joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Tumeupiga mwingi na tumewafunga...........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko MO ndio mwenye makosa?Kwa kawaida furaha ya muwekezaji ni fedha na furaha ya Mashabiki ni ushindi.
Tatizo lenu wakati team inabomolewa kwa faida ya mwekezaji mligeuka Chawa wa muwekezaji kiasi kwamba sisi tuliokuwa tunazungumza kiufundi tulioneka malofa.
Haya sasa tuliuza wachezaji mwekezaji akanufaika, vipi wewe shabiki wa kawaida una nufaika na kipi ikiwa team ndo imedoda hivi?
Wengine mliamua mpaka kuweka avatar ya MO.
Tofauti ni kwamba, leo tumefungwa na pira tumepigiwa, tofauti na zamani ambalo ushindi wao ulionekana kama bahati tu.Acha lawama,kila kitu kina mwisho wake
Mara ngapi tumefungwa wakiwepo hao
Hahaaa. Hao wakalale tu na viatu leo.Angalau maana wakina migh na okwi wangetumaliza humu ndani. Kunywa fanta nitalipa
Mmeanza kulalamika tena😂Huyu refa anai favor yanga
Hatukupigwa kwa pira biriani kama hili.Ko MO ndio mwenye makosa?
Wakiwepo wote chama na Miq si tulipigwa na Yanga?
Uelewa wako wa mpira kiduchu sana.
Hadi umemwagika nyau ilikuwa kazi kuuzoa/kuuokotaTumeupiga mwingi na tumewafunga...........
Ameingiza pesa, umeambiwa kuna pesa imechotwa? au ile team unataka ijiendeshaje kama haiingizi hela ?....Hatukupigwa kwa pira biriani kama hili.
Ungekuwa na uwelewa juu ya mpira ingetosha kukushitua kuwa hatuna team ya ushindani msimu huu, angalia backline na forward zetu.
Me sijasema kama Mo anahusika, ila yeye binafsi furaha yake ni kuingiza pesa, wewe yako ni ipi?
Yaani manara leo atakesha na Simba😀Kumekucha huko manala[emoji23][emoji23]
PmMkuu nikuone saa ngapi hiyo pesa? Nitume namba wapi?😂😂
It has happened Again.Kuna red card nimeota anapewa mchezaji wa Simba lakini mwisho wa Mchezo ni Lunyasi ndio wanaibuka na Ushindi ndani ya Dk 90
Unikumbuke na mimi kwenye mgao sistaMkuu nikuone saa ngapi hiyo pesa? Nitume namba wapi?[emoji23][emoji23]