Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagere kaisha,nawalaumu Simba kwa nini wamemuacha?kagere hata bench hayupo ila mugalu anaanza duh
Leo simba zikipungua sana basi anakula 3
Angeanza boko bhana kumbavu....
Duh Farid Mussa tena? Kocha nae sijui anawazaga nini. Haya ngoja tuoneDaah huyo farid Mussa hapo anafanya nini, Huyu ndo ana sababisha tunafungwa leo
View attachment 1952352
Ukifuata protocol ilitakiwa icheze simba A na simba B, ila kuna time sheria inabudi tu zivunjwe ili wengine wapate nafasiKagere kaisha,nawalaumu Simba kwa nini wamemuacha?
Kaniuzi kwa FaridHizi game huwa zinaisha kwenye line up
Ukipata nijuze mkuu mimi pia nahitajiMwenye link mechi ya leo simba na yanga tafadhari naomba nipo mbali
Sent from my SM-M105G using JamiiForums mobile app
Yameshatimia..tunasubiria maziko tu.Leo nawatoa kafara Manchester United ili simba ashinde..
Ukiona man u kafa basi simba kashinda