escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
Mechi la kibabe sema timu zote umakini mdogo kwenye ukabaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amshukuru refa Ana mahaba na nyau ila angekuwa na kadi ya mapema sana katika historia ya sokaHuyu Mugallu mbona anatuzingua
Nifanyie wepesi mkuu.
Mabadiriko aingie nani? Maana hakuwa mwenye ahueni huko benchiShida Kocha wa Simba hafanyi mabadiliko mapema mpaka dakika za mwisho.Ushauri fukuza Kocha mapema kabisa ikishindika na tunanza na Barbra.
Acha basi, ana miaka 26 tu ujue.Onyango umri tatizo
Kweli Mkuu MO na Barbra wametupiga kwa timu hii ya Simba.Fedha zote walizo pata wameshindwa kusajili timu zuri.Mabadiriko aingie nani? Maana hakuwa mwenye ahueni huko benchi
Usije kunikimbia Tu baada ya dakika 90Endeleeni kujifariji! Mtapigwa tuu
We ni nyani usitudanganye hapaHuku mtaani kwangu imebidi nivue jezi ya Simba aibu tupu.
Sio mwana simba weweHuku mtaani kwangu imebidi nivue jezi ya Simba aibu tupu.
Unamkataa nyau mwenzakoWe ni nyani usitudanganye hapa
Naomba 😋Ingia play store kama una tumia adroidi
Au apple store kama una ios
Kisha tafuta
Azam max
Download
Kisha utaweka account yako ya azam kama umelipia nyumbn kwako
Kama hauna au hujalipia
Tumia yakwangu kwa leo
Timu ipo kwenye transitionChama langu Simba msimu huu aisee tuombe tu Mungu..