Dar: Simba 0 - 1 Yanga, Ngao ya hisani | Benjamin Mkapa

Dar: Simba 0 - 1 Yanga, Ngao ya hisani | Benjamin Mkapa

Mashabiki wa Uto hamna akili🙄dah sorry!🤣🤣🤣🐸

Hongera kwa ushindi wa jana
 
Sisi mikia boss kubwa keshatuamsha ana kikao cha kutusema kwa nini tumefungwa wakati ameweka 20 billions☹️
IMG_20210926_102100.jpg
 
Kwahiyo wewe shoga unataka tukuache uendelee kupelekewa moto
Unapata wapi ruhusa ya kuua Mashoga.
Weka Aya hapa.
Halafu unajiita Religion of Peace.

Weka aya inayokuruhusu kuua Mashoga
Acheni ukatili dhidi ya Binadamu.
 
1---Hebu weka sawa kwanza; hao Mashoga wanachinjwa au wanakatwa vichwa??!

2---- Hivi ni Mashoga pekee ndio hutendewa huo ubaya au kuna watu wengine pia hutendewa ubaya mwingine???---- nimeuliza hivyo kwasababu inaonekana "umeguswa" sana na MASHOGA pekee kuuawa na hujaguswa na waovu wengine kutendewa kinyume na sheria.[emoji16]

3----Jibu la swali lako ni hili; Kumbuka kwamba kuna Dini na kuna Wafuasi wa dini na kila mmoja anahujmkumiwa kivyake, Dini inahukumiwa kutokana na mafundisho yake yanayopatikana katika vitabu vyake na mafundisho sahihi ya Waanzilishi wake na Wafuasi wa dini wanahukumiwa kutokana na matendo yao binafsi na kama watatenda kulingana na vitabu vya dini yao basi hapo watakuwa wapo sahihi vinginevyo watakuwa wakosefu na wao ndio wanapaswa kulaumiwa na sio dini yao, Hivyo jambo la msingi ni kuangalia je dini inasemaje kuliko kuangalia Wafuasi wanasemaje juu ya jambo lolote.

4---- mfano, Hebu nikuulize; tumlaumu nani kati ya Ukristo na Wakristo-Mashoga wale wanaosema kwamba Fundisho la ushoga limo.ndani ya Injili??!! ( na huwa Wananukuu kifungu).
Nimeguswa na ukatili dhidi ya Binadamu wengine kwa mgongo wa Dini.
Talebani wamechukua nchi ya Afghanistan Juzi, raia wengi wanataka kuikimbia nchi kwa kuhofia ukatili wa Dini.

Hakuna Aya lakini
Wezi wanakatwa mikono.

Wazinzi wanapigwa mawe hadi kufa au kuuliwa kwa kuchinjwa.
Wanawake wanazuiliwa kufanya baadhi ya kazi.

Mnafanya hivyo bila ruhusa ya kitabu chenu Qurani.

Mi ninavyo fahamu Dhambi ni kumkosea Mungu na yeye ndiye atakemwashibu mdhambi.

Makosa ya kijamii yanahukumiwana sheria za kijamii.

Halafu mnaiita Dini ya Amani.
 
Yan swahiba tushazoea kujipigia mikia na ndio maana leo atushangilii sana na mikia washazoea kufungwa ndio maana awaumii sana,kikubwa kolokwinyo waendelee tu kuianzishia thread za kipropaganda hapa jf 😀
Yah!! Hiki ndo tumewaachia Swahiba yaani muda mwingi waliutumia kujadili picha ya kina GSM wakila biriani na kina Senzo wakasahau kwamba kuna mechi tarehe 25. 🤣🤣🤣
 
Hatukupigwa kwa pira biriani kama hili.

Ungekuwa na uwelewa juu ya mpira ingetosha kukushitua kuwa hatuna team ya ushindani msimu huu, angalia backline na forward zetu.

Me sijasema kama Mo anahusika, ila yeye binafsi furaha yake ni kuingiza pesa, wewe yako ni ipi?
hivi unasemaje hatukucheza timu imepiga mashuti 15 sijawahi ona simba kupiga mashuti mengi vile tukubali tu tumeotewa tumefungwa kwa kushindwa kutumia nafasi sio muda wa kulaumu nani ni nani ifike mahali simba ichukue seriousness wakati wakujiandaa na deby kama alivyosema Mightier kwenye uzi wake mmoja humu
 
Nimeguswa na ukatili dhidi ya Binadamu wengine kwa mgongo wa Dini.
Talebani wamechukua nchi ya Afghanistan Juzi, raia wengi wanataka kuikimbia nchi kwa kuhofia ukatili wa Dini.

Hakuna Aya lakini
Wezi wanakatwa mikono.

Wazinzi wanapigwa mawe hadi kufa au kuuliwa kwa kuchinjwa.
Wanawake wanazuiliwa kufanya baadhi ya kazi.

Mnafanya hivyo bila ruhusa ya kitabu chenu Qurani.

Mi ninavyo fahamu Dhambi ni kumkosea Mungu na yeye ndiye atakemwashibu mdhambi.

Makosa ya kijamii yanahukumiwana sheria za kijamii.

Halafu mnaiita Dini ya Amani.


Kumbe bado hata hunielewi !!!---- nikuulize swali je hao Talibans ni Qur'an ??, vipi wale crusaders walioua watu kinyama kwa mgongo wa ukristo katika karne ya 12, 13 walikuwa wa wanawakilisha Ukristo ??.--- au yule mchungaji aliyekuwa akiwanyoa akina mama mavu★★ madhahabuni je huyo anawakilisha Ukristo???--- hebu utuambie kama anawakilisha na utoe andiko, au wale mashoga wanaotetea ushoga wao kwa kumnukuu Yesu, je ni sahihi kusema kwamba wao wanamfuata yesu haswaaa!!??

Narudia kusema tofautisha kati ya Mafundisho ya dini na Wafuasi wa dini, mafundisho ya dini yatabaki kuwa yalivyo yasipotiwa mkono lakini wafuasi wapo wa aina tofauti na kila mmoja anaweza kudai kwamba yeye ndiye anaelewa mafundisho vizuri na akatenda anachoamini.

Lete andiko la Qur'an ili tulijadili na sio matendo ya Talibans, Isis, Alshabab nk.

Umezungumzia juu ya adhabu zilizoainishwa ndani ya Qur'an, katika Qur'an kuna makosa yenye adhabu hapa duniani na huko akhera mtu ataadhibiwa kama hatotubia kwa Mungu hapa duniani, Mfano mtu akizini na ikathibitika na mashahidi 4 wakatoa ushahidi kwamba wamemuona/wamewaona Wakizini basi kwa mujibu wa Qur'an watu hao ni lazima wachapwe mijeledi mia kila mmoja, ipo hivi; kama watu wanne wameshuhudia kwamba wamewaona hao wazinzi wakizini maana yake bila shaka hao watakuwa WALIZINI HADHARANI, kitendo ambacho hata sheria za kidunia zinatambua ni kosa kuzini hadharani au hata mke na mume kufanya ngono hadharani ni kosa kwa sheria za duniani sembuse sheria za dini !!!? --- ili kulinda heshima ya jamii ni lazima watu hao wapigwe viboko 100 hadharani ili jamii pia ijifunze kwamba kuzini ni kosa mbele ya Mungu bali kuzini hadharani ni kosa kwa jamii pia. Hapo sasa utaona makosa yanayoathiri/gusa jamii ndiyo yaliyopewa adhabu za hapa duniani mfano mwingine ni Kosa la wizi ambalo adhabu yake ni kukatwa mkono, (hapa kukatwa mkono inayo maana pana mbali na maana ya moja kwa moja ya kukata mkono), kosa jingine lenye adhabu ni kuua kwani nalo linahusu jamii, kosa kubwa kabisa mbele ya Mungu ni Shirk, lakini huwezi ona kosa hilo limepewa adhabu kwani ni kosa moja kwa moja kati ya mtu na Mungu na jamii haihusiki.

Mtukufu mtume (saw) katuasa; Kutafuta elimu ni faradhi kwa Muisilamu mwanamume na muisilamu mwanamke, kama Talibans wanawazuia Wanawake kusoma watakuwa wanaenda kinyume na Mafundisho ya mtume (saw), yawezekana wao wanao Uisilamu wao.

Kifupi ni kwamba lete aya ya Qur'an tujadili na usilete Watu tuwajadili.
 
Yanga wangekua makini zaidi wangeshinda goli nyingi sana Simba ya sasa haina main man kama Chama
 
Bado mapema sana kuanza kuilaumu Simba,na pia ni bado mapema kuisifia Yanga..Simba hawana ubovu wa hivyoo..game ya jana kuna clear chances nyingi walikosa...Yanga angalau kidogo wamecheza vizuri.
 
Yanga wangekua makini zaidi wangeshinda goli nyingi sana Simba ya sasa haina main man kama Chama
Tatizo la Yanga wakishinda goli moja wanaridhika.
Jana gemu ilikuwa yao
Wangeweza kuifunga Simba hata Goli tatu.
Simba tuna Kesi ya msingi na Kocha Gomes na Swahiba wake Mugalu.
Iko siku kitawaka.
 
Back
Top Bottom