Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

Punda wa nyuma kapigwa mijeledi mitatu lakini ajabu anayelia ni punda wa mbele.
Vidomodomo kwisha.
Wakuu kama mnakumbuka nilisema nitaweka milioni 2 kuna chura aliingia mkenge. Ninakwenda kuchukua milioni zake 2.Mjinga mjinga.
Daaaah kwaio mkuu krismas yako itakua murua kabisa na mama watoto hahaha Safi sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…