ummumuhammad
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 796
- 697
So sadKuna watu wanakera sana, Emb angalia anachokifanya Mugalu humo ndani, alafu ukisema Unaonekana utopolo.
Hivi tunafanikiwaje msimu huu kwa forward aina ya Mugalu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So sadKuna watu wanakera sana, Emb angalia anachokifanya Mugalu humo ndani, alafu ukisema Unaonekana utopolo.
Hivi tunafanikiwaje msimu huu kwa forward aina ya Mugalu?
Sijui itakuwaje kwa hawa watu waliosajiliwa kwa club bingwa hawako serious aiseeKuna watu wanakera sana, Emb angalia anachokifanya Mugalu humo ndani, alafu ukisema Unaonekana utopolo.
Hivi tunafanikiwaje msimu huu kwa forward aina ya Mugalu?
Gap la chama linaonekana huyu mugalu anakosa nafasi za wazi kabisa, club bingwa team isipojirekebisha tutatoka mapema, tangu nishuhudie ya tp mazembe nilijua tu hapa team yangu tumepata usajili mubovuNarudia tena, mbadala wa wachezaji tuliowauza bado haujapatikana.Ukitaka kuamini angalia Sub zetu hapo nje ni nani anaekupa matumaini ya ku-deliver tulichokuwa tunakipata kwa Chama na Miquisone?
Njooni mniueeeee.
Wametoe aingie nani? Hahahahaha kocha nae atoke aingie ndani? Alafu mugalu awe kochaMugalu tena,huyu mbwa si wamtoe.
Kuna watu wanakera sana, Emb angalia anachokifanya Mugalu humo ndani, alafu ukisema Unaonekana utopolo.
Hivi tunafanikiwaje msimu huu kwa forward aina ya Mugalu?
Sema nyau fwd hamnaPoor marking Yanga, itatugharimu
Bado mara 2 kwenye ligi madame tukiwabemenda hizo 2 ndo mugalu aondokeTufungwe mara ngapi, huu mwaka tutakoma kama liteam lenyewe lipo hivi.
Sakho ndo atokeBwalya kapotea, toa ingiza Banda....
Ila Kanoute ni mtu na nusu...
Denis Kibu au Ajibu.Wametoe aingie nani? Hahahahaha kocha nae atoke aingie ndani? Alafu mugalu awe kocha