Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmezoea kujipigia au Yanga kazoea kukupiga, misimu miwili mfululizo katika ligi Yanga amechukua point 4 kwako na ndani ya miezi miwili mfululizo nimekutana na wewe mara tatu nimekupiga mara mbili na kwenye rekodi ya mda wote tunaongoza kukupiga.Yan swahiba tushazoea kujipigia mikia na ndio atushangilii sana na mikia washazoea kufungwa ndio maana awaumii sana,kikubwa kolokwinyo waendelee tu kuianzishia thread za kipropaganda hapa jf 😀
[emoji23]Utajuta
Ubaya hii sheria ya saiv, wachezaji nane wa kigeni italeta tabu.....Bwalya haipandishi tena timu awajaribu hawa.
1. Bernad Morrison
2. Erasto Nyoni
3. Sadio Sakho
4. Duncan Nyoni
Tunahitaji mtu wa kuiunganisha timu kutoka kwenye defence na ushambuliaji
Huyo kolo keshakupa mzigo wako?[emoji3][emoji3][emoji3] mimi sijabisha ila ni utashinda na njaa na ukishinda nakupa buku 10 baba uwezo wa laki sina[emoji12]
Nani anajuta sasa hivi?Utajuta
Kolo leo umepoaBaada ya vyura kushinda Uzi umeenda Kwa Kasi ya ajabu
Muhindi noma kauza wachezaji kapata pesa kisha kanunua wachezaji wa mafungu wa kuvunja bei rahisi rahisi kapata faida yake katuliaWameuza chama na Miquissone wamenunua mabasi
Hana hio hela akikutumia tuletee mrejeshoMkuu nikuone saa ngapi hiyo pesa? Nitume namba wapi?[emoji23][emoji23]
HahahahaKanoute [emoji1666]
Banda [emoji35]
Sakho[emoji35]
Bocco[emoji35]
Mugalu[emoji35][emoji35][emoji35]
Bwalya [emoji35]
Anashinda njaaHii gemu Simba anashinda
Halafu akanunua yutong used ikapelekwa garage na ikatambulishwa kwa kuita Press kwa kushirikiana na Wahindi wenzaoMuhindi noma kauza wachezaji kapata pesa kisha kanunua wachezaji wa mafungu wa kuvunja bei rahisi rahisi kapata faida yake katulia
Wahindi sio watu aiseee kumbe wametoa mabus used ya kichina😂😂Halafu akanunua yutong used ikapelekwa garage na ikatambulishwa kwa kuita Press kwa kushirikiana na Wahindi wenzao
😛🤣🤣Wahindi sio watu aiseee kumbe wametoa mabus used ya kichina😂😂