Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzenu sijalala bado najigongea vyombo....cha ajabu hata sijisikii kwenda kupumzika,......yaani huyu alietengeneza castle lite mungu ampe maisha marefu........yaani haya maji ni matam balaa.[emoji23][emoji23]
Amka wewe
Ndo nimeamka hapa kitandani nafanya mpango wa kupata supu, halafu niende sebuleni nikalale tena kwenye sofa
Sisi mikia boss kubwa keshatuamsha ana kikao cha kutusema kwa nini tumefungwa wakati ameweka 20 billions☹️
View attachment 1953459
Unapata wapi ruhusa ya kuua Mashoga.Kwahiyo wewe shoga unataka tukuache uendelee kupelekewa moto
Nimeguswa na ukatili dhidi ya Binadamu wengine kwa mgongo wa Dini.1---Hebu weka sawa kwanza; hao Mashoga wanachinjwa au wanakatwa vichwa??!
2---- Hivi ni Mashoga pekee ndio hutendewa huo ubaya au kuna watu wengine pia hutendewa ubaya mwingine???---- nimeuliza hivyo kwasababu inaonekana "umeguswa" sana na MASHOGA pekee kuuawa na hujaguswa na waovu wengine kutendewa kinyume na sheria.[emoji16]
3----Jibu la swali lako ni hili; Kumbuka kwamba kuna Dini na kuna Wafuasi wa dini na kila mmoja anahujmkumiwa kivyake, Dini inahukumiwa kutokana na mafundisho yake yanayopatikana katika vitabu vyake na mafundisho sahihi ya Waanzilishi wake na Wafuasi wa dini wanahukumiwa kutokana na matendo yao binafsi na kama watatenda kulingana na vitabu vya dini yao basi hapo watakuwa wapo sahihi vinginevyo watakuwa wakosefu na wao ndio wanapaswa kulaumiwa na sio dini yao, Hivyo jambo la msingi ni kuangalia je dini inasemaje kuliko kuangalia Wafuasi wanasemaje juu ya jambo lolote.
4---- mfano, Hebu nikuulize; tumlaumu nani kati ya Ukristo na Wakristo-Mashoga wale wanaosema kwamba Fundisho la ushoga limo.ndani ya Injili??!! ( na huwa Wananukuu kifungu).
Yah!! Hiki ndo tumewaachia Swahiba yaani muda mwingi waliutumia kujadili picha ya kina GSM wakila biriani na kina Senzo wakasahau kwamba kuna mechi tarehe 25. 🤣🤣🤣Yan swahiba tushazoea kujipigia mikia na ndio maana leo atushangilii sana na mikia washazoea kufungwa ndio maana awaumii sana,kikubwa kolokwinyo waendelee tu kuianzishia thread za kipropaganda hapa jf 😀
Wewe ndio yupiWananchi tunaamka namna hii. Teh.
View attachment 1953516
hivi unasemaje hatukucheza timu imepiga mashuti 15 sijawahi ona simba kupiga mashuti mengi vile tukubali tu tumeotewa tumefungwa kwa kushindwa kutumia nafasi sio muda wa kulaumu nani ni nani ifike mahali simba ichukue seriousness wakati wakujiandaa na deby kama alivyosema Mightier kwenye uzi wake mmoja humuHatukupigwa kwa pira biriani kama hili.
Ungekuwa na uwelewa juu ya mpira ingetosha kukushitua kuwa hatuna team ya ushindani msimu huu, angalia backline na forward zetu.
Me sijasema kama Mo anahusika, ila yeye binafsi furaha yake ni kuingiza pesa, wewe yako ni ipi?
Nimeguswa na ukatili dhidi ya Binadamu wengine kwa mgongo wa Dini.
Talebani wamechukua nchi ya Afghanistan Juzi, raia wengi wanataka kuikimbia nchi kwa kuhofia ukatili wa Dini.
Hakuna Aya lakini
Wezi wanakatwa mikono.
Wazinzi wanapigwa mawe hadi kufa au kuuliwa kwa kuchinjwa.
Wanawake wanazuiliwa kufanya baadhi ya kazi.
Mnafanya hivyo bila ruhusa ya kitabu chenu Qurani.
Mi ninavyo fahamu Dhambi ni kumkosea Mungu na yeye ndiye atakemwashibu mdhambi.
Makosa ya kijamii yanahukumiwana sheria za kijamii.
Halafu mnaiita Dini ya Amani.
Tatizo la Yanga wakishinda goli moja wanaridhika.Yanga wangekua makini zaidi wangeshinda goli nyingi sana Simba ya sasa haina main man kama Chama
Mie ni huyo wa mwisho mwenye shangazi kaja. Teh teh.Wewe ndio yupi