo akakasirika na kusema nani huwa anakulipa mshahara ndio akamuuza aisee
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Naamini 1-1 ndani ya dakika 90
[emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji91][emoji91][emoji91]