Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

Ya mwaka huu imezidi kwa ubovu, timu ndogo hazina pesa maana mdhamini kakorofishwa na TFF. Sasa hapo Yanga wanajiokotea point kutoka kwa wachovu basi mnajiona mna booonge la timu kumbe mnawaonea vijana wenye njaa maskini, dah!
Hahahaa. Hii naisikia kwako hivyo hata nyie mnavyopata point toka kwa timu za kichovu hampaswi kushangilia eee?
 
Ya mwaka huu imezidi kwa ubovu, timu ndogo hazina pesa maana mdhamini kakorofishwa na TFF. Sasa hapo Yanga wanajiokotea point kutoka kwa wachovu basi mnajiona mna booonge la timu kumbe mnawaonea vijana wenye njaa maskini, dah!
Alafu timu hizo hizo zikicheza na Simba zinaikamia Simba maana zinajua kwa kucheza na Simba basi zinacheza na timu kubwa. Zinakuwa zinaamini zinacheza na kina Esperance, al ahly, Asec Mimosa, Mamelod Sundown, Mazembe ila kupitia Simba.
 
Niapie tena wakati ilionekana? Msingepata lile goli ndani ya dkk 90 hizi tambo zisingekuwepo leo
Tusingepata vipi goli wakati mipango ya kulitafuta ilikua inasukwa na wataalam kina Chama na Mkude? Yaani Shadeeya unadhani goli lilikuja kwa bahati nasibu?

Ungeniuliza kabda ya mechi ningekwambia nenda kabeti na kama mkeka ungechanika ningekurudishia mara mia ya ulichoweka
 
Lakini kauli ya kocha wa nkana isipuuzwe,
Kasema simba ina tatizo katika beki,
Hilo hata mimi niliona,mabeki wanajisahau hawafanyi marking Nzuri wanazubaa sana ukitaka kuamini angalia goli la kwanza alilofungwa simba jinsi Mohamed Hussein alivyokuwa akimsindikiza mshambuliaji wa nkana hadi amepiga cross.
 
Haya bwana. Nasubiri nione yajayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…