Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam max applicationKuna live stream yeyote inayoonyesha?
😀😀😀 mimi sijabisha ila ni utashinda na njaa na ukishinda nakupa buku 10 baba uwezo wa laki sina😜Mimi nashinda hii game, nikifungwa kuna 100,000 ntakupa ,wewe utanipa nini nikiondoka na ndoo
Anacheza faulo tu hakuna mchezaji hapoIla huyu Mugalu daah
Nifanyie wepesi mkuu.Azam max application
Hilo moja halichomokiSimba jamani [emoji24][emoji24]
labda uingie wewe ukaongeze nguvuMtapotea soon
Hadi uwe na app yaoNifanyie wepesi mkuu.
Mugalu hapana hivi Kocha mpaka afukuzwe?Ila huyu Mugalu daah
Papa mobimba yeee
Papa mobimba yeee
Hii gemu Simba anashinda
Hii sio simba ni nyau tunajipigia tuSimba jamani [emoji24][emoji24]