Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mkuu upo?Sizi yaetu nazenbe sisi wale wanigeria hawakukutana na full mziki wangetapika damu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo?Sizi yaetu nazenbe sisi wale wanigeria hawakukutana na full mziki wangetapika damu
Mkuu pole Sana, nakumbuka kila mkileta Uzi kuelezea hali halisi ya timu yenu huyu Okwi Boban Sunzu na vibaraka wenzake wa Mwamedi walikuwa wakiwaita Utopolo. Leo imekuwa too late ndio wanakubali kuwa timu ni mbovu. Hao wapo kwenye payrolls ya Mwamedi.Kwa kawaida furaha ya muwekezaji ni fedha na furaha ya Mashabiki ni ushindi.
Tatizo lenu wakati team inabomolewa kwa faida ya mwekezaji mligeuka Chawa wa muwekezaji kiasi kwamba sisi tuliokuwa tunazungumza kiufundi tulioneka malofa.
Haya sasa tuliuza wachezaji mwekezaji akanufaika, vipi wewe shabiki wa kawaida una nufaika na kipi ikiwa team ndo imedoda hivi?
Wengine mliamua mpaka kuweka avatar ya MO.
Ni changamoto kwa kweliShida hiyo timu imewekwa mfukoni na Mwamedi
Duhh hata wasio waisilamu unawasalimia ASSALAAM ALAIKUM!!!!! Mokaze Abuu Dharr FaizaFoxy ni sawa hili?
Insigne
Upendo upi wakati mnawachinja Mashoga ?Tuanzie hapa; Nini maana ya maneno; "Assalam aleykum" (السلام اليكم) ??!---- hayo ni maneno ya kiarabu yenye maana:- Amani iwe juu yenu/Amani iwe kwenu.
Nije kwako; Hivi akija mtu na akakuombea dua hii; "amani iwe juu yako" je wewe utakataa hayo maombi??!!, naamini kabisa kwa mtu aliyesawasawa kamwe hawezi kukataa kwani kinyume cha amani iwe juu yako ni shari, vita, msiba, majanga yawe juu yako, sasa ni mtu gani mwenye akili atapenda apatwe na misiba, majanga nk??!!, nimetumia njia hiyo ya Rational and commonsense ili uweze kupata somo.
Dini ya Uisilamu bali dini zote zilizotoka kwa Mungu mbali na kufundisha kumjua Mungu wa kweli lakini pia zilifundisha upendo na hakuna upendo bila Amani, Islam maana yake ni amani kwa maana hiyo ni sahihi kwa Muisilamu kuwasalimia WATU WOTE kwa salamu ya Amani; Assalam aleykum, kwani amani ni kwa watu wote, hakutakuwa na amani kwa waisilamu kama wasio waisilamu hawana amani na bila amani kati ya Watu mambo mengi yatakwama na hata jambo kubwa la kufanya ibada litakuwa mashakani.
Bwana Yesu, nabii Isa (as), tunasoma katika injili ya Yohana (20:21), alitumia hiyo Salamu; Amani iwe kwenu alipokutana na Wanafunzi wake na wala hakutumia salamu ya "Tumsifu Yesu kristo" kama inavyotumiwa na Wakristo leo, na hata Mayahudi hutumia neno shalom kwa maana hiyo hiyo ya Amani (iwe kwenu).
Hitimisho; Assalam akeykum ni salamu kutoka kwa Mungu aliyotufundisha Mtukufu mtume Muhammad (saw) ili iwe kwa ajili ya watu wote kwani Mtume (saw) ni rehma kwa viumbe wote na wasio waislamu nao ni viumbe wa Mungu wanaistahiki kupata rehema, Uisilamu hauna ubaguzi katika neema na rehma za Mungu.
[emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317]
Ninachoamini tutakuja kuimba wimbo mmoja, ngoja tuone kama kuna improvement yoyote itafanyika ila kwa style hii tutahangaika sana.Mkuu pole Sana, nakumbuka kila mkileta Uzi kuelezea hali halisi ya timu yenu huyu Okwi Boban Sunzu na vibaraka wenzake wa Mwamedi walikuwa wakiwaita Utopolo. Leo imekuwa too late ndio wanakubali kuwa timu ni mbovu. Hao wapo kwenye payrolls ya Mwamedi.
Nadhani ameridhika na ufafanuzi huuTuanzie hapa; Nini maana ya maneno; "Assalam aleykum" (السلام اليكم) ??!---- hayo ni maneno ya kiarabu yenye maana:- Amani iwe juu yenu/Amani iwe kwenu.
Nije kwako; Hivi akija mtu na akakuombea dua hii; "amani iwe juu yako" je wewe utakataa hayo maombi??!!, naamini kabisa kwa mtu aliyesawasawa kamwe hawezi kukataa kwani kinyume cha amani iwe juu yako ni shari, vita, msiba, majanga yawe juu yako, sasa ni mtu gani mwenye akili atapenda apatwe na misiba, majanga nk??!!, nimetumia njia hiyo ya Rational and commonsense ili uweze kupata somo.
Dini ya Uisilamu bali dini zote zilizotoka kwa Mungu mbali na kufundisha kumjua Mungu wa kweli lakini pia zilifundisha upendo na hakuna upendo bila Amani, Islam maana yake ni amani kwa maana hiyo ni sahihi kwa Muisilamu kuwasalimia WATU WOTE kwa salamu ya Amani; Assalam aleykum, kwani amani ni kwa watu wote, hakutakuwa na amani kwa waisilamu kama wasio waisilamu hawana amani na bila amani kati ya Watu mambo mengi yatakwama na hata jambo kubwa la kufanya ibada litakuwa mashakani.
Bwana Yesu, nabii Isa (as), tunasoma katika injili ya Yohana (20:21), alitumia hiyo Salamu; Amani iwe kwenu alipokutana na Wanafunzi wake na wala hakutumia salamu ya "Tumsifu Yesu kristo" kama inavyotumiwa na Wakristo leo, na hata Mayahudi hutumia neno shalom kwa maana hiyo hiyo ya Amani (iwe kwenu).
Hitimisho; Assalam akeykum ni salamu kutoka kwa Mungu aliyotufundisha Mtukufu mtume Muhammad (saw) ili iwe kwa ajili ya watu wote kwani Mtume (saw) ni rehma kwa viumbe wote na wasio waislamu nao ni viumbe wa Mungu wanaistahiki kupata rehema, Uisilamu hauna ubaguzi katika neema na rehma za Mungu.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Tuanzie hapa; Nini maana ya maneno; "Assalam aleykum" (السلام اليكم) ??!---- hayo ni maneno ya kiarabu yenye maana:- Amani iwe juu yenu/Amani iwe kwenu.
Nije kwako; Hivi akija mtu na akakuombea dua hii; "amani iwe juu yako" je wewe utakataa hayo maombi??!!, naamini kabisa kwa mtu aliyesawasawa kamwe hawezi kukataa kwani kinyume cha amani iwe juu yako ni shari, vita, msiba, majanga yawe juu yako, sasa ni mtu gani mwenye akili atapenda apatwe na misiba, majanga nk??!!, nimetumia njia hiyo ya Rational and commonsense ili uweze kupata somo.
Dini ya Uisilamu bali dini zote zilizotoka kwa Mungu mbali na kufundisha kumjua Mungu wa kweli lakini pia zilifundisha upendo na hakuna upendo bila Amani, Islam maana yake ni amani kwa maana hiyo ni sahihi kwa Muisilamu kuwasalimia WATU WOTE kwa salamu ya Amani; Assalam aleykum, kwani amani ni kwa watu wote, hakutakuwa na amani kwa waisilamu kama wasio waisilamu hawana amani na bila amani kati ya Watu mambo mengi yatakwama na hata jambo kubwa la kufanya ibada litakuwa mashakani.
Bwana Yesu, nabii Isa (as), tunasoma katika injili ya Yohana (20:21), alitumia hiyo Salamu; Amani iwe kwenu alipokutana na Wanafunzi wake na wala hakutumia salamu ya "Tumsifu Yesu kristo" kama inavyotumiwa na Wakristo leo, na hata Mayahudi hutumia neno shalom kwa maana hiyo hiyo ya Amani (iwe kwenu).
Hitimisho; Assalam akeykum ni salamu kutoka kwa Mungu aliyotufundisha Mtukufu mtume Muhammad (saw) ili iwe kwa ajili ya watu wote kwani Mtume (saw) ni rehma kwa viumbe wote na wasio waislamu nao ni viumbe wa Mungu wanaistahiki kupata rehema, Uisilamu hauna ubaguzi katika neema na rehma za Mungu.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Upendo upi wakati mnawachinja Mashoga ?
Kwanini hamumuachii Allah awahukumu ?
Ua hana uwezo ?
Uya uko wapi ???Mugalu tumbadilishe na jogoo tu
Chama Sasa si aliingia IG live na kumsifia Manara Mo akakasirika na kusema nani huwa anakulipa mshahara ndio akamuuza aisee
Tunapeleka posa kwa StanNdoa lini mkuu?
Sawa mkuu...Nazungumzia marking ndani ya eneo la 18, ni sahihi kumfanya mpinzani acheze lakini asifike mpaka chumbani kwako. Akikaribia tu unapaswa ku win mpira na kufanya counter attack. Ila Yanga kuna tatizo la mabeki kushindwa kuwa makini golini mwetu. Washukuriwe mafowadi butu wa Simba