Dar: Simba 0 - 1 Yanga, Ngao ya hisani | Benjamin Mkapa

Dar: Simba 0 - 1 Yanga, Ngao ya hisani | Benjamin Mkapa

Kwa kawaida furaha ya muwekezaji ni fedha na furaha ya Mashabiki ni ushindi.

Tatizo lenu wakati team inabomolewa kwa faida ya mwekezaji mligeuka Chawa wa muwekezaji kiasi kwamba sisi tuliokuwa tunazungumza kiufundi tulioneka malofa.

Haya sasa tuliuza wachezaji mwekezaji akanufaika, vipi wewe shabiki wa kawaida una nufaika na kipi ikiwa team ndo imedoda hivi?

Wengine mliamua mpaka kuweka avatar ya MO.
Ko MO ndio mwenye makosa?
Wakiwepo wote chama na Miq si tulipigwa na Yanga?
Uelewa wako wa mpira kiduchu sana.
 
Ko MO ndio mwenye makosa?
Wakiwepo wote chama na Miq si tulipigwa na Yanga?
Uelewa wako wa mpira kiduchu sana.
Hatukupigwa kwa pira biriani kama hili.

Ungekuwa na uwelewa juu ya mpira ingetosha kukushitua kuwa hatuna team ya ushindani msimu huu, angalia backline na forward zetu.

Me sijasema kama Mo anahusika, ila yeye binafsi furaha yake ni kuingiza pesa, wewe yako ni ipi?
 
Hatukupigwa kwa pira biriani kama hili.

Ungekuwa na uwelewa juu ya mpira ingetosha kukushitua kuwa hatuna team ya ushindani msimu huu, angalia backline na forward zetu.

Me sijasema kama Mo anahusika, ila yeye binafsi furaha yake ni kuingiza pesa, wewe yako ni ipi?
Ameingiza pesa, umeambiwa kuna pesa imechotwa? au ile team unataka ijiendeshaje kama haiingizi hela ?....
Beki ni ile ile ...
Forwad ni ile ile.....
Wameondoka winga mmoja na kiungo mmoja. Unasema hauna team ya ushindani, aseee.
 
2 games hatujafunga goli hata moja[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Back
Top Bottom